Riwaya: Siri

Jamani nisaidieni... hivi Edger alikufa? kwenye episode ya ngapi?
 

000000 0
 
Mkuu,Patrick ck. Kwanza nkupongeze sana kwa uandishi mahiri wa riwaya, nmekuwa mfuatiliaji WA riwaya zako kuanzia ile ya penieli mpka hii ya siri..

Kiukwe ww ni miongoni mwa waandishi mahiri kanisa na bora. Ntahakiki baadae katka maudhui ya mwandishi..

Ila ambavyo ni agharabu sanA kukipata kwa waandishi wengi ni uweredi wa mpangilio katika matukio, matumizi ya lugha, mpangilio wa kisimlizi, (ukutumia uwakilishi ktk uhalisia)

Ukwel ni hui mungu amekuba kipaji cha pekee, kunawakati nakusoma nAtamani kakuulza swali hapa uliwaza nn;;,,

Anyway asante. Nkirudi nami ntahakiki kidogo..

B
 
Ahsante mkuu
 

Safi sana... Story nzuri sana...

Chapter Closed...



Cc: mahondaw
 
Habari mambo naitwa Mr Equator Nimeandika ujumbe huu kuku omba swala moja tu!
Mimi nimetengeza website ya ku share story ambayo ni EquatorStory
Je umekuwa ukipata tabu kupost story zako hapa?
Hili ndo suluhisho lako.
Mimi nataka nkupe nafasi ya kuwa mmoja wapo wa kwanza kutumia hii website
unda account yako na uweze kupost story yako mpya.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…