kimwerijcb
JF-Expert Member
- Aug 10, 2018
- 259
- 231
Hii kitu haichoshi kusoma,ila ndio imeishia hewani ,nimebaki kama teja sasa,hakuna kitabu wala mwendelezo
Mbona hii nasikia haijaisha
Haijafika mpska mwsho ila ndo inaenda mwisho. Isome baadae nikilala man's utanogewaMbona hii nasikia haijaisha
Nishaanza kuisoma Leo univumilie tuHaijafika mpska mwsho ila ndo inaenda mwisho. Isome baadae nikilala man's utanogewa
Nilikusubiria sana. Fanya kuisevu thread usome midaNishaanza kuisoma Leo univumilie tu
Sawa kwaajili yako ngoja nifanye hivyoNilikusubiria sana. Fanya kuisevu thread usome mida
Nashukuru bidadaSawa kwaajili yako ngoja nifanye hivyo







Mh..kafa huyu,ila mi nnayo yote fanya kunidm![]()
Tukanunue vitabu tu amna jinsiShida ya Hawa jamaa wanakatisha story