"Pepe mpenzi".
"Uko wapi", Pepe aliuliza.
""Niko Kampala narudi kesho".
"Ooh Mungu wangu, toka umeondoka
sijapata usingizi. Njoo mume wangu
nina
hamu sana na wewe, nakupenda sana".
"Na mimi zaidi, kesho mama, kwaheri",
Willy akakata simu.
Bibiane alikuwa akisikia lakini alijifanya
kama hamsikii alimgeukia Willy na
kusema. "Uko wapi Willy?, njoo ulale,
najua siku yangu ni leo tu, hivyo lazima
niitumie siku hii kikamilifu".
"Katika nafsi yangu hupenda mtu
anayeelewa mambo kama wewe", Willy
alijibu huku akirudi ndani ya shuka na
kumkumbatia Bibiane.
KWELI NDOA NI JINA TU UKIWA NA MUME HAPO UBAVUNI MWAKO