ufyudhi
JF-Expert Member
- Apr 29, 2015
- 771
- 539
Kwa nini ategemee hela wakati kaenda kumuona Mgonjwa? Mi nachukia tabia hiziUnajua yeye alitegemea atapewa hela halafu hajapewa ndiyo maana inauma.
Ha hahaha
Sent using Jamii Forums mobile app
Naunga mkono hoja1. Unajuaje kama alikua hana hela...??
2. Au roho imekuuma kwakua tu alikutafuna na asubuhi akakuachia manyoya..!?
3. Hivi kweli kama huyo ni mpenzi wako, kwani ni lazima akulipe kila ukilala kwake....!?
4. Mbona sikunyingine haujawahi kuja kuyasema mazuri yake, ama hata kumuanzishia thread kila akikupa pesa...!?
5. Ulitaka akulipe, kwani wewe ni mfanya biashara ya mwili wako....!?
Aggghhhhh......![]()
![]()
![]()
Nimejikuta napata maswali mengi kabla ya kukushauri aiseee.....
Anyway, huo ni mtazamo wangu tu. Naomba nisirushiwe mawe
Inategemea na wamezoea kuishi vipi.Kwa nini ategemee hela wakati kaenda kumuona Mgonjwa? Mi nachukia tabia hizi
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah hilo nalo neno,labda jamaa kamzoesha hivyo,lakini kuna kujiongeza pia. Unaenda sehemu huna hela ya akiba,vipi kama daladala ikiharibika na konda akakimbia
Hahaha je kama ni jobless and hana any source of income??Yeah hilo nalo neno,labda jamaa kamzoesha hivyo,lakini kuna kujiongeza pia. Unaenda sehemu huna hela ya akiba,vipi kama daladala ikiharibika na konda akakimbia
Sent using Jamii Forums mobile app
Nashukuru sana Doris Gabriel.
We ulifikiri umeenda Bank… Saccos… au vikoba.Ninampenz wangu tuna muda kama miez 6 hv..
Jana aliniita kwake kua anaumwa ajisikii poa nami nikaenda kwake kama kumuona kufika kumbe mtu mzima tu et nilitaka nijue kama unanipenda
Sababu mda ulikua umeenda nikaamua kulala kwake
Kilichoniuma tumelala asubuh kaamka kaenda kazini mi naamka hajaniachia hata nauli sijakaa kama dakika 20 hv akarudi alisahau kitu mi sikuambia kitu nikafikiria labda alisahau kama binadam au alikua ninayo,,,kumbe aliacha 500 mezan akairudia akaichukua
Nimeamka sina nauli kibaya nikwamba alivyonishtua anaumwa hata poch niliacha nyumban....
Wapendwa nimeumia sana maana nimehangaika nimemtumia msg my sina nauli...kakaa kimya hajajibu mpaka sasa hv nilichokifanya nikamwambia rafik yangu akanitumia...
Moyo umeniuma sana kwel kwa mtu unaempenda kwel unamfanyia hivyo.. Wht if nisingepata mtu wakumitumia
Haaaaahaa mbavu zangu mieHahaha je kama ni jobless and hana any source of income??
Kazoea labda akienda kwa mbebez ndiyo anapewa raha na nauli ya kurudi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ehheee tate naneeeeeeee....Weanguuuuu....zumbe mulunguuuuuu
Taratibu sasa.
Yani umenichekesha kwakweli......Ninampenz wangu tuna muda kama miez 6 hv..
Jana aliniita kwake kua anaumwa ajisikii poa nami nikaenda kwake kama kumuona kufika kumbe mtu mzima tu et nilitaka nijue kama unanipenda
Sababu mda ulikua umeenda nikaamua kulala kwake
Kilichoniuma tumelala asubuh kaamka kaenda kazini mi naamka hajaniachia hata nauli sijakaa kama dakika 20 hv akarudi alisahau kitu mi sikuambia kitu nikafikiria labda alisahau kama binadam au alikua ninayo,,,kumbe aliacha 500 mezan akairudia akaichukua
Nimeamka sina nauli kibaya nikwamba alivyonishtua anaumwa hata poch niliacha nyumban....
Wapendwa nimeumia sana maana nimehangaika nimemtumia msg my sina nauli...kakaa kimya hajajibu mpaka sasa hv nilichokifanya nikamwambia rafik yangu akanitumia...
Moyo umeniuma sana kwel kwa mtu unaempenda kwel unamfanyia hivyo.. Wht if nisingepata mtu wakumitumia
Bima ya afya, kama hana unapigia simu nduguze.hivi ingelikuwa kweli kwamba anaumwa alafu itokee kwamba hakuwa na hela ungemsaidia vipi katika issue za hospital?

Niedi ngwiangu sielewa ngwiangu ahaaaa ngweshu humu hemna ngwenye akii humu
Sidhani kama kasema yeye ni tegemezi, ameongelea mazingira yaliyopelekea hilo limkute, hapa huyu mwanaume sio wa kutetewa bwana. Kwanza kadanganya anaumwa kumbe walaa haumwi. Kaombwa nauli hajajibu kama atatoa au laa.Mimi si sapoti kitu hapo Mimi kama mwanamke sawa navojua unapokuwa katika mahusiano Na mtu wako sio kila ukikutana nae akupe pesa ujue nae binadamu unaweza kujikuta hana sizani kutokukupa hela nanimtu wako labda useme hakupendi pia wakati anakuita umekurupuka mwanamke jitaidi usikose ata 2000 tu kwa Pochi mfano ungekuta anaumwa kweli ungemuomba sawa mpaka anairudia 500 maana hana kitu Jamani kuwa Na mwanaume sio ndoawe kitega uchumi mfano anakuita upo home huna nauli mwambie baby but sina nauli ujue kama anayo atakwambiaje au anayo atakwambiaje bila mwanaume akiwa Wa kwako kula tunda lake sio mpaka alipe Jamani usingeondoka kwakuwa umemwambia kajibu poa upo kwake tulia msubilie
Sent using Jamii Forums mobile app