Riwaya: Ufukwe wa Madagascar

Riwaya: Ufukwe wa Madagascar

Mambo ya kina LEGE yashaamia MMU ndio maana nitendelea kumfagiiia The Bold mpaka JF ife.
Hana kujisikia wala kulinga wala kuleta vijisababu.
 
Binadamu angekuwa danger maneno yangeshutigi kama risasi by Darassa.
 
Naona dalili za mwamba kurudi na kukuta uzi alipouacha
 
Huyu Mwamba kaleta usanii wa hali ya juu, hii hadithi ipo kwenye page ya mwandishi Kelvin Mponda facebook na ameishia sehemu ya 70....Mimi niliisoma kule na nikawa nasubiri hapa ianze sehemu ya 71 nikijua mleta uzi ana mzigo wote...Nilipoona kapost anaenda nje ya nchi nikajua tayari swaga za Mswahili na janja ya nyani.
Kwa hiyo wadau turudi tu tukamsubiri Lege ambaye ni Mkweli kuliko huyu Mwamba anatuletea Ukanjanja wa Mjini.
 
Huyu Mwamba kaleta usanii wa hali ya juu, hii hadithi ipo kwenye page ya mwandishi Kelvin Mponda facebook na ameishia sehemu ya 70....Mimi niliisoma kule na nikawa nasubiri hapa ianze sehemu ya 71 nikijua mleta uzi ana mzigo wote...Nilipoona kapost anaenda nje ya nchi nikajua tayari swaga za Mswahili na janja ya nyani.
Kwa hiyo wadau turudi tu tukamsubiri Lege ambaye ni Mkweli kuliko huyu Mwamba anatuletea Ukanjanja wa Mjini.
Hahaha, wwabongo ndivyo waalivo
 
Huyu Mwamba kaleta usanii wa hali ya juu, hii hadithi ipo kwenye page ya mwandishi Kelvin Mponda facebook na ameishia sehemu ya 70....Mimi niliisoma kule na nikawa nasubiri hapa ianze sehemu ya 71 nikijua mleta uzi ana mzigo wote...Nilipoona kapost anaenda nje ya nchi nikajua tayari swaga za Mswahili na janja ya nyani.
Kwa hiyo wadau turudi tu tukamsubiri Lege ambaye ni Mkweli kuliko huyu Mwamba anatuletea Ukanjanja wa Mjini.
Teh!

Sijui akileta utasemaje!

By the way, me nasubiri kote kote
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom