Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
Watakupgia tu mkuu ucwe na harakaNi rahaa sana pale unapobeep halafu unapigiwa,Ibra amebeep naona amepigiwa vizuri!!.....Halafu alivyo mjanja amezama pm moja kwa moja ndo maana swali aliloulizwa hajalijibia hapa!!...........Mbona mimi nikibeep huwa sipigiwi jamani??![]()

