mwamba c
JF-Expert Member
- Jan 2, 2017
- 690
- 2,361
- Thread starter
- #301
Wakuu samahanini kwa kuwakatisha uhondo na kuwasababishia arosto..kiufupi ni kwamba nmewasiliana na mtunzi wa riwaya na amesema amekatisha riwaya kwa dhumuni la kutoa kitabu hvyo bas nasubir akishatoa kitabu ntakuwa nkiendelea kuwaletea muendelezo hapa kwa kutyp...hvyo naomben muwe watilivu kidogo cjawatenga bado ila kama arosto ikikaba xana kuna kitu kikali kipo mwanzo mwisho mnaeza mkakisoma kupitia link hii hapa Riwaya : Noti Bandia....!! Mwanzo-mwisho. Huku hakuna Arosto.