Love is no longer for the Weak Mkuu....Niliamua kumpotezea lakini nilishindwa nilimtafuta ikabidi nimuombe msamaha. siku za rikizo yake ziliisha akarudi chuo, uku akiniadi Awezi ni saliti nilimuamini kiukweli ukizingatia ni mtu wa dini, na tulienderea kuwasiliana na kupigiana simu nilienderea kumudumia na kumsaidia pale alipo kuwa na shida .
Shukrn mkuu na ichi ndio nilicho fanyaLove is no longer for the Weak Mkuu....
Nikushauri tu,,,,Sitisha huduma zote kwa huyo Binti,,,acha kuwa king'asti(Mwanaume anayeabudu mbususu),,,Nasisitiza hili,,,sitisha kila kitu,,,hata Mawasiliano,,,Japo kwa maelezo yako najua hili la mawasiliano huliwezi,,,na hapo ndio Demu anakuchukulia point tatu Muhimu...
Jifunze kumudu hisia zako,,,Linalokuepuka kuna wakati huwa lina heri na wewe,,,,Usilazimishe,,,,nyuchi zipo telee,,,kuanzia za 0.00Tzs hadi Million+,,,,,Yafaa nini kulia lia na Binti mmoja....au ndio Mapenzi Upofu sasa huoni Warembo wengine???
Hata hizo Sms alizokutumia achana nazo,,,USIJIBU LOLOTE,,,,,MPUUZE....then kama sio Domo zege basi tafuta Kimwali ingizo jipya kujipoza machungu,,,,Huyo anayejiona ASALI,,muache Ajilambe...
Be a Man,,,Stay Taliban.
😂😂😂😂😂 ndio awe ananuka mdomo sasa unaweza hisi upo gamboshi na mtoa rohoAcha mimi nikuambie ukweli.
Wanawake huwa hatujisikii kusex na wanaume tusiowapenda.
Yaani huyo ni wazi hakupendi hata kidogo na yawezekena wewe hauna mwonekano mzuri na hela pia ni za kuungaunga.
Ukiwa na mwonekano usioridhisha ila kama una hela huwa tunajikaza hivyo hivyo, sasa ndio uwe hata hela huna..hamu zinatoka wapi sasa.
Aisee hamna mtihani mgumu kama kulala na mtu usiyempenda. Kwanza akionesha mahaba unasikia hata kumzaba kofiakileta mdomo akukisi unahisi sijui ni mdomo wa nyangumi. Aisee ni mtihani sana.
Alikwambia hajawahi kufanya sasa kabadili gia angani eti kashawahi mara mbili
Umepigwa
Muombe na wewe akupe mara mbili


we ninouma hahahaAlikwambia hajawahi kufanya sasa kabadili gia angani eti kashawahi mara mbili
Umepigwa
Muombe na wewe akupe mara mbili

fala sanaOfsaaaaaaaaavijana mnafeli sana.
kwa upande wangu inakuwaga hivi
mimi:naomba tunyanduane
yeye:hapana
mimi:sawa
nafuta namba naendelea kutafuta hela.
au
mimi:naomba kukunyandua
yeye:mmmmhh
mimi :kwahyo ndio au apana
yeye:mmmmh
mimi.nafuta namba


