Roho imeniuma sana

Roho imeniuma sana

Sidhani kama kasema yeye ni tegemezi, ameongelea mazingira yaliyopelekea hilo limkute, hapa huyu mwanaume sio wa kutetewa bwana. Kwanza kadanganya anaumwa kumbe walaa haumwi. Kaombwa nauli hajajibu kama atatoa au laa.
Hivi mtu wa hivyo siku nyingine akikwambia anaumwa si unampa pole tu na kuendelea na shughuli zako!!

The thing here ni kuwa binti alimjali, kakurupuka akawahi, ila kumbe anawahi uongo ila kwa upande wa mwanaume inaonekani ni mtu asiemjali mwenzake. Hofu sana mwanaume ambae hakujali kipindi cha uchumba, jiandae hivyo hivyo hata kwenhe ndoa.

To make it worse katumiwa ujumbe mfupi na binti kwamba sina nauli kakaaa kimya hajajibu. Sasa huyu utasema hana au ni dharau tu. Doris Gabriel
 
Wewe muuaji kabisa! Unaenda kumuona mgonjwa hata mia5 huna.. Ungemkuta haongei je? Kwa hiyo umeenda kwa mgonjwa kufanya nini au ulitegemea hilo sura na lishepu lako ndio angepona.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom