Roho imeniuma sana

Roho imeniuma sana

Ninampenz wangu tuna muda kama miez 6 hv..
Jana aliniita kwake kua anaumwa ajisikii poa nami nikaenda kwake kama kumuona kufika kumbe mtu mzima tu et nilitaka nijue kama unanipenda
Sababu mda ulikua umeenda nikaamua kulala kwake
Kilichoniuma tumelala asubuh kaamka kaenda kazini mi naamka hajaniachia hata nauli sijakaa kama dakika 20 hv akarudi alisahau kitu mi sikuambia kitu nikafikiria labda alisahau kama binadam au alikua ninayo,,,kumbe aliacha 500 mezan akairudia akaichukua
Nimeamka sina nauli kibaya nikwamba alivyonishtua anaumwa hata poch niliacha nyumban....
Wapendwa nimeumia sana maana nimehangaika nimemtumia msg my sina nauli...kakaa kimya hajajibu mpaka sasa hv nilichokifanya nikamwambia rafik yangu akanitumia...
Moyo umeniuma sana kwel kwa mtu unaempenda kwel unamfanyia hivyo.. Wht if nisingepata mtu wakumitumia
Pole aiseee
 
Ni mapema sana kujudge kwa upande mmoja...
1.Inawezekana jamaa kachunguza cm yako usiku kaona kuna sponser so kachukia why anahudumia while wako wawili au zaidi..

2.Inawezekana jamaa hataki aondoke..

3.Inawezekana kamchoka anamtafutia sababu....

4.Inawezekana jamaa kakuona sio wife material mwanaume akiwa anataka kuoa huwa wanakuwa na vigezo vingi sana labda kaamka morning kajiandalia breakfast au kaondoka na njaa...kajipasia nguo n.k....

5.Lakini pia inawezekana kitendo cha kukuita ghafla na kuamua kulala kwake coz hapo umesema muda umeenda umeamua kulala kwake kimekudisqualify kuwa mke...

kuna sababu zaidi ya mia za upande wa pili bado hatuzijui na hatutazijua

Sent using Jamii Forums mobile app
Osie iwe
 
🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄😛😛😛😛😛😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀TUMEKUSOOOOOOOOOOOOOOOOOOMAAAAAAAAAAAAAA
 
Hahahaa.huo ulikuwa ni mtihani wake wa pili kujua kama unampenda ki ukweli.umeenda kwa mgonjwa mikono mitupu bila hata kipaseli cha kijoti.kimsing umefeli best yangu.na nimeona mademu wenzio hapo juu wanakushauri umuache.kweli mnafanana wote, wategemezi invetsment.
 
Mama pita wewe pita tu kwa sababu hayo yote ni mapito na kuna siku yatapita!
 
1. Unajuaje kama alikua hana hela...??

2. Au roho imekuuma kwakua tu alikutafuna na asubuhi akakuachia manyoya..!?

3. Hivi kweli kama huyo ni mpenzi wako, kwani ni lazima akulipe kila ukilala kwake....!?

4. Mbona sikunyingine haujawahi kuja kuyasema mazuri yake, ama hata kumuanzishia thread kila akikupa pesa...!?

5. Ulitaka akulipe, kwani wewe ni mfanya biashara ya mwili wako....!?

Aggghhhhh......
Nimejikuta napata maswali mengi kabla ya kukushauri aiseee.....
Anyway, huo ni mtazamo wangu tu. Naomba nisirushiwe mawe
bila shaka mdomo wako umebaki wazi mkuu
 
Back
Top Bottom