Roho inaniuma sana

Roho inaniuma sana

Huu ni uzwazwa kabisa, kwanza unamuamini mwanamke kiasi hicho ili ugundue nini.!? Inasikitisha sana yaani unahudumia mwanamke miaka miwili bila kula Mbususu, aisee mimi siwezi. Mwanamke ukimpaka ndani ya wiki ya kwanza omba mchezo akizingua potezea sio unakaza fuvu utazani yeye tu ndio ana utelezi.

Alafu unapenda namna gani hivyo yaani mwanamke anakupanga unapangika, dogo una miaka mingapi?
Daaah mkuu nilimuamini ukizingatia ata mzazi wake ananijua na sometime akiw na shida namsaidia kiaina
 
Ngoja ujifunze kwa damu na jasho na machozi ili upikwe ndio uyajue. Mie nililia mtt njiani miaka iyo nikiwa kijana mdogo nadhani alinitahiri moyo so hata nikikutana na wife akitoka loji kiroho Safi nitaendelea kuishi naye bila hiyana. Kwani babu zetu hawakufumania na wakakomaa mpaka wanatengeneza Koo zao tupo Kama sie.
Like shimo Kama kijiko Cha chakula kwa mama ntilie.
Am thinking how can I make even my fifth generation waishi bila kufanya kazi wakila gawio la hisa. That's all about me but I don't have a place in my head to think about pussyy.
Huyo atakuumiza tafuta kitu kingine fanya hao viumbe huwa wanaongozwa na intuition na sio jinsi unavyomhudumia ama kumbembeleza.
Kama anakupenda anaileta mwenyewe Ni Kama kipaji hulazimishwi uwe nacho.
Ama Ni sawa na kujikwaa yaani zile reflex action,ukijua Ilo na wao wanapenda ivyo.

Kama unahudumia na hujala utaumia,subiri unapikwa uwe dhahabu
Shukrn mkuu kwa ushauri
 
Masta we mgeni wa wanawake eeeh? Ndio mwanamke wako wa kwanza?.Piga chini huyo utapata mali nyingine safi kabisa.Inauma ila piga chini huyo.
Hakika mkuu nimeumia ila ngoja nisonge mbere
 
Pole jamaa, lakin unaonekana unaililia mno mbunye na yeye ameshajua we ni dhaifu unampenda kupitiliza. Fanya kila kitu kwa kiasi penda kwa kiasi. Wanawake ni wengi mno asijione yeye keki, temana nae usonge mbele na maisha yako.
Nimekupata master
 
Nakufundisha ili Siku zingine usiwe this Fool sawa? Ukikutana tu na Binti au Mwanamke yuko Chuo Kikuu anasema bado ni Bikra halafu anajifanya ni Mlokole kwa 100% jua ni Muongo na 'anabanduliwa' ile mbaya.

Siku zingine ukiingia na Demu Chumbani ukiona unamuomba Mbunye yake na hataki huku anajifanya Kulia jua hapo anakuzuga tu Boya Wewe na kwamba ameshakudharau hivyo hakikisha 'unambandua' hata kwa Kulazimisha sawa?

Mwisho nakupa sasa Mbinu ( Maujanja ) kwakuwa huyo Demu amekuchezea Akili na Kakulia mno vyako fanya kila uwezalo Mtege na safari hii usimpeleke Kwako bali nenda nae Gesti / Loji za mbali na akikupa tu "Mbandue' kwa Mfumo wa Bundesliga ( yaani kwa Hasira na Kazi Kazi ) hadi 'Mbunye' yake ibadilike Rangi kisha hakikisha unapita nae 'Rough Road' ya Buza kwa Mpalange sawa?

au kama vipi nipe tu na namba yake.
mkuu shukrn nimekupata ila namba sikupi
 
Kishakwambia hajisikii kufanya sex na ameharibiwa kisaikolojia na mwanaume aliyempenda huwezi jua huyo Mwanaume alimfanyia rough gani hadi binti amekua na phobia ya sex (Genophobia) au labda ni Asexual,
Muhimu ni kuzungumza nae uso kwa uso akueleze story yake na tiba zipo hospital au achana nae tafuta mwingine.

Be Positive.
Anza kuufanyia kazi huu ushauri mkuu.
 
Mie dem akinipiga tukio huwa simwachi ila naendelea kula.mbunye yake but simhudumii hata senti hata nikimaliza kula kisshani chake kila mtu anapita mlango wake. Nitatafuta pis kali kuliko yeye ndo nakuwa naipa kila kitu, siku akichoka atajiondoa mwenyewe. Mbunye huwa haiziriwi
 
Ogopa sana wanawake wanaopenda hiyo misemo mara Only God can judge me. Mimba za kutosha zishatoka, mara washakula vya watu
Ni defence flani hivi nadhani ili binadamu asimuonye.
 
Back
Top Bottom