Riwaya: Pumbazo

Riwaya: Pumbazo

Dah kidogo nivunje mguu nlivyokuja kasi,mkuu mzaramo muendelezo saa ngapi mkuu
 
kazi hazifanyiki sababu ya kuchungulia huku kila wakati
 
Tunajikuna tu mweh mzaramo usitutendee hivy tutaptea wenzio!
 
watu manapenda sana kupata sifa ambazo haziwahusu. Hiyo hadithi ya kijana wa wtu tumeisoma huko fb leo wewe huku unataka sifa kwa copy and paste
 
watu manapenda sana kupata sifa ambazo haziwahusu. Hiyo hadithi ya kijana wa wtu tumeisoma huko fb leo wewe huku unataka sifa kwa copy and paste
Achaaa sifaaa ww SEMA page gani hukoo fb inapatikanaaa hii story nionee Kamaa kweliiii
 
Leo swaum, maybe tutafuturu jioni. kwanza hongera sana,maana huwa nafuatilia hadithi zako kwani ndo huwa zinafika mwisho tofauti na za kina-nameless girl. Barikiwa sana mzaramo
 
Achaaa sifaaa ww SEMA page gani hukoo fb inapatikanaaa hii story nionee Kamaa kweliiii
Kuna jamaa anaitwa George wa hadithi ndio mwenye hiyo page. So mshikaji amefanya kucopy na kupaste tu huku. Ila mwenyewe aliruhusu kushare
 
  • Thanks
Reactions: lic
Kuna jamaa anaitwa George wa hadithi ndio mwenye hiyo page. So mshikaji amefanya kucopy na kupaste tu huku. Ila mwenyewe aliruhusu kushare
Sasa Mbuna shda I wap ndg yangu?
 
Mijitu mingine mijinun kwelkwel sa we yakuhusu nin ata kama ka copy na kupaste.......
Ahsante kwa lugha maridhawa ya kiarabu uliyoitumia katika sentensi yako ndugu yangu.Inaelekea wewe ni khuntha kwa jinsi ulivyotoa povu kwa hiyo kauli yako tu.
 
watu manapenda sana kupata sifa ambazo haziwahusu. Hiyo hadithi ya kijana wa wtu tumeisoma huko fb leo wewe huku unataka sifa kwa copy and paste
Hivi unalijua jina la kweli la Mwandishi? Je unajua kama mwandishi ana maelewano na makubaliano na mtunzi? Au unajuaje kama huyu ndio GEORGE mwenyewe? Acha upuuzi wako wa fb huku ni anga nyingine kama unatafuta mume sema.
 
Ahsante kwa lugha maridhawa ya kiarabu uliyoitumia katika sentensi yako ndugu yangu.Inaelekea wewe ni khuntha kwa jinsi ulivyotoa povu kwa hiyo kauli yako tu.
Tatizo umekurupuka kuja humu huku ukivuja povu... kama amecopy unaonaje wewe ukaiendeleza?
 
Kawaida ya watu wenye midomo na vnyongo hawakosi kubwabwaja hata yasiyowahusu
 
@mzaramoooooo njoo nikupe demu wangu wa kimanzichana maana huyo uliyenae amekutawala sana mpaka umeshindwa kutokea kikaoni
 
Back
Top Bottom