Woga tupa kulee
JF-Expert Member
- Sep 4, 2012
- 1,752
- 1,311
Vipo vyuo viwili mkuu, floor ya tatu kipo IFM na floor ya pili ipo ADEM.
Walengwa, licha ya kujiweza kiuchumi, hawajaona umuhimu wa mall. Maendeleo ya vitu yanapozidi maendeleo ya watu.Kwa msiofika Mwanza, Rocky City Mall ndio Mlimani City ya Mwanza.
Cha kushangaza mwitikio wa wafanyabiashara wa Mwanza kwa jengo hili umekuwa mdogo sana mpaka kufikia kukodishwa kwa vyuo vikuu nchini kukodi floor za juu kuwa madarasa yao, vyuo zaidi ya vinne vikiongozwa na IFM vipo jengo hili.
Nadhani malengo ya hii mall hayakuwa kuifanya madarasa bali kituo cha kibiashara.
Pata picha Mlimani City inakuwa na Campus za IFM, CBE etc, mnaelewa vurugu za vitoto vya chuo.
Ile mall imejengwa kwa purpose zote ,,,,,, maduka , ofisi,supermarket ,kumbi za cinema,kumbi za mikutano ,hata chuo wakitaka kupanga ,,ni eneo kubwa na lina space kubwa kuliko mall yoyote Tanzania ...Wasukuma jamani mna fail wapi,hivi kweli mall unafanya madarasa...!!!
Bei za pango zinakuwa kubwa hivyo zinapachangia watu kutokukodi maeneo hayoMwendazake aliua uchumi wa sekta binafsi ambao ndio wangepangisha humo ulitegemea nini?
Pili supermarket na ushamba wa Wasukuma wapi na wapi? Hiyo Mall ingejengwa Dar,Arusha,Dom au Mbeya ingepata wapangaji..
Sio jengo hilo tuu bali kuna jingine Moshi na zile Twin Towers za pspf na Bandari ziko empty.
Niliandika hata juzi kwamba Pale stand ya Magufuli ilikuwa haitumiki kwa sababu Bei za pango zilikuwa juu kiasi kwamba wafanyabiashara wakashindwa kupanga na mabasi yakatafuta stand zingine mtaani..Bei za pango zinakuwa kubwa hivyo zinapachangia watu kutokukodi maeneo hayo
hii habari ya stendi kama ndivyo ilivyo, imekaa vema sana.Niliandika hata juzi kwamba Pale stand ya Magufuli ilikuwa haitumiki kwa sababu Bei za pango zilikuwa juu kiasi kwamba wafanyabiashara wakashindwa kupanga na mabasi yakatafuta stand zingine mtaani..
Mara kadhaa wafanyabiashara walilalamika.ila watumishi wasiojielewa walishupaza shingo hadi alipokuja Waziri Bashungwa na kutoa amri ya kushushwa pango,mapato yameongezeka kutoka sh.500,000 kwa siku hadi zaidi ya sh.8,000,000,000(Mil.8) kwa siku..
Hapo ndipo huwa najiuliza kwa nini Serikali inaajiri watu wanaotwa maofisa biashara wajinga wasiomhata na biashara? Hivi haya mambo yanahitaji Waziri au Rais?
Kwa.hiyo.kote huko Nina uhakika kinachokwamisha ni Bei kubwa ya pango,majitu yanaliowaje salary wakati hawazalishi? Rais aliwahi sema watumishi wa Tanzania hawajitambui ni kama mapunda mpaka yasukumwe yenyewe kujiongoza hawawezi..
Yule mzee, aliharibu sana uchumi wa nchi. Mzunguko wa pesa ulistaki, baada ya sekta binafsi kuwa paralysed. I hope hadi mwakani mambo yatakuwa sawia.Tena wangepashwa wafanye iwe hostel ata hotel za kulala wageni. Maana sio ubaya wowote. Uwekezaji lazima ulete return.
Uchumi ulizubaa ata tower nyingi na mall nyingi za dar zinahaha kupata wateja.
Pita ile barabara ya AirPort kulikua na mall nyingi sana ila sahivi ni kweupe hakuna mzunguko wala muingiliano wa watu
Ni kweli reak estates business iliyumba sana jamaa angetupeleka pabaya sanaTena wangepashwa wafanye iwe hostel ata hotel za kulala wageni. Maana sio ubaya wowote. Uwekezaji lazima ulete return.
Uchumi ulizubaa ata tower nyingi na mall nyingi za dar zinahaha kupata wateja.
Pita ile barabara ya AirPort kulikua na mall nyingi sana ila sahivi ni kweupe hakuna mzunguko wala muingiliano wa watu
Serikalini hakuna wabunifu mkuuNiliandika hata juzi kwamba Pale stand ya Magufuli ilikuwa haitumiki kwa sababu Bei za pango zilikuwa juu kiasi kwamba wafanyabiashara wakashindwa kupanga na mabasi yakatafuta stand zingine mtaani..
Mara kadhaa wafanyabiashara walilalamika.ila watumishi wasiojielewa walishupaza shingo hadi alipokuja Waziri Bashungwa na kutoa amri ya kushushwa pango,mapato yameongezeka kutoka sh.500,000 kwa siku hadi zaidi ya sh.8,000,000,000(Mil.8) kwa siku..
Hapo ndipo huwa najiuliza kwa nini Serikali inaajiri watu wanaotwa maofisa biashara wajinga wasiomhata na biashara? Hivi haya mambo yanahitaji Waziri au Rais?
Kwa.hiyo.kote huko Nina uhakika kinachokwamisha ni Bei kubwa ya pango,majitu yanaliowaje salary wakati hawazalishi? Rais aliwahi sema watumishi wa Tanzania hawajitambui ni kama mapunda mpaka yasukumwe yenyewe kujiongoza hawawezi..
Ni kweli lakini hilo halikuwa lengo,uchumi wako ukiyumba hata gari yako ya kutembelea utaigeuza taxiTena wangepashwa wafanye iwe hostel ata hotel za kulala wageni. Maana sio ubaya wowote. Uwekezaji lazima ulete return.
Uchumi ulizubaa ata tower nyingi na mall nyingi za dar zinahaha kupata wateja.
Pita ile barabara ya AirPort kulikua na mall nyingi sana ila sahivi ni kweupe hakuna mzunguko wala muingiliano wa watu
Usichoelwa wabongo huwa hawaendi kushop floor za juu,its either wana matatizo ya magoti,uvivu,au ni wagonjwa,mlimani city hawakuwa wajinga kuacha kujenga ghorofa,rocky city floor za juu nusu ziko emptyIle mall imejengwa kwa purpose zote ,,,,,, maduka , ofisi,supermarket ,kumbi za cinema,kumbi za mikutano ,hata chuo wakitaka kupanga ,,ni eneo kubwa na lina space kubwa kuliko mall yoyote Tanzania ...
🤣🤣🤣😂😂😂😂!! Mwanzaafu hapo Mwanza inataka ifananishwe na Arusha, wasukuma hawapo serious kabisaaa. Lol
Mzee baba unaifahamu Ngurudoto ya Arusha? ilishawahi kuwa hostel za AIAKwa msiofika Mwanza, Rocky City Mall ndio Mlimani City ya Mwanza.
Cha kushangaza mwitikio wa wafanyabiashara wa Mwanza kwa jengo hili umekuwa mdogo sana mpaka kufikia kukodishwa kwa vyuo vikuu nchini kukodi floor za juu kuwa madarasa yao, vyuo zaidi ya vinne vikiongozwa na IFM vipo jengo hili.
Nadhani malengo ya hii mall hayakuwa kuifanya madarasa bali kituo cha kibiashara.
Pata picha Mlimani City inakuwa na Campus za IFM, CBE etc, mnaelewa vurugu za vitoto vya chuo.