Roho imeniuma sana

Roho imeniuma sana

1. Unajuaje kama alikua hana hela...??

2. Au roho imekuuma kwakua tu alikutafuna na asubuhi akakuachia manyoya..!?

3. Hivi kweli kama huyo ni mpenzi wako, kwani ni lazima akulipe kila ukilala kwake....!?

4. Mbona sikunyingine haujawahi kuja kuyasema mazuri yake, ama hata kumuanzishia thread kila akikupa pesa...!?

5. Ulitaka akulipe, kwani wewe ni mfanya biashara ya mwili wako....!?

Aggghhhhh......
Nimejikuta napata maswali mengi kabla ya kukushauri aiseee.....
Anyway, huo ni mtazamo wangu tu. Naomba nisirushiwe mawe
Naunga mkono hoja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ninampenz wangu tuna muda kama miez 6 hv..
Jana aliniita kwake kua anaumwa ajisikii poa nami nikaenda kwake kama kumuona kufika kumbe mtu mzima tu et nilitaka nijue kama unanipenda
Sababu mda ulikua umeenda nikaamua kulala kwake
Kilichoniuma tumelala asubuh kaamka kaenda kazini mi naamka hajaniachia hata nauli sijakaa kama dakika 20 hv akarudi alisahau kitu mi sikuambia kitu nikafikiria labda alisahau kama binadam au alikua ninayo,,,kumbe aliacha 500 mezan akairudia akaichukua
Nimeamka sina nauli kibaya nikwamba alivyonishtua anaumwa hata poch niliacha nyumban....
Wapendwa nimeumia sana maana nimehangaika nimemtumia msg my sina nauli...kakaa kimya hajajibu mpaka sasa hv nilichokifanya nikamwambia rafik yangu akanitumia...
Moyo umeniuma sana kwel kwa mtu unaempenda kwel unamfanyia hivyo.. Wht if nisingepata mtu wakumitumia
We ulifikiri umeenda Bank… Saccos… au vikoba.
Je kama nae hana hela jee…..??
Mie nkajua umepata MAJANGA MAKUBWAAA au ngoma banna

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe utaendaje kwa mtu bila akiba kwani yy alikwambia ukienda kwake atakupa nauli? Acheni ujinga wenu, jamaa kafanya vizuri sana ili siku nyingine ujifufunze.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ninampenz wangu tuna muda kama miez 6 hv..
Jana aliniita kwake kua anaumwa ajisikii poa nami nikaenda kwake kama kumuona kufika kumbe mtu mzima tu et nilitaka nijue kama unanipenda
Sababu mda ulikua umeenda nikaamua kulala kwake
Kilichoniuma tumelala asubuh kaamka kaenda kazini mi naamka hajaniachia hata nauli sijakaa kama dakika 20 hv akarudi alisahau kitu mi sikuambia kitu nikafikiria labda alisahau kama binadam au alikua ninayo,,,kumbe aliacha 500 mezan akairudia akaichukua
Nimeamka sina nauli kibaya nikwamba alivyonishtua anaumwa hata poch niliacha nyumban....
Wapendwa nimeumia sana maana nimehangaika nimemtumia msg my sina nauli...kakaa kimya hajajibu mpaka sasa hv nilichokifanya nikamwambia rafik yangu akanitumia...
Moyo umeniuma sana kwel kwa mtu unaempenda kwel unamfanyia hivyo.. Wht if nisingepata mtu wakumitumia
Yani umenichekesha kwakweli......
Sema ukweli hakuna cha kuacha pochi wala nini ila hukuwa na ela zaidi ya nauli ya kukuleta kwake.
 
Mimi si sapoti kitu hapo Mimi kama mwanamke sawa navojua unapokuwa katika mahusiano Na mtu wako sio kila ukikutana nae akupe pesa ujue nae binadamu unaweza kujikuta hana sizani kutokukupa hela nanimtu wako labda useme hakupendi pia wakati anakuita umekurupuka mwanamke jitaidi usikose ata 2000 tu kwa Pochi mfano ungekuta anaumwa kweli ungemuomba sawa mpaka anairudia 500 maana hana kitu Jamani kuwa Na mwanaume sio ndoawe kitega uchumi mfano anakuita upo home huna nauli mwambie baby but sina nauli ujue kama anayo atakwambiaje au anayo atakwambiaje bila mwanaume akiwa Wa kwako kula tunda lake sio mpaka alipe Jamani usingeondoka kwakuwa umemwambia kajibu poa upo kwake tulia msubilie

Sent using Jamii Forums mobile app
Sidhani kama kasema yeye ni tegemezi, ameongelea mazingira yaliyopelekea hilo limkute, hapa huyu mwanaume sio wa kutetewa bwana. Kwanza kadanganya anaumwa kumbe walaa haumwi. Kaombwa nauli hajajibu kama atatoa au laa.
Hivi mtu wa hivyo siku nyingine akikwambia anaumwa si unampa pole tu na kuendelea na shughuli zako!!

The thing here ni kuwa binti alimjali, kakurupuka akawahi, ila kumbe anawahi uongo ila kwa upande wa mwanaume inaonekani ni mtu asiemjali mwenzake. Hofu sana mwanaume ambae hakujali kipindi cha uchumba, jiandae hivyo hivyo hata kwenhe ndoa.
 
Back
Top Bottom