hope uchu umewaisha sasa. nawashukuru kwa uvumilivu wenu tangu mwanzo mpaka hapa tulipofikia. waliokwazika poleni sana tusameheane tusonge mbele naimani mambo mazuri mengi yanakuja.
Ombi limesikika loud n' clear usicheze mbali na hili jukwaa usije ukapitwa kwani bado kitambo kidogo tu!
Daima tuko pamoja uhondo utaendelea very soon