Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,400
- 465,175
Sijataka kumjibu nilimdharau tu na kumshusha heshimaIla bwana shem....l..a upunguzage hasira bana maana sio kwa barua ile
Sijataka kumjibu nilimdharau tu na kumshusha heshimaIla bwana shem....l..a upunguzage hasira bana maana sio kwa barua ile
H
Hapana bana stress ziliingiliana kuna mtu muda ule alinizingua afu naingia huku nakutana na shunie nae anasema tunamkeraga
So ikawa double stress
Ukiwa na stress zako upambane na hali yako tuMuulize vizuri atakwambia
Kule sio kuelekeze ulikuwa na mambo zako tuLakini hata mimi sidhani kama nilienda mbali kiasi cha kufikia kunidharau Coz nahisi nilielekeza tu
Sina kinyongo mie ningekuwa na kinyongo ningekujibu na me na gazeti langu kama vile ulivyofanya ila uliona nilivyo mstaarabu nilikaa kimya kama sio mm uliyeniandikiaHaya bana tufanye tu kama hakukutokea kitu hivi maana naona bado unakinyongo na mimi
Haya bana kwa kuwa na ustarabu huo mana ungejibu kwa muda pingine labda sasa hivi ningekuwanimeshakula Ban tho ulifanya poa pia kukaa kimyaSina kinyongo mie ningekuwa na kinyongo ningekujibu na me na gazeti langu kama vile ulivyofanya ila uliona nilivyo mstaarabu nilikaa kimya kama sio mm uliyeniandikia
Tuko pamojaKule huajatumalizia unatupa arosto na huku sijui itakuwaje
Ina maana bado halikuingia hlo gzaPoa ngoja giza liingie nirudishe mbata nyumbani
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] haya banaH
Hapana bana stress ziliingiliana kuna mtu muda ule alinizingua afu naingia huku nakutana na shunie nae anasema tunamkeraga
So ikawa double stress
hapo sasa sawa tumeelewanaHahaaa nitaslim ili dini iruhusu
Mh nafunga mdomo kuanzia sasaA
Atakuja tu bado anawachora kwanza
kumbe jaman,ila shoo samehe yaishe jaman,kudo kuna mtu alimvurugaKuzingua kukwambia ukweli ndio mana sijataka kukujibu kwenye mgazeti wako nilijua tu utakuja ule sio utani ulimaanisha ulichoongea byeee
ameomba msamaha jaman msamehe tuNilifukuzwa ndugu bada ya kumwambia mambo za kuuza story kuwa aseme toka mwanzo kuwa anauza akapanick