Unajua yeye alitegemea atapewa hela halafu hajapewa ndiyo maana inauma.Unajua sio ya kucheka Cute B, hadi huruma maskini.
Ha hahaha
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua yeye alitegemea atapewa hela halafu hajapewa ndiyo maana inauma.Unajua sio ya kucheka Cute B, hadi huruma maskini.
Ninampenz wangu tuna muda kama miez 6 hv..
Jana aliniita kwake kua anaumwa ajisikii poa nami nikaenda kwake kama kumuona kufika kumbe mtu mzima tu et nilitaka nijue kama unanipenda
Sababu mda ulikua umeenda nikaamua kulala kwake
Kilichoniuma tumelala asubuh kaamka kaenda kazini mi naamka hajaniachia hata nauli sijakaa kama dakika 20 hv akarudi alisahau kitu mi sikuambia kitu nikafikiria labda alisahau kama binadam au alikua ninayo,,,kumbe aliacha 500 mezan akairudia akaichukua
Nimeamka sina nauli kibaya nikwamba alivyonishtua anaumwa hata poch niliacha nyumban....
Wapendwa nimeumia sana maana nimehangaika nimemtumia msg my sina nauli...kakaa kimya hajajibu mpaka sasa hv nilichokifanya nikamwambia rafik yangu akanitumia...
Moyo umeniuma sana kwel kwa mtu unaempenda kwel unamfanyia hivyo.. Wht if nisingepata mtu wakumitumia
Yaani! Wanawake wehu wapo wengi. Mgonjwa unamkamua.Ulimuambia unamtegemea nauli?? Yaani ulienda kumuona mgonjwa na ulitegemea akupe nauli yeye? Ungemuambia sina nauli.
Huu utegemezi umezidi kipimo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua yeye alitegemea atapewa hela halafu hajapewa ndiyo maana inauma.
Ha hahaha
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulimuambia unamtegemea nauli?? Yaani ulienda kumuona mgonjwa na ulitegemea akupe nauli yeye? Ungemuambia sina nauli.
Huu utegemezi umezidi kipimo.
Sent using Jamii Forums mobile app
aisee huyo jamaa yako apewe tuzo maana anamiliki upumbafu first grade/pure/uncontaminated stupidity,Kilichoniuma tumelala asubuh kaamka kaenda kazini mi naamka hajaniachia hata nauli sijakaa kama dakika 20 hv akarudi alisahau kitu mi sikuambia kitu nikafikiria labda alisahau kama binadam au alikua ninayo,,,kumbe aliacha 500 mezan akairudia akaichukua
Best mi sio tegemez hata kidogo ninabiashara yangu inanilipa tuUlimuambia unamtegemea nauli?? Yaani ulienda kumuona mgonjwa na ulitegemea akupe nauli yeye? Ungemuambia sina nauli.
Huu utegemezi umezidi kipimo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu wewe ukilaga papuchi unalipiagaa??Dah sasa Dada roho inamuuma kutoa papuchi kwa mtu kama huyo asiyejua thamani ya mwanamke.