ingekuwa pt ya bongo nakwambia hotel nzima ingejikuta mahabusu halafua mambo mengine yangefuata.
fikiria mhudumu kaenda kakuta mlango umefungwa halafu na hakuna rekodi za mgeni mapokezi zaidi ya ahadi ya jamaa~weka ndani mhudumu.
yule kahaba aliyesikia vishindo makelele na pumzi ya shida akapuuza~sweka ndani.
dereva wa jiji aliyekutana na jamaa akiwa uchi na jeraha halafu asimuulize~nayeye tia ndani.
mhudu wa kiume aliyekwenda kukagua simu mara ya kwanza asielewe nini kinaendelea~kama tupa ndani.
unajua sababu ya umbea na kiherehere cha watz ndio maana tunafanikiwa sana kwenye upelelezi,mbongo huwezi mjibu jibu simple tu halafu akaridhika labda awe anaumwa kichwa.
kwa mtazamo wangu wa kimbea,yule binti kahaba anamjua vizuri muuaji.
cute b, Black Cofee, TODAYS, troublemaker, madam s, Joel sandu, Hazchem plate, Atoto, Mshana Jr, Vi rendra, Blue G, Hannah, Tit 4 Tat, Smart911, Proved,The bright one, Phoenix, Kitumaki, Donnie Charlie, Donnie Charlie, Nyox official, Sir_Mimi, Qurie, kijani11, ndukulusudicho ,la magica msafwa93 ,manengelo ,kilwakivinje ,Raynavero , Son.j ,hii sasa kali ,kitomilamkijeje ,uujn ,Njopino ,MBIIRWA ,Nemo Judex, SweetieLee ,Champ ,nsasa ,Pax Vobiscum ,google helper ,Libenna ,lovely love ,kelvinlewis ,opondo ,kofuli ,King klax,Leonard Robert ,Jason Statham2, recycle Bin,Extra miles,Sir Khan,chase amante,Glenohumeral joint, kamituga,Queenever,radicals,Cvez ,Mine eyes, MNANSO,tracebongo, black sniper, Da'Vinci, No Escape, Farolito, swahiba92, Cajojo, ARV, Ema steve Nibiru X, Chupayamaji, The Mack, Tugas,Fideliiiz, Rooney, bwege nazi, Don Clericuzio, Mdomo bakuli, Mine eyes, TGMT, Dalmine, mwasu, Pendael24, atlas copco, Elli, Diana Spencer, Marianah, Khantwe,mwantui, Chacha90, Mkumbwa Jr
Maskini handsome Owen sijui nini kilimkuta ,hata kutaja wauaji kaogopa sasa sijui nini kilimkuta au alijua atapona?
Bora hata mhudumu angeingia "kukobeka" simu mapemaakawasha na taa(msamiati mpya kwangu).
Kiswahil chetu mkuu unaweza hisi ni mtusi..
Jamaa either mapenzi ama alikuwa anamtandao wa hatari wa madili
wadau list ya tag ni ndefu sana, kama hujakumbukwa nikumbushe next time nisikusahau...