Riwaya: UCHU

Riwaya: UCHU

Nimeimaliza,
Kumbe huwa zinachukua muda mrefu hivi kuisha??

Ahsante.
 
Huu mzigo ilikuwa wa uhakika, shukrani za dhati ziwafikie wote mliofanikisha tutapata burudani hii ya aina yake
 
hope uchu umewaisha sasa. nawashukuru kwa uvumilivu wenu tangu mwanzo mpaka hapa tulipofikia. waliokwazika poleni sana tusameheane tusonge mbele naimani mambo mazuri mengi yanakuja.

Nia yangu ilikuwa nipitie taratiiiiiiiibu kwa mwendo wa kunyata ila nikaona siwezi kuwa muungwana nisipo kipatia shukrani za dhati kwa kutufikishia hii kazi jamvini SHUKRANI SANA MKUU
 
Yaani tokea saa nane mchana nilikuwa nikisoma hii stori.... Jamani atakayeuona uzi wa stori ya willy gamba iitwayo NJAMA aupandishe juu
 
.




.....................................................................................................
Xd

...............
,.......
 
Duh!kidi kudi kwema?maana kitambo ndugu!
Nipo sana kiongozi, ila hii kauli mbiu ya hapa kazi tu inapeleka msobemsobe hata sipati muda wa kujumuiKa jamvini kikamilifu. Ila nipo mkuu
 
Nipo sana kiongozi, ila hii kauli mbiu ya hapa kazi tu inapeleka msobemsobe hata sipati muda wa kujumuiKa jamvini kikamilifu. Ila nipo mkuu
Kweli ndugu yangu huu mpera mpera unatupeleka kweli ila juhudi na ubunifu unatuhusu.
 
kuna `mzigo' unaitwa TANZIA ukipekua hapa jukwaani utaupata,ila inatisha sana,mambo ya kishirikina
 
Nashukuru jamii forum naisoma hadithi hii.Sikujuwa kama Musiba aliandika kitabu kingine baada ya kufa na kupona,Kikosi cha kisasi,njama,kikomo na Hofu.
Mwandishi kama unacho Hujuma,tutiririshie.
 
Back
Top Bottom