Ukiona hivyo basi ujue huyo mwenye ki grudge bado hajamsahau (get over) huyo mwenzake....kwa sababu kama umeshasonga mbele na maisha yako hutakaa utamani jambo baya limtokee huyo aliyekuwa mwenzako. Kwanza hutamfikiria kabisa...
...aha ha....
halafu kuna wale ambao hufanya kila wawezalo kukupa message '(showing off)' eti wamekuwa wabora tangu waachane 'nawe!'
...Hivi,
...ni KWANINI baada ya kuachana na mtu "wengi" hutamani 'mtaliki wake' apate mkong'oto wa maisha ajute kwanini aliachana na yeye?
kuna raha gani aliyekuwa kipenzi chako akiliona joto la jiwe kwa msongo wa mawazo, mapenzi na 'kufulia' ki maisha?
mie xbf wangu kwa kweli huwa nafurahi akiwa na mafanikio na akipata tatizo huwa roho inaumia sema tu nafurahia akilalamika kuwa girlfriend wake mpya hayuko kama mimi!!
...aha ha....
halafu kuna wale ambao hufanya kila wawezalo kukupa message '(showing off)' eti wamekuwa wabora tangu waachane 'nawe!'
Watu huwa wanaundergo healing processes in stages. Its not pure sour grapes. Its the same with losing a loved one through death. Haina maana we loved or cared for them less but we heal in different ways. Inaanza na denial, hate and contempt, self-blame na baadaye you reach level of indifference. Then you can even say that you wish them the best.
That is self-actualization...lkn it takes great character to reach that level. Haina maana ni roho mbaya, we are just not all the same to face breakups, loses, failures and even successes we react in different ways.
Mimi huwaga analalamika kwa rafiki zake kuwa alifanya makosa sana kunipoteza na anatamani kunirudisha kwenye himaya yake!! Nikizipata salamu hizi huwa nasikia raha. Hahahahahaaaaaa