Roho inaniuma sana

Roho inaniuma sana

Kishakwambia hajisikii kufanya sex na ameharibiwa kisaikolojia na mwanaume aliyempenda huwezi jua huyo Mwanaume alimfanyia rough gani hadi binti amekua na phobia ya sex (Genophobia) au labda ni Asexual,
Muhimu ni kuzungumza nae uso kwa uso akueleze story yake na tiba zipo hospital au achana nae tafuta mwingine.

Be Positive.
Shukrn mkuu nitajarbu kuongea nae
 
A
Wakuu habari zenu.. mimi sio mwandishi mzuri sana mtanisamehe kama nitakuwa nimekosea .

Nilikuwa naomba ushauri bila kupoteza mda . Mimi nilingia kwenye mahusiano na Binti mmoja Ambae tulidumu mpaka sasa nimiaka miwili nipo nae, tuliaidiana vingi tulipanga mipango mingi . Uyu binti ni mtu wa dini sana (Muslim)

Nilimpenda kweli na nilimuamini . Uyu binti anasoma chuo uko MWANZA alikuja likizo uku Dar Es salaam ambapo ndio kwako, nilimpenda sana nilijitaidi kumuhudumia pale anapo pata shida kifupi nilijitoa sana juu yake . (Apo cjawai ata kupewa kisi ya shavu wakuu ) Kunasiku nilimuomba aje home kunitemberea kweli alikuja home nilimwambia naitaji sex nae alikataa na akadai Ajawai kusex anaogopa Mimba nilimbembeleza sana lakini aligoma.. nikatumia adi nguvu lakini alikataa.. sikutaka kumlazimisha mana aliaanza adi kulia nilihic wenda akua tayari kwa siku iyo.

Niliamua kumpotezea lakini nilishindwa nilimtafuta ikabidi nimuombe msamaha. siku za rikizo yake ziliisha akarudi chuo, uku akiniadi Awezi ni saliti nilimuamini kiukweli ukizingatia ni mtu wa dini, na tulienderea kuwasiliana na kupigiana simu nilienderea kumudumia na kumsaidia pale alipo kuwa na shida .

Huu mwezi amepata likizo tena amekuja Dar es salaam, zimepita wiki mbili tangia afike. nimejaribu kumuomba Sex tena ila alicho niambia nahisi kama ni utani wakuu naombeni ushauri izi ndio massage zake nimeshindwa ata chakumjibu wakuuView attachment 2307280wee ulikosea ulitakiwa umbake ile mara ya kwanza
 
Huyo binti kimanzi hakupendi.........kosa kubwa ulilolifanya ni kumuamini na kuwekeza vijipesa vyako kwake........asikuambie mtu wanawake wa kileo hasa hawa wanaotokea hizi nchi zetu za kimasikini wengi wao ni matapeli....jifunze na wewe kuwa tapeli vinginevyo utakuwa unaumizwa kila siku....
 
Acha mimi nikuambie ukweli.
Wanawake huwa hatujisikii kusex na wanaume tusiowapenda.
Yaani huyo ni wazi hakupendi hata kidogo na yawezekena wewe hauna mwonekano mzuri na hela pia ni za kuungaunga.

Ukiwa na mwonekano usioridhisha ila kama una hela huwa tunajikaza hivyo hivyo, sasa ndio uwe hata hela huna..hamu zinatoka wapi sasa.

Aisee hamna mtihani mgumu kama kulala na mtu usiyempenda. Kwanza akionesha mahaba unasikia hata kumzaba kofiakileta mdomo akukisi unahisi sijui ni mdomo wa nyangumi. Aisee ni mtihani sana.
 
Kishakwambia hajisikii kufanya sex na ameharibiwa kisaikolojia na mwanaume aliyempenda huwezi jua huyo Mwanaume alimfanyia rough gani hadi binti amekua na phobia ya sex (Genophobia) au labda ni Asexual,
Muhimu ni kuzungumza nae uso kwa uso akueleze story yake na tiba zipo hospital au achana nae tafuta mwingine.

Be Positive.
Uliskia wap...? saikology kwny kupelekewa moto...huyo muongo hamna kitu hapo.
 
I see a lovely wife who knew where she was mistaken,
Kama unampenda kweli kaa naye tu muwekane sawa, kuna muda ni michezo ya utoto na ujana tu lakini pia hata changamoto za kimaisha.
Amini ninalokuambia kama unampenda kweli she is the one, naona kwa kiasi gani majuto yake yalipokaa na kutambua kosa lake.
Akiamini umemsamehe kwa dhati amini kauli yangu siku atakuambia ukweli halisia,(japo sio lazima sana)

Kwa kauli zake kuna mawili yapo nayaona

1.anaonyesha kukiri kosa na analijutia kabisa toka ndani ya moyo wake
2.maumivu hayo anayaongelea ndio mtihani wake kwako anahisi hawezi kusamehewa kabisa nawe wala haona kama unaweza ukamuelewa.

Usifikirie juu ya mwanaume mwingine kama ndio kampa machungu wewe fikiria yeye alivyokukosea ndio imempa machungu

Kwa hapo ni juu yako broo kusuka ama kunyoa yangu machache ni hayo
 
Wakuu habari zenu.. mimi sio mwandishi mzuri sana mtanisamehe kama nitakuwa nimekosea .

Nilikuwa naomba ushauri bila kupoteza mda . Mimi nilingia kwenye mahusiano na Binti mmoja Ambae tulidumu mpaka sasa nimiaka miwili nipo nae, tuliaidiana vingi tulipanga mipango mingi . Uyu binti ni mtu wa dini sana (Muslim)

Nilimpenda kweli na nilimuamini . Uyu binti anasoma chuo uko MWANZA alikuja likizo uku Dar Es salaam ambapo ndio kwako, nilimpenda sana nilijitaidi kumuhudumia pale anapo pata shida kifupi nilijitoa sana juu yake . (Apo cjawai ata kupewa kisi ya shavu wakuu ) Kunasiku nilimuomba aje home kunitemberea kweli alikuja home nilimwambia naitaji sex nae alikataa na akadai Ajawai kusex anaogopa Mimba nilimbembeleza sana lakini aligoma.. nikatumia adi nguvu lakini alikataa.. sikutaka kumlazimisha mana aliaanza adi kulia nilihic wenda akua tayari kwa siku iyo.

Niliamua kumpotezea lakini nilishindwa nilimtafuta ikabidi nimuombe msamaha. siku za rikizo yake ziliisha akarudi chuo, uku akiniadi Awezi ni saliti nilimuamini kiukweli ukizingatia ni mtu wa dini, na tulienderea kuwasiliana na kupigiana simu nilienderea kumudumia na kumsaidia pale alipo kuwa na shida .

Huu mwezi amepata likizo tena amekuja Dar es salaam, zimepita wiki mbili tangia afike. nimejaribu kumuomba Sex tena ila alicho niambia nahisi kama ni utani wakuu naombeni ushauri izi ndio massage zake nimeshindwa ata chakumjibu wakuuView attachment 2307280
Kenge nyie wewe na mwanamke wako, jifunzeni kuandika kwanza
 
Back
Top Bottom