Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 51,085
- 122,429
Lakini salama mkuu.Hatari sana
Lakini salama mkuu.Hatari sana
Ohoooooo!! Nimefanya nini tena mpenzi?
Pole sana mkuu. Nisamehe bure.Taratibu basi emmy.... Mnatujumuisha sote...
Wengine mnatuonea.
Lakini salama mkuu.
Nakukumbusha tu mkuuPole sana mkuu. Nisamehe bure.
hiyo njemba ina roho ngumu kweliii sidhani hata kama ingekuwa ni wewe ungemvumilia mkuuIla usawa huu sio aisee. Hadi 500 inarudiwa lol
Pole sana, chukua tu ustaarabu wako jamaa hakupendi. Halafu kuna mahali umeruka, mlikula tunda usiku? Nahisi jamaa alikuita anataka tunda sasa akaona akikwambia direct hutokwenda.
Ahsante mkuu usijali.Nakukumbusha tu mkuu
Hahaaaa. Ndio ishatokea sasa inambidi ajue namna ya kumkabili sasa mana kwa hali hiyo sidhani hata kama leo amekula.mkuu jiongeze basi suala liko wazi kabisa Jamaa ako alimiss mgegedo.... pili kwa jamaa ako kushindwa kupokea simu yako inaonesha wazi keshakuchoka na wewe kama mtu mzima anza kuwa na plan B kuanzia sasa.... kila la kher
hiyo njemba ina roho ngumu kweliii sidhani hata kama ingekuwa ni wewe ungemvumilia mkuu
jamaa kamvuruga kichwa kabisaa afu ukute jamaa kala na tunda... kwelii wanawake mna kazi nzito kuweza kumjua yupi mkweli na yupi si mkweli poleni sana mkuuHahaaaa. Ndio ishatokea sasa inambidi ajue namna ya kumkabili sasa mana kwa hali hiyo sidhani hata kama leo amekula.
Sasa kutoka kazin kwake hatumii nauli mpaka arudie miatano duuh pole mwaya
Sent using Jamii Forums mobile app
itakua kuna kitu walikorofishana hajatuambia, ndio maana jamaa akarudi ameona you are not deserving even a single cent.Tafadhali utuache,Shemela mpare nini