RIWAYA: Sauti ya Mtutu (mtazika kila ikisikika)

RIWAYA: Sauti ya Mtutu (mtazika kila ikisikika)

So sorry mkuu.. Ila mbona kama unatuzidishia dozi afu unatuacha hewani.. Ile riwaya ya siku kabla ya Leo hujaendeleza mkuu..
 
sehemu ya tano

Nikaanza kukifuata kijia walichonielekeza huku nusu nikikimbia na nusu nikitembea,sikutaka kugeuka nyuma maana niliamini zaidi hisia zangu za mlango wa nane kuliko macho yangu.

Nilizidi kukimbia huku kwa nyuma nikizisikia kelele za wale askari wa wanyama pori wakija kwa kasi na hapo nikatambua walikuwa wapo juu ya gari yao na wengine walikuwa wanakimbia kwa miguu.

“usiende ule mwelekeo wa adui alie nyuma yako” nikayakumbuka maaelekezo ya mkufunzi wangu jeshini.Unashangaa Albino kuwa jeshi nitakwambia huko mbele kwanini niliingia jeshi.

Nikasimama na kuweka sikio moja ardhini na hapo nikapata kuusikia muungurumo wa gari ukija usawa wa njia niliopita lakini miguu ya watu niliisikia ikihama kuelekea kulia mwa njia ile niliopita.Nikasimama na kutazma huko kulia nikaona hakuna pori nene kama huku kushoto na hapo nikajua kwanini walielekea kule.

Nikabidi kucheza na hisia za watu wale walioaamini nitapita kulia ili niwahi kufika barabara kuu,nikakata shauri kuelekea kushoto kuliko na pori nene na bila kusita nikaanza kufuata vijia vyembamba na ambavyo bila shaka vilikuwa vinapitwa na wanyama wa msitu ule.

Ni wakati nilipohisi nipo salama upande huo lakini kumbe kuna macho ya watu yalikuwa yakinitizama na sikufika mabli sana risasi ikalia karibu na kichwa change nahapo nikajua nimekoswa na mtu anaeniona na atakuwa kwenye miti ile mirefu kajificha ikabidi nianze kukimbia huku nikiitumia miti kama nago yangu huku nikijaribu kuwaza uapande atakaokuwa yule mtu na kama kaniona ina maana atakuwa kawapa taarifa wenzie na mara moja wataanza kunifuata.

Paah!! Risasi nyingine ikasikika nakuja kuchimba kwenye mti nilikuwa nimejikinga,lakini mlio huu ulitanipa taarifa ya kuwa mtutu uliotumika hapa si wa kudungulia ni mtu alie na sub machine gun mkononi na ilivolia nikajua kabisa mpigaji alikuwa anakimbia na hivyo muda huo baada ya kunikosa atakuwa anatembea kwa tahadhari kubwa kuja nilipo.

Nikatazama juu ya mti ule niliojificha nikaona itanichukua dakika si zaidi ya moja kufika juu kabisa na hapo mtu yule atakuwa kaniona na kunifanyia shambulizi,nikautazama tena mti ule na hapo nikajiridhisha na unenen wake.

Nikaliacha begi langu chini kisha nikatumia njia ya nyani kukwea mti hii nilifundishwa na mlezi wangu aliekuwa ni komando wa daraja la juu ncini Tanzania,isha nikawa kama kima anavyoning’inia awapo kwenye shina la mti hivyo sikuwa nimempa nafasi adui yule ya kuniona nilipo.

Haukupita muda nikaona askari yule akiwa chini analitazama begi langu katika namna ya kushangaa na mimi sikutaka kumchelewesha nikaruka kutoka juu katika namna ya kupenedeza japo wewe ukijaribu uaneza ishia vunja kiuno,na nilipofika chini tayari mikono yangu ilikuwa imeidaka shingo yake huku miguu ikikita chini na muda mfupi uliofuata hakuwa katika idadi ya waliohai askari yule.

Nikaikota silaha yake aina ya micro sub machine gun ya kichina na nilipoibeba mikoni mwangu nikaikadiria risasi zake bila kutoa magazine yake na niliona kabisa uzito wake utakuwa 3.68 na hii ilimanisha tayari ilikuwa imeshatema risasi kama kumi natano hivi na zilisalia kumi na mbili.

Nikampekuwa tena hakuwa nacha zaidi tena na nilipotazama angani nagalau tayari jua lilikuwa limeanza kutoa mwangaza wa mionzi ya kuleta joto.

Wakati nikirudisha macho yangu chini ili nichukue begi langu nikaona mi mfupi mbele yangu ukicheza katika namna ya kuficha kitu,nilitaka kusema labda ni wale nyoka tena lakini haikuwa hivyo yule alikuwa ni mtu tena alieenda pale ndani ya dakika chache zilizopita naalikuwa anajaribu kuniweka katika windo.

Nikaokota begi langu kwa mkono wa kushoto na kuhama pale katika kasi ya kukwepa mshale na bunduki niliochukua kutoka kwa mtu yule ikiwa mikononi mwangu.

Ilikuwa ni kutoka mti mmoja hadi mwingine huku nikijaribu kwenda kinyume na akili za mtu yule nilie amaini yupo kwenye kile kichaka,nikaufikia mti mmoja mnene na kujibanza pale na kisha nikaanza kuchungulia upande ule kwa chati ya akudoakudo yaani natoa kichwa kwa kutanguliza zaidi jicho moja kuliko kichwa kizima na sikukawia kumwona mtu yule nae akihama upande ule ili aelekee kwenye kichaka kingine kilichokuwa karibu.

Sikutaka kumkawiza maana tayari akili yangu ilikuwa inahesabu kifo tu kutoka kwa watu wanaonidharau kabisa kila kukicha kisa mimi ni Albino.

Nikaachia risasi yangu katika shabaha ya ajabu kabisa na kabla hata hajisitiri kwenye kile kichaka tayari risasi ilishamfikia na kumtupa juu na alipodondoka chini hakuwa na uhai tena.

Nikataka kuanza kugeuka ili nianze kukimbia kusonga mbele lakini akili yangu ikanasa tukio kutoka kwa mtu yule niliempiga risasi,hakuwa amevaa sare zile za kijani kama sakri wale wa wanyama pori na hapo ikabidi nicheze na roho yangu ikabidi nirudi kwa kasi eneo lile alipodondokea na nilipofika kweli mtu yule hakuwa maevaa sare zile ila laivaa sare kama za watu wale waliokuwa wananikimbiza jana yake wakati nilipokuwa nikiuvuka mto Iyumbi.

Mtu huyu alikuwa amefunika uso wake kwa vitambaa vipana au skafu katika lugha ya wengi.ikanilizamu nimfunue na hapo nikapigwa na butwaa mtu yule alikuwa na asili ya kisomali,nikataka kumpekuwa zaidi lakini tayari nilikuwa nimelisikia lile gari likizidi kusogea nilipokuwa ikabidi niachane nae kisha nikaiokota bunguki yake iliokuwa na kiwambo cha kuzuia sauti na kuanza tena kukimbia kwenda mbele zaidi huku nikiamini kabisa wale askari watamuona mtu yule na hapo nilitaka kuhakikisha kama watu wale ni wamoja nikapanga kuukwewa mti mmoja mrefu utakaoniwezesha kuwaona watu wale,pindi wakimfikia mtu yule pale chini wataonesha jambo gani kati ya kushangaa na kuomboleza.

*******


asalaamu kudo
 
seheme ya sita


Nilikuwa nimetulia tuli juu ya tawi la mti huku nikijitahidi kuweka sawa akili yangu na mwiliuweze kukabiliana na myumbo wa tawi lile.

Nikiwa pale pale juu ya mti nikapata kuona askari kama kum hivi waliokuwa kwa miguu wakijongea kwa mbio kuja eneo lile nilipoziacha zile maiti za watu wale tofauti na nyuma yao kulikuwa nalile gari lao lenye kufanana na kichaka.

Ajabu walipofika kwa ile maiti yenye sare zao wakaibeba na kuingiza kwenye gari lao huku wakionekana wazi kusononeka juu ya jmbo Fulani na niliwaona wakijadiliana kuhusu jambo Fulani na kisha wakaanza tena kufuauta uelekeo niliokujia lakini hawakufika mbali tayri walikuwa wameshaiona ile maiti ya mtu yule mwenye asili ya kisomali.

Walionekana dhahiri kabisa wakishangaa maiti ile kuepo pale na walionekana kabisa wakianza kuingiwa na uoga juu ya jambo lile,nikashangaa kwanini watu wale waingiwe na woga baada ya kuinona maiti ile na yule mtu kama hana mahusiaono na askari wale mtu yule ni nani na kwanini tangu jana wanaonekana wakinifuata mimi kila niendapo wana nitakia nini wasomali hawa,ila hapakuwa na wakunijibu katikakati yam situ ule mnene.

Pale nilipokuwa sikutaka watu wale wenye dharau na wanowinda maisdha yangu waendeelee kujadiri jambo kwa mapana zaidi na hapo nikaikoki vizuri ile silaha ya kudungulia kisha nikaiset eyepiece kayika namna y kuweza kuwaona vyema na hapo nikaachia risasi kutoka kwenye ile sniper riffle 348 sauer na hapo ikaleta matokeo chanya na mtu mmoja kati yao alikuwa chini huku ubongo wake ukitapakaa huku na huko na kuwaacha wenzie wakihaha kujua risasi imetokea wapi.

Nilitabasamu baada ya kuona watu wanaojiita zwazima wakiogopa risasi na hapo nikajiambia “watanikoma” kisha nikatema mate chini kuonesjha kweli mimi ndie yule brown matata nilielitikisa jeshi la watu huko Tanzania sembuse hawa kanyaboya.

Nikafyatua tena risasi nyingine na hapo nikashuhudia akienda chini mtu mwingine na askari waliobaki wote wakkimbilia nyuma ya gari kwa ajili ya kujikinga na mimi nikazidi kubaki palepale juu mti huku nikiwa kimya kabisa na begi langu mgongoni.

*****

Askari wale wa hifadhi ile ya Iyumbi waliendelea kutulia palepale huku wakijaribu kujua adui yao niko wapi.

Nikiwa bado niko palepale nikaisikia sauti ya kitu juu kidogo ya kichwa change na hapo sikuchelea kujua huyo ni nyoka na mimi ikabidi nitulie vilevile bila kutikisika huku uvumilivu wakati wa hatari niliofundishwa jeshini ukiwa umenitwawala vyema kabisa.

Nyoka ailizidi kunitambaa mgongoni mwangu huku akiweka vituo kadhaa kama anaewinda kitu hivi na mimi nikajitahidi kuibana pumzi yangu isisikikike kwa mnyama yule alie juu ya mgongo wangu huku sasa wakti huo kichwa chake kikiwa kipo miguuni pangu na tubo lake likiwa juu ya begi langu na mkia wake ulikuwa bado upo kichwani pangu.

Nilipotizama kule kwa wale askari wa hifadhi nikaona wameongezeka tena na wakati huu walikuwa zaidi ya ishirini na walionekana wakijadili jambo na watatu kati yao nikaona wanaanza kuja na kijia kile nilichopita kuja kwenye mti huu na hapo hofu yangu ikaongezeka na nikajua kosa moja tu litanipeleka kuzimu nab ado nyoka yule alikuwa bado yupo mgongoni kwangu akisikilizia nisichokijua.

Akili ilinituma nifyatue tena risasi lakini nakajua mtikisiko wowote ule ni lazima nyoka yule aliemgongoni kwangu angefanya shambulizi tu,hapo ikabidi nitulie tu huku sasa watu wale wakizidi kusogea karibu namti ule niliojuu yake.

Walifika hadi pale chini ya mti ule na hapo nikamsikia nyoka yule akijivuta kwa nguvu kisha nikamsikia akitema kitu kwelekea kue chini na hapo nikashudia mmoja ya askari wale akitahamaki na kupiga kelele kisha wkaanza kukimbia kurudi kule waliko wenzao lakini nyoka yule nae akajirusha na kudondoka chini kisha akaanza kufukuzana nao nanhpo na mimi nikapata ahueni ya moyo lakini sikuta kuacha kuona nyoka yule atakacho kifanya kwa lile windo lake na nilitaka kujua kwa nini nyoka yule ambae hafananinii kuwa na madhara anapenda kuwinda watu lakini maswali yangu yalipata majibu haraka ni baada ya nyoka yule kumfikia askari yule kisha akamtanga kwa mbele na kunyanyua kichwa chake huku tayari mkia wake ukiwa umeanza kumzunguka askari yule, nilichokishuhudia sijapata kuona hata kitabu kimeandika kuhusu aina ile ya nyoka.

Alianza kujitunisha kuanzia chini kidogo ya kichwa chake na akanza kuwa kma puto na ukubwa wake ukaanza kuongezeka kila alivokuwa akijitunisha lakini kabla hajafanya alichokusudia akapigwa risasi na mtu yule alienipiga mtama wakati nikiwa kabini kwao na hiyo ndo ikawa ponapona ya askari yule amabe muda huo alikuwa ameshalowa kwa jasho.

Nikiwa palepale nikazidi kuwatazama askari wale wakizidi kujadili lakini tena sikutaka kuaacha hivihivi nikaachia risasi ikatua kwenye paji lauso wa mmoja wao tena nikaona mtafaruku kila mmoja akijaribu kuokoa roho yake na mimi tabasamu likazidi kuupamba uso wangu maana nilizihitaji hekaheka kama zile katika maisha yngu na nilipenda zaidi kuona mtu akipata taabu yakuokoa uhai wake kisa mimi waneniita haramu huku wengine wakiniita mlemavu na wengine wakiniita mkosi na mimi nasema mtazika kila nikitaka na mtalia kila ikisikika sauti yam tutu wa bunduki yangu.

*******

MZIGO HUU UTAKUWA TAYARI KUANZIA KESHO HIVYO WALE WASIOPENDA KUNGOJA TUWASLIANE KWA

0758573660
0658564341
0624155629

ASALAAAM KUDO
 
ITAENDELEA CHIEF USIJALI NA KAMA KUNGOJA HUWEZI BASI TUWASILIANE NIKUPE SOFT COPY
So sorry mkuu.. Ila mbona kama unatuzidishia dozi afu unatuacha hewani.. Ile riwaya ya siku kabla ya Leo hujaendeleza mkuu..
 
Sawa mkuu Mimi nitakutfta nichukue mzigo maana siwezi kusubiri.. Na hao wadau wengine wasio na subira na hawans uwezo wa kununua.. Huoni kama unawaonea mkuu?.. Ningekushauri umalizane na moja kwanza tunaelewa uwezo wako katika utungaji lakini jitahidi kuwa fair kwa hadhira yako boss..
 
seheme ya sita


Nilikuwa nimetulia tuli juu ya tawi la mti huku nikijitahidi kuweka sawa akili yangu na mwiliuweze kukabiliana na myumbo wa tawi lile.

Nikiwa pale pale juu ya mti nikapata kuona askari kama kum hivi waliokuwa kwa miguu wakijongea kwa mbio kuja eneo lile nilipoziacha zile maiti za watu wale tofauti na nyuma yao kulikuwa nalile gari lao lenye kufanana na kichaka.

Ajabu walipofika kwa ile maiti yenye sare zao wakaibeba na kuingiza kwenye gari lao huku wakionekana wazi kusononeka juu ya jmbo Fulani na niliwaona wakijadiliana kuhusu jambo Fulani na kisha wakaanza tena kufuauta uelekeo niliokujia lakini hawakufika mbali tayri walikuwa wameshaiona ile maiti ya mtu yule mwenye asili ya kisomali.

Walionekana dhahiri kabisa wakishangaa maiti ile kuepo pale na walionekana kabisa wakianza kuingiwa na uoga juu ya jambo lile,nikashangaa kwanini watu wale waingiwe na woga baada ya kuinona maiti ile na yule mtu kama hana mahusiaono na askari wale mtu yule ni nani na kwanini tangu jana wanaonekana wakinifuata mimi kila niendapo wana nitakia nini wasomali hawa,ila hapakuwa na wakunijibu katikakati yam situ ule mnene.

Pale nilipokuwa sikutaka watu wale wenye dharau na wanowinda maisdha yangu waendeelee kujadiri jambo kwa mapana zaidi na hapo nikaikoki vizuri ile silaha ya kudungulia kisha nikaiset eyepiece kayika namna y kuweza kuwaona vyema na hapo nikaachia risasi kutoka kwenye ile sniper riffle 348 sauer na hapo ikaleta matokeo chanya na mtu mmoja kati yao alikuwa chini huku ubongo wake ukitapakaa huku na huko na kuwaacha wenzie wakihaha kujua risasi imetokea wapi.

Nilitabasamu baada ya kuona watu wanaojiita zwazima wakiogopa risasi na hapo nikajiambia “watanikoma” kisha nikatema mate chini kuonesjha kweli mimi ndie yule brown matata nilielitikisa jeshi la watu huko Tanzania sembuse hawa kanyaboya.

Nikafyatua tena risasi nyingine na hapo nikashuhudia akienda chini mtu mwingine na askari waliobaki wote wakkimbilia nyuma ya gari kwa ajili ya kujikinga na mimi nikazidi kubaki palepale juu mti huku nikiwa kimya kabisa na begi langu mgongoni.

*****

Askari wale wa hifadhi ile ya Iyumbi waliendelea kutulia palepale huku wakijaribu kujua adui yao niko wapi.

Nikiwa bado niko palepale nikaisikia sauti ya kitu juu kidogo ya kichwa change na hapo sikuchelea kujua huyo ni nyoka na mimi ikabidi nitulie vilevile bila kutikisika huku uvumilivu wakati wa hatari niliofundishwa jeshini ukiwa umenitwawala vyema kabisa.

Nyoka ailizidi kunitambaa mgongoni mwangu huku akiweka vituo kadhaa kama anaewinda kitu hivi na mimi nikajitahidi kuibana pumzi yangu isisikikike kwa mnyama yule alie juu ya mgongo wangu huku sasa wakti huo kichwa chake kikiwa kipo miguuni pangu na tubo lake likiwa juu ya begi langu na mkia wake ulikuwa bado upo kichwani pangu.

Nilipotizama kule kwa wale askari wa hifadhi nikaona wameongezeka tena na wakati huu walikuwa zaidi ya ishirini na walionekana wakijadili jambo na watatu kati yao nikaona wanaanza kuja na kijia kile nilichopita kuja kwenye mti huu na hapo hofu yangu ikaongezeka na nikajua kosa moja tu litanipeleka kuzimu nab ado nyoka yule alikuwa bado yupo mgongoni kwangu akisikilizia nisichokijua.

Akili ilinituma nifyatue tena risasi lakini nakajua mtikisiko wowote ule ni lazima nyoka yule aliemgongoni kwangu angefanya shambulizi tu,hapo ikabidi nitulie tu huku sasa watu wale wakizidi kusogea karibu namti ule niliojuu yake.

Walifika hadi pale chini ya mti ule na hapo nikamsikia nyoka yule akijivuta kwa nguvu kisha nikamsikia akitema kitu kwelekea kue chini na hapo nikashudia mmoja ya askari wale akitahamaki na kupiga kelele kisha wkaanza kukimbia kurudi kule waliko wenzao lakini nyoka yule nae akajirusha na kudondoka chini kisha akaanza kufukuzana nao nanhpo na mimi nikapata ahueni ya moyo lakini sikuta kuacha kuona nyoka yule atakacho kifanya kwa lile windo lake na nilitaka kujua kwa nini nyoka yule ambae hafananinii kuwa na madhara anapenda kuwinda watu lakini maswali yangu yalipata majibu haraka ni baada ya nyoka yule kumfikia askari yule kisha akamtanga kwa mbele na kunyanyua kichwa chake huku tayari mkia wake ukiwa umeanza kumzunguka askari yule, nilichokishuhudia sijapata kuona hata kitabu kimeandika kuhusu aina ile ya nyoka.

Alianza kujitunisha kuanzia chini kidogo ya kichwa chake na akanza kuwa kma puto na ukubwa wake ukaanza kuongezeka kila alivokuwa akijitunisha lakini kabla hajafanya alichokusudia akapigwa risasi na mtu yule alienipiga mtama wakati nikiwa kabini kwao na hiyo ndo ikawa ponapona ya askari yule amabe muda huo alikuwa ameshalowa kwa jasho.

Nikiwa palepale nikazidi kuwatazama askari wale wakizidi kujadili lakini tena sikutaka kuaacha hivihivi nikaachia risasi ikatua kwenye paji lauso wa mmoja wao tena nikaona mtafaruku kila mmoja akijaribu kuokoa roho yake na mimi tabasamu likazidi kuupamba uso wangu maana nilizihitaji hekaheka kama zile katika maisha yngu na nilipenda zaidi kuona mtu akipata taabu yakuokoa uhai wake kisa mimi waneniita haramu huku wengine wakiniita mlemavu na wengine wakiniita mkosi na mimi nasema mtazika kila nikitaka na mtalia kila ikisikika sauti yam tutu wa bunduki yangu.

*******

MZIGO HUU UTAKUWA TAYARI KUANZIA KESHO HIVYO WALE WASIOPENDA KUNGOJA TUWASLIANE KWA

0758573660
0658564341
0624155629

ASALAAAM KUDO
Toka mwanzo muwe mnatoa taarifa kama mnauza hizi mambo ndio sizipendi
 
Toka mwanzo muwe mnatoa taarifa kama mnauza hizi mambo ndio sizipendi
Wewe Mama wewe inauzwa kwa asiependa kungoja hapa na haimaanishi nitashindwa kuimaliza hii riwaya

Kikubwa ni subra tu pale isiporuka unakausha ikija basi mambo supa

Riwaya zangu zote yaaani zooooote zitaisha hapa jukwaaani wajameni lakini kuna watu hawapendi kupoa wao waje tu mzigo upo unauzika wajameni
 
Mkuu G nadhani tumeshawasiliana bila Shaka
Lakini kuna ile nyingine inaelekea kuisha vimebaki vipande vichache tu ndio maana nikaleta na huu uzi pia ili ziendelee kubaki mbili na moja ikielekea kuisha naweka nyingine pia wajameni tuelewane katika hilo
Sawa mkuu Mimi nitakutfta nichukue mzigo maana siwezi kusubiri.. Na hao wadau wengine wasio na subira na hawans uwezo wa kununua.. Huoni kama unawaonea mkuu?.. Ningekushauri umalizane na moja kwanza tunaelewa uwezo wako katika utungaji lakini jitahidi kuwa fair kwa hadhira yako boss..
Ji
 
Kweli kabisa wanakera sana na me ndio nimeishia hapa siendelei tena sababu kutakuwa na arosto sana kashaanza mambo za kuuza
Akinunua mtu napata bando la kuendelea kuweka hapa kila siku anyway kama ndo mwisho Good pia watakuja wengine watasoma na wasiohitaji kungoja watanunua hilo lieleweke kwa kila mmoja

Halazimishwi mtu kununua nadhani wanaofuatilia nyuzi zangu wanaelewa kina Tumosa,moneytalk wanaelewa hilo na walionunua riwaya nyingine nadhani ni kwa upendo wao tu na kuunga jitihada za waandishi.

Lakini wewe kusoma ama kutokusoma hakunipunguzii kitu mimi ili hali jf kuna watu zaidi ya laki nne so msiopenda arosto bora muondoke tu maana najua huko mbeleni naweza kosa muda wa kuweka hapa mzigo huu mkaona nazingua na kuanza kutoa lugha chafu

Sipendi kifupi kushambuliwa kwa lolote so nibora mtoweke tu ila wanaofahamu ni nini nafanyaga kwa riwaya zangu watasapoti na watasoma kila nitakapoweka hapa hadi mwisho

Asalaam kudo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom