Kwanini manesi wana roho mbaya?

Hiyo kazi ni ngumu, inahitaji ujue kuishi na watu vizuri, kumtuliza mgonjwa, kumpa pole, yaani mgonjwa ana mahitaji ya kihisia..... na vile wagonjwa wanavyotia huruma na kulalamika, changanya na ugumu wa maisha wanayopitia hao manesi, changamoto za kazi wagonjwa wengi, manesi wachache.... kunakua na shinikizo fulani

Lazima hao manesi watakua wakorofi, sio wote lakini....

Ni kama customer care wa benki na waalimu
 
Hiyo kazi ni ngumu, inahitaji ujue kuishi na watu vizuri, kumtuliza mgonjwa, kumpa pole, yaani mgonjwa ana mahitaji ya kihisia..... na vile wagonjwa wanavyotia huruma na kulalamika, changanya na ugumu wa maisha wanayopitia hao manesi, changamoto za kazi wagonjwa wengi, manesi wachache.... kunakua na shinikizo fulani

Lazima hao manesi watakua wakorofi, sio wote lakini....

Ni kama customer care wa benki na waalimu
Umesema ukweli, ni mawazo mbalimbali.
 
Nimeshalala Muhimbili zote mbili. Ikifika saa tatu usiku, manesi wa kiume na wakike wanaingia kwenye chumba ambacho hakina wagonjwa, wanachukua shuka Safi , hawatoki humo mpaka saa kumi na moja alfajiri kuja kugawa dawa na kupima presha.

Pale Muhimbili ya Mloganzila kwenye wodi za watu wawili au watatu Kuna button ya emergency ya kumuita nesi au daktari kukiwa na dharura, aisee, zile huduma wakorea walituwekea lkn waswahili au manesi wanaziona Kama you Fulani hivi.

Nimewahi kuzibonyeza lkn Ni Mara moja tu niliona response, na hapo nesi kaja kuchungulia na kurudi kwenye chumba Chao kuendelea kunyanduana.

Mlio oa manesi mtajengewa mnara wenu.
 
Back
Top Bottom