RIWAYA: Msitu wa Solindo

RIWAYA: Msitu wa Solindo

Hii riwaya nilishaisoma yote kitambo ni nzuri sana
hapa nafanya kuirudia tena kwa mara ya pili maana ni bonge la riwaya
 
MSITU WA SORONDO

Mtunzi Richard Mwambe

Simu 0754740668

1
Chau cafe Chau cafe
Amata Ga Imba aliendelea kunywa kahawa yake polepole kana kwamba hana
shughuli nyingine ya kufanya kwa siku hiyo, kichwani akiwa na mawazo mengi sana
akipanga na kupangua juu ya maisha yake ya sasa na baadae, alipotahamaki hata kashata
alizokuwa akila zilikwisha moyoni akajiuliza kama aliagiza kashata au ameshazila
zimekwisha! Hilo nalo likawa jambo jingine ambalo lilikosa jibu kabisa.
“Chausiku!!” aliita kwa nguvu kana kwamba aliyekuwa anamuita alikuwa umbali wa
kilomita kadhaa lakini kumbe wote walikuwa hapo jirani tu.
Watu walishtuka kwa sauti hiyo hata wengine walidiriki kumtupia maneno yasiyostahili
“Samahani waheshimiwa!” aliomba msamaha
“Samahani nini mjinga wewe!” mmoja alitamka kwa hasira
“Wengine tuna BP utatuuwa bure sura ka Sokwe!” mwingine aliongeza
Amata aliumia sana moyoni kwa tukio lile, akainamia mezani, akatikisa kichwa kisha
akasimama kwa hasira na kuelekea eneo la kunawia mikono, akajitazama kwenye kioo,
akatabasamu, kisha akageuka na kurudi alipoketi kwanza.
Kabla hajaketi alisikia sauti nyuma yake
“Umejiona ee? Ka sokwe, tena wa Gombe!” mmoja alimkejeli, wengine wakaangua
kicheko cha dharau na kupiga miluzi.
Hasira za ghafla zikamrudia Amata, akageuka na kuelekea upande ambao sauti ile
imesikika
“Nani aliyesema vile?” aliuliza kwa kung’aka, wakacheka tena
“Ukimuona utamfanya nini? Fala wewe mtoto wa porini!!” mwingine alisema na
wengine wakaangua kicheko. Amata alipiga hatua mbili mbele na kumkunja shati yule
aliyesema maneno hayo akamuinua kwa nguvu akamrusha chini, huyo akaanguka chini
mzimamzima kama gunia, jamaa akanyanyuka kwa hasia na kumvamia Amata, Amata
akamdaka na kupiga vichwa vitatu vya nguvu akamsukuma kidogo na kumrushia
makonde kama mvua, kijana yule alichanganyikiwa hata hakuweza kujibu mashambulizi
alianguka chini mara ya pili.
“Ameua! Ameua! Ameua!” kelele za watu zilijaza mgahawa ule mara watu wakajaa
wanataka kumshika Amata. Yule kijana bado alikuwa chini hajitambui kwa kipondo cha
ghafla alichokipata. Amata aliruka kutoka aliposimama akatua juu ya meza na kutaka
kutoroka kwa kupitia dirishani, watu walimgombania kwa kumshika shatia wengine
suruali, masikini Amata shati lake lilichanika vibaya akabaki na fulana ya ndani na
kuwaachia shati wananchi wenye hasira, alliruka kupitia dirisha la mgahawa huo na
kudondokea kwenye lundo la mawe kwa kutanguliza mkono, alihisi maumivu makali ya
mkono lakini alipogeuka aliona watu wale wanakuja pale alipo, akanyanyuka na kutimua
mbio
“Huyo huyo! Kamata muuaji huyo!!” kelele za wananchi wale zilikuwa kama kichocheo
kwa kijana Amata kuongeza spidi. Mara kwa mbele aligongana na pande la mtu na
kuangushwa mbali, alinyanyuka na kuanza kukimbia tena, watu walitoka majumbani na
kumuunganishia kama kawaida ya wananchi. Mbio ziliendelea na wananchi nao
hawakuchoka, alitokea kwenye wigo wa nyumba la! Hapakuwa na njia aliruka na kupanda ukuta kisha akatokea upande wapili na kupanda tena alitua chini kwa miguu
yake mikakamavu na kutimua mbio lakini la haula! Alipokuwa akijaribu kuvuka kichaka
kidogo katika eneo hilo alijikwaa vibaya na kuanguka chini, mchezo umekwisha. Watu
wakamkamata na kuanza kumpiga hata kumuumiza vibaya, Mungu si Athumani polisi
waliwahi kumuokoa kutoka kwenye mikono ya watu wenye hasira.
“Tuachie huyo tummalize! Muuaji huyo!” watu walipiga kelele na wengine bado
walidiriki kurusha hata mawe ambayo baadhi yaliwapata askari wale. Askari mmoja
akafyatua risasi hewani na watu wale wakatawanyika kwa woga wakikimbia uku na huku
wengine wakianguka na kukanyagana vibaya. Amata alichukuliwa mpaka kituo kidogo
cha polisi akiwa hatamaniki kwa jinsi alivyolowa damu hata fulana yake aliyobaki nayo
baada ya kuwaachia shati watu wale haikujulikana kama ni nyeupe au nyekundu, juu ya
jicho lake la kushoto jeraha kubwa lilikuwa bado linavuja damu, mkono wake umevimba,
kucha ya kidole gumba cha mguu wa kushoto haikujulikana hata imeng’okea wapi.
Askari wale walimpiga Tanganyika jeki bila huruma wala kujali kuwa mwenzao
ameumia namna ile wallimkokota tena na makofi juu mpaka kituo kidogo cha polisi na
kumlundika selo.
Ndani ya chumba kidogo cha selo katika kituo cha polisi cha kijiji wahalifu walijazana
mpaka hewa haikutosha kabisa, walichoka na hata wengine kukosa nguvu, kupoteza
fahamu kwa kukosa hewa ya kutosha. Amata aliingia kwenye selo hiyo katika hali ile
aliyokuwanayo, akakaribishwa na joto na harufu mbaya haja kubwa na ndogo
zilizochanganyika, mwanga hafifu uliopita katika kadirisha kadogo kenye ukubwa wa
mlango wa banda la njiwa ndio pekee kalikokuwa kanatoa faraja kwa binadamu hawa
waliokuwa na makazi ya muda ndani ya chumba hiki, wote walikuwa na sura za kutisha
ambazo bila kuuliza utajua kuwa sasa nimeingia kuzimu.
Ucku huo ulikuwa mrefu sana kwa Amata, mawazo mengi yalitawala kichwa chake,
maumivu makali yaliusumbua mwili wake, alijituliza kimya kwenye moja ya kona za
kijichumba hiko huku akisikia kichefuchefu kama mama mjamzito kila mara alitamani
kutema mate lakini atatemea wapi watu wamejazana hata wengine wamekaa kwa
kupakatana mh! Mawazo yaliendelea kumsonga hata usingizi mwepesi
uliokatishwakatishwa kwa nyimbo za kuchukiza za mbu masikioni mwake ulikuja na
kuondoka, aliwaza jinsi anavyoishi kwa tabu bila Baba wala Mama wa kumtetea, japo
aliachiwa shamba kubwa na kibanda cha kuishi lakini hakuujua uelekeo wa maisha yake,
“alikuwa analinga na Baba yake, ataona sasa” wengi walisema hivyo, Amata aliona ama
jamii yote haimtaki, dunia imemchukia au ulimwengu unampa adhabu?
“Kwa nini mimi?” alijiuliza uliza moyoni mara kwa mara hasa alipokuwa kwenye
kibanda chake huko shambani kwao ambako alipitisha maisha yake ya ujana tangu
wazazi wake walipofariki yeye akiwa na umri wa miaka michache nyuma, mama yake
aliuawa na Simba alipokwenda kuchota maji nje kidogo ya shamba lao ijapokuwa Baba
yake alijaribu kumtetea dhidi ya Simba hao wakali wenye uchu wa nyama lakini hakufua
dafu ‘kidole kimoja hakivunji Chawa’ alipiga kelele za msaada lakini hakuna aliyekuja.
Lakini Baba yake alikufa baada ya kuugua kwa muda mfupi miaka michache baadae.
Kila aliporudiwa na picha hizi alilia sana na kujiona kuwa yeye ni binadamu mwenye
mkosi, akuwahi kuwa na kaka wala dada isipokuwa ndugu tu ambao pia hawakuwa na
msaada nae kabisa. Amata!!!” aligutushwa na sauti kali ya askari iliyotokea kwenye kadirisha ka mlango wa
selo hiyo.
“Afande!” aliitikia kwa uchovu na kujaribu kujiinua kutoa alipokuwepo lakini alijikuta
anapata kizunguzungu na kuwaangukia wenzake waliokuwa hapo. Alifika mlangoni pale
kwa shida mbele yake alimuona msichana mrembo sana kasimama, mrefu wa wastani
maji ya kunde, alivalia vizuri suruali yake ya kitambaa nyeusi na blauzi yake nyeupe
huku shingoni kafunga skafu yenye mchanganyiko wa rangi, nywele zake fupi
zilizokatwa kiumahili na vinyozi wanaojua kazi yao, kiatu chake kirefu kilimfanya
aonekane kuwa ni mrembo anayetunzwa na pedeshee fulani. Dada yule alijivuta taratibu
mpaka kwenye dirisha lile. Amata alipokea pumzi safi iliyonukia na kuvutia kutoka kwa
mrembo huyo, hakuamini anachokiona ni malaika au binadamu, aliduwaa, akapigwa na
bumbuwazi, mikono yake ikiwa imeshika nondo mbili zenye kutu alijikuta anaishiwa
nguvu. Mrembo yule alishika nondo zile kwa kubana mikono ya Amata akaiangalia sura
ya Amata iliyochoka na kukaukiwa na damu..
“Saringo! Naitwa Saringo” almwambia Amata kwa sauti ya chini
“Hunijui, ila utanijua punde tu” aliendelea “Haujaua ila umeumiza vibaya, sasa unastahili
zawadi kwa kazi uliyoifanya bila kujua, na zawadi hiyo utaipata ukimaliza kazi yako”
Saringo alishusha pumzi na kumwangalia Amata usoni na kumuona jinsi
alivyochanganyikiwa, akaendelea kumwambia mashairi yake yasiyoeleweka kwa mtu
mwenye akili timamu, sasa kwa kukunja sura akamwambia Amata “ Lazima ufungwe,
uishie jela!” akageuka nakuondoka zake. Amata akazidi kulowa jasho, maswali yasiyo na
majibu yalimzunguka tena ‘nilijua malaika mwema kaja kuniokoa kumbe malaika mbaya
wa mauti kanitembelea’ alijiwazia na kuanza kulia. Amata hakupata jibu mwanamke yule
ni nani, na anataka nini, utata. Asubuhi ile kalandinga liliwachukua mpaka mahakama ya
kijiji, jalada la Amata lilikuwa la tatu kuitwa, taratibu akiwa na pingu mikononi
aliingizwa katika chumba cha hakimu na kusomewa mashitaka ya kudhuru mwili,
alijikuta hana cha kukana isipokuwa kukubali, kesi ikahairishwa mpaka baada ya siku
kumi na nne. Walipokuwa wanarudi kwenye kalandinga alimuona binti yuleyule akiwa
amesimama katika kundi la watu waliokuja mahakamani hapo, muonekano wake ulikuwa
tofauti na wote pale kwani ndiye aliyevaa nadhifu kuliko wote ‘huyu ni nani?’ Amata
alijiuliza hakupata jibu, moyoni alimlaani kuliko anavyomlaani shetani walipogongana
macho Amata alitema mate chini na kumuonesha kidole cha kati. Mara alijikuta
anatandikwa kofi la kisogoni au vijana huita ‘mbata’
“Panda juu unatuchelewesha!” sauti kali ya askari ilisikika. Amata na wengine
wakapanda na lori lile kuondoka kwa kasi.
[emoji814][emoji814][emoji814]
“Una mpenzi mzuri sana, mtoto kaumbika kama Malaika, he he he mbona wewe na yeye
hamuendani kabisa au wewe ni mchunga ng’ombe wao!” mmoja wa mahabusu
alimuuliza Amata kwa sauti mbaya ya kukwaruza isitoshe inatisha. Amata aligeuka na
kumwangalia akatabasamu kwa sura iliyochoka
“Simjui hata anatoka wapi” alimjibu
“Kwangu ni kama shetani tu yule, anataka kuniua, kunifunga, hilo ndilo limemleta hapa”
aliendelea kumueleza yule mahabusuKwa nini aje kukuona asubuhi yote ile? Au kuna uhusiano wowote na kesi yako?”
aliendelea kudadisi mahabusu yule,
“Sijui chochote! Mbona maswali mengi umempenda? Mfwate basi, mi nshakwambia
smjui! Yule ni shetani tu” Amata alijibu kwa hasira kidogo na mahabusu yule
hakuendelea na maswali yake.
Kesi ilitajwa tena baada ya siku kumi na nne, Amata na wenzake wakiwa na pingu
mikononi waliingizwa katika chumba maalumu cha mahabusu mahakamani hapo, Amata
alisimama karibu na mlango, mara ghafla alipata mshtuko mkubwa, hakuamini
alichokiona nje ya jingo hilo, akakaza macho kutazama kwa makini akayafikicha kidogo
aone labda alikuwa ndotoni lakini hapana alichokiona ni sahihi na macho
hayakumdanganya. Hakutaka kupoteza hata sekunde katika lile alilokuwa anliona lakini
bahati mbaya hakuweza kusikia kinachozungumzwa. ‘Yule sio Chausiku?’ alijiuliza
moyoni lakini pia hakutaka kuyaamini macho yake.
Chausiki Binti Saidi, msichana mfupi mwenye afya njema kibonge, mmiliki wa mgahawa
unaojulikana kwa jina la Chau Café, msichana huyu ambaye amekuwa pamoja na Amata,
wamesoma shule moja ya msingi kijijini hapo na kucheza michezo mingi ya utoto
pamoja, yeye alifanikiwa kufika japo darasa la saba wakati Amata alifukuzwa shule
akiwa darasa la tano kwa kisa cha kumpiga mawe mwalimu wake wa darasa. Maisha
yalimwendea kombo Amata kielimu japo alijitahidi sana katika rasilimali alizoachiwa na
marehemu baba yake Chausiku alimpenda kutokana na bidii yake katika kazi. Watu
walimbeza sana Chausiku kwa jinsi alivyoonesha upendo kwa Amata hii ikapelekea
Chausiku kutokuwa karibu sana na kijana huyu ambaye japo aliugusa moyo wake,
pamoja na ukorofi lakini hakuweza kumtoa moyoni mwake, moyoni mwa Chausiku
Amata alikuwa kama maji yatuliavyo mtungini yasipoguswa. Vijana wengi walipenda
kwenda mgahawani kwake japo tu roho zao zisuhuzike kwa kumuona binti huyu, wapo
waliomdanganya kwa pesa na vitu mbalimbali lakini msimamo wake thabiti
haukumfanya ayumbishwe na vitu vyote hivyo bali aliuacha moyo wake utue kama
kipepeo atuavyo katika ua alilolichagua.
Chausiku aliumizwa sana na kisa kilichomkuta Amata, alijua kuwa Amata kwa hali
aliyonayo asingeweza kupata msaada wowote wa kisheria au utetezi katika kesi yake,
alijitahidi kufanya kila awezalo ili tu amsaidie Amata katika hili.
Jalada la Amata liliitwa, polisi walimtoa katika chumba kile akiwa chini ya ulinzi na
kupelekwa katika chumba cha mahakama, akiwa anapita katika kikorido kidogo cha
jengo hilo alisikia sauti nyembamba tamu ikipenya masikioni mwake, ilikuwa si ya
mwingine bali Chausiku ambaye alikuwa akilia kwa machozi mazito “Mnyezi Mungu
akusaidie” ni maneno aliyomwambia, Amata aligeuka kwa kuiba, alifarijika kuona
kumbe wapo katika binadamu awa hawa wanaompenda, kidogo alijisikia mtu kati ya
watu.
Kesi ya Amata ilikwisha alihukumiwa kifungo cha miaka miwili na miezi sita jela.
Waliondolewa mahakamani na Amata alianza kutumikia kifungo chake huko gereza la
kilimo Sogera, gereza lenye kazi ngumu, kulima, kupanda, kuvuna, muda wote mkiwa
katika matope, maji machafu, mnakula chakula huku mnanyeshewa na mvua, mateso!.
 
MSITU WA SORONDO

Mtunzi Richard Mwambe

Simu 0754740668

1
Chau cafe Chau cafe
Amata Ga Imba aliendelea kunywa kahawa yake polepole kana kwamba hana
shughuli nyingine ya kufanya kwa siku hiyo, kichwani akiwa na mawazo mengi sana
akipanga na kupangua juu ya maisha yake ya sasa na baadae, alipotahamaki hata kashata
alizokuwa akila zilikwisha moyoni akajiuliza kama aliagiza kashata au ameshazila
zimekwisha! Hilo nalo likawa jambo jingine ambalo lilikosa jibu kabisa.
“Chausiku!!” aliita kwa nguvu kana kwamba aliyekuwa anamuita alikuwa umbali wa
kilomita kadhaa lakini kumbe wote walikuwa hapo jirani tu.
Watu walishtuka kwa sauti hiyo hata wengine walidiriki kumtupia maneno yasiyostahili
“Samahani waheshimiwa!” aliomba msamaha
“Samahani nini mjinga wewe!” mmoja alitamka kwa hasira
“Wengine tuna BP utatuuwa bure sura ka Sokwe!” mwingine aliongeza
Amata aliumia sana moyoni kwa tukio lile, akainamia mezani, akatikisa kichwa kisha
akasimama kwa hasira na kuelekea eneo la kunawia mikono, akajitazama kwenye kioo,
akatabasamu, kisha akageuka na kurudi alipoketi kwanza.
Kabla hajaketi alisikia sauti nyuma yake
“Umejiona ee? Ka sokwe, tena wa Gombe!” mmoja alimkejeli, wengine wakaangua
kicheko cha dharau na kupiga miluzi.
Hasira za ghafla zikamrudia Amata, akageuka na kuelekea upande ambao sauti ile
imesikika
“Nani aliyesema vile?” aliuliza kwa kung’aka, wakacheka tena
“Ukimuona utamfanya nini? Fala wewe mtoto wa porini!!” mwingine alisema na
wengine wakaangua kicheko. Amata alipiga hatua mbili mbele na kumkunja shati yule
aliyesema maneno hayo akamuinua kwa nguvu akamrusha chini, huyo akaanguka chini
mzimamzima kama gunia, jamaa akanyanyuka kwa hasia na kumvamia Amata, Amata
akamdaka na kupiga vichwa vitatu vya nguvu akamsukuma kidogo na kumrushia
makonde kama mvua, kijana yule alichanganyikiwa hata hakuweza kujibu mashambulizi
alianguka chini mara ya pili.
“Ameua! Ameua! Ameua!” kelele za watu zilijaza mgahawa ule mara watu wakajaa
wanataka kumshika Amata. Yule kijana bado alikuwa chini hajitambui kwa kipondo cha
ghafla alichokipata. Amata aliruka kutoka aliposimama akatua juu ya meza na kutaka
kutoroka kwa kupitia dirishani, watu walimgombania kwa kumshika shatia wengine
suruali, masikini Amata shati lake lilichanika vibaya akabaki na fulana ya ndani na
kuwaachia shati wananchi wenye hasira, alliruka kupitia dirisha la mgahawa huo na
kudondokea kwenye lundo la mawe kwa kutanguliza mkono, alihisi maumivu makali ya
mkono lakini alipogeuka aliona watu wale wanakuja pale alipo, akanyanyuka na kutimua
mbio
“Huyo huyo! Kamata muuaji huyo!!” kelele za wananchi wale zilikuwa kama kichocheo
kwa kijana Amata kuongeza spidi. Mara kwa mbele aligongana na pande la mtu na
kuangushwa mbali, alinyanyuka na kuanza kukimbia tena, watu walitoka majumbani na
kumuunganishia kama kawaida ya wananchi. Mbio ziliendelea na wananchi nao
hawakuchoka, alitokea kwenye wigo wa nyumba la! Hapakuwa na njia aliruka na kupanda ukuta kisha akatokea upande wapili na kupanda tena alitua chini kwa miguu
yake mikakamavu na kutimua mbio lakini la haula! Alipokuwa akijaribu kuvuka kichaka
kidogo katika eneo hilo alijikwaa vibaya na kuanguka chini, mchezo umekwisha. Watu
wakamkamata na kuanza kumpiga hata kumuumiza vibaya, Mungu si Athumani polisi
waliwahi kumuokoa kutoka kwenye mikono ya watu wenye hasira.
“Tuachie huyo tummalize! Muuaji huyo!” watu walipiga kelele na wengine bado
walidiriki kurusha hata mawe ambayo baadhi yaliwapata askari wale. Askari mmoja
akafyatua risasi hewani na watu wale wakatawanyika kwa woga wakikimbia uku na huku
wengine wakianguka na kukanyagana vibaya. Amata alichukuliwa mpaka kituo kidogo
cha polisi akiwa hatamaniki kwa jinsi alivyolowa damu hata fulana yake aliyobaki nayo
baada ya kuwaachia shati watu wale haikujulikana kama ni nyeupe au nyekundu, juu ya
jicho lake la kushoto jeraha kubwa lilikuwa bado linavuja damu, mkono wake umevimba,
kucha ya kidole gumba cha mguu wa kushoto haikujulikana hata imeng’okea wapi.
Askari wale walimpiga Tanganyika jeki bila huruma wala kujali kuwa mwenzao
ameumia namna ile wallimkokota tena na makofi juu mpaka kituo kidogo cha polisi na
kumlundika selo.
Ndani ya chumba kidogo cha selo katika kituo cha polisi cha kijiji wahalifu walijazana
mpaka hewa haikutosha kabisa, walichoka na hata wengine kukosa nguvu, kupoteza
fahamu kwa kukosa hewa ya kutosha. Amata aliingia kwenye selo hiyo katika hali ile
aliyokuwanayo, akakaribishwa na joto na harufu mbaya haja kubwa na ndogo
zilizochanganyika, mwanga hafifu uliopita katika kadirisha kadogo kenye ukubwa wa
mlango wa banda la njiwa ndio pekee kalikokuwa kanatoa faraja kwa binadamu hawa
waliokuwa na makazi ya muda ndani ya chumba hiki, wote walikuwa na sura za kutisha
ambazo bila kuuliza utajua kuwa sasa nimeingia kuzimu.
Ucku huo ulikuwa mrefu sana kwa Amata, mawazo mengi yalitawala kichwa chake,
maumivu makali yaliusumbua mwili wake, alijituliza kimya kwenye moja ya kona za
kijichumba hiko huku akisikia kichefuchefu kama mama mjamzito kila mara alitamani
kutema mate lakini atatemea wapi watu wamejazana hata wengine wamekaa kwa
kupakatana mh! Mawazo yaliendelea kumsonga hata usingizi mwepesi
uliokatishwakatishwa kwa nyimbo za kuchukiza za mbu masikioni mwake ulikuja na
kuondoka, aliwaza jinsi anavyoishi kwa tabu bila Baba wala Mama wa kumtetea, japo
aliachiwa shamba kubwa na kibanda cha kuishi lakini hakuujua uelekeo wa maisha yake,
“alikuwa analinga na Baba yake, ataona sasa” wengi walisema hivyo, Amata aliona ama
jamii yote haimtaki, dunia imemchukia au ulimwengu unampa adhabu?
“Kwa nini mimi?” alijiuliza uliza moyoni mara kwa mara hasa alipokuwa kwenye
kibanda chake huko shambani kwao ambako alipitisha maisha yake ya ujana tangu
wazazi wake walipofariki yeye akiwa na umri wa miaka michache nyuma, mama yake
aliuawa na Simba alipokwenda kuchota maji nje kidogo ya shamba lao ijapokuwa Baba
yake alijaribu kumtetea dhidi ya Simba hao wakali wenye uchu wa nyama lakini hakufua
dafu ‘kidole kimoja hakivunji Chawa’ alipiga kelele za msaada lakini hakuna aliyekuja.
Lakini Baba yake alikufa baada ya kuugua kwa muda mfupi miaka michache baadae.
Kila aliporudiwa na picha hizi alilia sana na kujiona kuwa yeye ni binadamu mwenye
mkosi, akuwahi kuwa na kaka wala dada isipokuwa ndugu tu ambao pia hawakuwa na
msaada nae kabisa. Amata!!!” aligutushwa na sauti kali ya askari iliyotokea kwenye kadirisha ka mlango wa
selo hiyo.
“Afande!” aliitikia kwa uchovu na kujaribu kujiinua kutoa alipokuwepo lakini alijikuta
anapata kizunguzungu na kuwaangukia wenzake waliokuwa hapo. Alifika mlangoni pale
kwa shida mbele yake alimuona msichana mrembo sana kasimama, mrefu wa wastani
maji ya kunde, alivalia vizuri suruali yake ya kitambaa nyeusi na blauzi yake nyeupe
huku shingoni kafunga skafu yenye mchanganyiko wa rangi, nywele zake fupi
zilizokatwa kiumahili na vinyozi wanaojua kazi yao, kiatu chake kirefu kilimfanya
aonekane kuwa ni mrembo anayetunzwa na pedeshee fulani. Dada yule alijivuta taratibu
mpaka kwenye dirisha lile. Amata alipokea pumzi safi iliyonukia na kuvutia kutoka kwa
mrembo huyo, hakuamini anachokiona ni malaika au binadamu, aliduwaa, akapigwa na
bumbuwazi, mikono yake ikiwa imeshika nondo mbili zenye kutu alijikuta anaishiwa
nguvu. Mrembo yule alishika nondo zile kwa kubana mikono ya Amata akaiangalia sura
ya Amata iliyochoka na kukaukiwa na damu..
“Saringo! Naitwa Saringo” almwambia Amata kwa sauti ya chini
“Hunijui, ila utanijua punde tu” aliendelea “Haujaua ila umeumiza vibaya, sasa unastahili
zawadi kwa kazi uliyoifanya bila kujua, na zawadi hiyo utaipata ukimaliza kazi yako”
Saringo alishusha pumzi na kumwangalia Amata usoni na kumuona jinsi
alivyochanganyikiwa, akaendelea kumwambia mashairi yake yasiyoeleweka kwa mtu
mwenye akili timamu, sasa kwa kukunja sura akamwambia Amata “ Lazima ufungwe,
uishie jela!” akageuka nakuondoka zake. Amata akazidi kulowa jasho, maswali yasiyo na
majibu yalimzunguka tena ‘nilijua malaika mwema kaja kuniokoa kumbe malaika mbaya
wa mauti kanitembelea’ alijiwazia na kuanza kulia. Amata hakupata jibu mwanamke yule
ni nani, na anataka nini, utata. Asubuhi ile kalandinga liliwachukua mpaka mahakama ya
kijiji, jalada la Amata lilikuwa la tatu kuitwa, taratibu akiwa na pingu mikononi
aliingizwa katika chumba cha hakimu na kusomewa mashitaka ya kudhuru mwili,
alijikuta hana cha kukana isipokuwa kukubali, kesi ikahairishwa mpaka baada ya siku
kumi na nne. Walipokuwa wanarudi kwenye kalandinga alimuona binti yuleyule akiwa
amesimama katika kundi la watu waliokuja mahakamani hapo, muonekano wake ulikuwa
tofauti na wote pale kwani ndiye aliyevaa nadhifu kuliko wote ‘huyu ni nani?’ Amata
alijiuliza hakupata jibu, moyoni alimlaani kuliko anavyomlaani shetani walipogongana
macho Amata alitema mate chini na kumuonesha kidole cha kati. Mara alijikuta
anatandikwa kofi la kisogoni au vijana huita ‘mbata’
“Panda juu unatuchelewesha!” sauti kali ya askari ilisikika. Amata na wengine
wakapanda na lori lile kuondoka kwa kasi.
[emoji814][emoji814][emoji814]
“Una mpenzi mzuri sana, mtoto kaumbika kama Malaika, he he he mbona wewe na yeye
hamuendani kabisa au wewe ni mchunga ng’ombe wao!” mmoja wa mahabusu
alimuuliza Amata kwa sauti mbaya ya kukwaruza isitoshe inatisha. Amata aligeuka na
kumwangalia akatabasamu kwa sura iliyochoka
“Simjui hata anatoka wapi” alimjibu
“Kwangu ni kama shetani tu yule, anataka kuniua, kunifunga, hilo ndilo limemleta hapa”
aliendelea kumueleza yule mahabusuKwa nini aje kukuona asubuhi yote ile? Au kuna uhusiano wowote na kesi yako?”
aliendelea kudadisi mahabusu yule,
“Sijui chochote! Mbona maswali mengi umempenda? Mfwate basi, mi nshakwambia
smjui! Yule ni shetani tu” Amata alijibu kwa hasira kidogo na mahabusu yule
hakuendelea na maswali yake.
Kesi ilitajwa tena baada ya siku kumi na nne, Amata na wenzake wakiwa na pingu
mikononi waliingizwa katika chumba maalumu cha mahabusu mahakamani hapo, Amata
alisimama karibu na mlango, mara ghafla alipata mshtuko mkubwa, hakuamini
alichokiona nje ya jingo hilo, akakaza macho kutazama kwa makini akayafikicha kidogo
aone labda alikuwa ndotoni lakini hapana alichokiona ni sahihi na macho
hayakumdanganya. Hakutaka kupoteza hata sekunde katika lile alilokuwa anliona lakini
bahati mbaya hakuweza kusikia kinachozungumzwa. ‘Yule sio Chausiku?’ alijiuliza
moyoni lakini pia hakutaka kuyaamini macho yake.
Chausiki Binti Saidi, msichana mfupi mwenye afya njema kibonge, mmiliki wa mgahawa
unaojulikana kwa jina la Chau Café, msichana huyu ambaye amekuwa pamoja na Amata,
wamesoma shule moja ya msingi kijijini hapo na kucheza michezo mingi ya utoto
pamoja, yeye alifanikiwa kufika japo darasa la saba wakati Amata alifukuzwa shule
akiwa darasa la tano kwa kisa cha kumpiga mawe mwalimu wake wa darasa. Maisha
yalimwendea kombo Amata kielimu japo alijitahidi sana katika rasilimali alizoachiwa na
marehemu baba yake Chausiku alimpenda kutokana na bidii yake katika kazi. Watu
walimbeza sana Chausiku kwa jinsi alivyoonesha upendo kwa Amata hii ikapelekea
Chausiku kutokuwa karibu sana na kijana huyu ambaye japo aliugusa moyo wake,
pamoja na ukorofi lakini hakuweza kumtoa moyoni mwake, moyoni mwa Chausiku
Amata alikuwa kama maji yatuliavyo mtungini yasipoguswa. Vijana wengi walipenda
kwenda mgahawani kwake japo tu roho zao zisuhuzike kwa kumuona binti huyu, wapo
waliomdanganya kwa pesa na vitu mbalimbali lakini msimamo wake thabiti
haukumfanya ayumbishwe na vitu vyote hivyo bali aliuacha moyo wake utue kama
kipepeo atuavyo katika ua alilolichagua.
Chausiku aliumizwa sana na kisa kilichomkuta Amata, alijua kuwa Amata kwa hali
aliyonayo asingeweza kupata msaada wowote wa kisheria au utetezi katika kesi yake,
alijitahidi kufanya kila awezalo ili tu amsaidie Amata katika hili.
Jalada la Amata liliitwa, polisi walimtoa katika chumba kile akiwa chini ya ulinzi na
kupelekwa katika chumba cha mahakama, akiwa anapita katika kikorido kidogo cha
jengo hilo alisikia sauti nyembamba tamu ikipenya masikioni mwake, ilikuwa si ya
mwingine bali Chausiku ambaye alikuwa akilia kwa machozi mazito “Mnyezi Mungu
akusaidie” ni maneno aliyomwambia, Amata aligeuka kwa kuiba, alifarijika kuona
kumbe wapo katika binadamu awa hawa wanaompenda, kidogo alijisikia mtu kati ya
watu.
Kesi ya Amata ilikwisha alihukumiwa kifungo cha miaka miwili na miezi sita jela.
Waliondolewa mahakamani na Amata alianza kutumikia kifungo chake huko gereza la
kilimo Sogera, gereza lenye kazi ngumu, kulima, kupanda, kuvuna, muda wote mkiwa
katika matope, maji machafu, mnakula chakula huku mnanyeshewa na mvua, mateso!.
Kulikoni ndg?!!!!
 
MSITU WA SORONDO

Mtunzi Richard Mwambe

Simu 0754740668

1
Chau cafe Chau cafe
Amata Ga Imba aliendelea kunywa kahawa yake polepole kana kwamba hana
shughuli nyingine ya kufanya kwa siku hiyo, kichwani akiwa na mawazo mengi sana
akipanga na kupangua juu ya maisha yake ya sasa na baadae, alipotahamaki hata kashata
alizokuwa akila zilikwisha moyoni akajiuliza kama aliagiza kashata au ameshazila
zimekwisha! Hilo nalo likawa jambo jingine ambalo lilikosa jibu kabisa.
“Chausiku!!” aliita kwa nguvu kana kwamba aliyekuwa anamuita alikuwa umbali wa
kilomita kadhaa lakini kumbe wote walikuwa hapo jirani tu.
Watu walishtuka kwa sauti hiyo hata wengine walidiriki kumtupia maneno yasiyostahili
“Samahani waheshimiwa!” aliomba msamaha
“Samahani nini mjinga wewe!” mmoja alitamka kwa hasira
“Wengine tuna BP utatuuwa bure sura ka Sokwe!” mwingine aliongeza
Amata aliumia sana moyoni kwa tukio lile, akainamia mezani, akatikisa kichwa kisha
akasimama kwa hasira na kuelekea eneo la kunawia mikono, akajitazama kwenye kioo,
akatabasamu, kisha akageuka na kurudi alipoketi kwanza.
Kabla hajaketi alisikia sauti nyuma yake
“Umejiona ee? Ka sokwe, tena wa Gombe!” mmoja alimkejeli, wengine wakaangua
kicheko cha dharau na kupiga miluzi.
Hasira za ghafla zikamrudia Amata, akageuka na kuelekea upande ambao sauti ile
imesikika
“Nani aliyesema vile?” aliuliza kwa kung’aka, wakacheka tena
“Ukimuona utamfanya nini? Fala wewe mtoto wa porini!!” mwingine alisema na
wengine wakaangua kicheko. Amata alipiga hatua mbili mbele na kumkunja shati yule
aliyesema maneno hayo akamuinua kwa nguvu akamrusha chini, huyo akaanguka chini
mzimamzima kama gunia, jamaa akanyanyuka kwa hasia na kumvamia Amata, Amata
akamdaka na kupiga vichwa vitatu vya nguvu akamsukuma kidogo na kumrushia
makonde kama mvua, kijana yule alichanganyikiwa hata hakuweza kujibu mashambulizi
alianguka chini mara ya pili.
“Ameua! Ameua! Ameua!” kelele za watu zilijaza mgahawa ule mara watu wakajaa
wanataka kumshika Amata. Yule kijana bado alikuwa chini hajitambui kwa kipondo cha
ghafla alichokipata. Amata aliruka kutoka aliposimama akatua juu ya meza na kutaka
kutoroka kwa kupitia dirishani, watu walimgombania kwa kumshika shatia wengine
suruali, masikini Amata shati lake lilichanika vibaya akabaki na fulana ya ndani na
kuwaachia shati wananchi wenye hasira, alliruka kupitia dirisha la mgahawa huo na
kudondokea kwenye lundo la mawe kwa kutanguliza mkono, alihisi maumivu makali ya
mkono lakini alipogeuka aliona watu wale wanakuja pale alipo, akanyanyuka na kutimua
mbio
“Huyo huyo! Kamata muuaji huyo!!” kelele za wananchi wale zilikuwa kama kichocheo
kwa kijana Amata kuongeza spidi. Mara kwa mbele aligongana na pande la mtu na
kuangushwa mbali, alinyanyuka na kuanza kukimbia tena, watu walitoka majumbani na
kumuunganishia kama kawaida ya wananchi. Mbio ziliendelea na wananchi nao
hawakuchoka, alitokea kwenye wigo wa nyumba la! Hapakuwa na njia aliruka na kupanda ukuta kisha akatokea upande wapili na kupanda tena alitua chini kwa miguu
yake mikakamavu na kutimua mbio lakini la haula! Alipokuwa akijaribu kuvuka kichaka
kidogo katika eneo hilo alijikwaa vibaya na kuanguka chini, mchezo umekwisha. Watu
wakamkamata na kuanza kumpiga hata kumuumiza vibaya, Mungu si Athumani polisi
waliwahi kumuokoa kutoka kwenye mikono ya watu wenye hasira.
“Tuachie huyo tummalize! Muuaji huyo!” watu walipiga kelele na wengine bado
walidiriki kurusha hata mawe ambayo baadhi yaliwapata askari wale. Askari mmoja
akafyatua risasi hewani na watu wale wakatawanyika kwa woga wakikimbia uku na huku
wengine wakianguka na kukanyagana vibaya. Amata alichukuliwa mpaka kituo kidogo
cha polisi akiwa hatamaniki kwa jinsi alivyolowa damu hata fulana yake aliyobaki nayo
baada ya kuwaachia shati watu wale haikujulikana kama ni nyeupe au nyekundu, juu ya
jicho lake la kushoto jeraha kubwa lilikuwa bado linavuja damu, mkono wake umevimba,
kucha ya kidole gumba cha mguu wa kushoto haikujulikana hata imeng’okea wapi.
Askari wale walimpiga Tanganyika jeki bila huruma wala kujali kuwa mwenzao
ameumia namna ile wallimkokota tena na makofi juu mpaka kituo kidogo cha polisi na
kumlundika selo.
Ndani ya chumba kidogo cha selo katika kituo cha polisi cha kijiji wahalifu walijazana
mpaka hewa haikutosha kabisa, walichoka na hata wengine kukosa nguvu, kupoteza
fahamu kwa kukosa hewa ya kutosha. Amata aliingia kwenye selo hiyo katika hali ile
aliyokuwanayo, akakaribishwa na joto na harufu mbaya haja kubwa na ndogo
zilizochanganyika, mwanga hafifu uliopita katika kadirisha kadogo kenye ukubwa wa
mlango wa banda la njiwa ndio pekee kalikokuwa kanatoa faraja kwa binadamu hawa
waliokuwa na makazi ya muda ndani ya chumba hiki, wote walikuwa na sura za kutisha
ambazo bila kuuliza utajua kuwa sasa nimeingia kuzimu.
Ucku huo ulikuwa mrefu sana kwa Amata, mawazo mengi yalitawala kichwa chake,
maumivu makali yaliusumbua mwili wake, alijituliza kimya kwenye moja ya kona za
kijichumba hiko huku akisikia kichefuchefu kama mama mjamzito kila mara alitamani
kutema mate lakini atatemea wapi watu wamejazana hata wengine wamekaa kwa
kupakatana mh! Mawazo yaliendelea kumsonga hata usingizi mwepesi
uliokatishwakatishwa kwa nyimbo za kuchukiza za mbu masikioni mwake ulikuja na
kuondoka, aliwaza jinsi anavyoishi kwa tabu bila Baba wala Mama wa kumtetea, japo
aliachiwa shamba kubwa na kibanda cha kuishi lakini hakuujua uelekeo wa maisha yake,
“alikuwa analinga na Baba yake, ataona sasa” wengi walisema hivyo, Amata aliona ama
jamii yote haimtaki, dunia imemchukia au ulimwengu unampa adhabu?
“Kwa nini mimi?” alijiuliza uliza moyoni mara kwa mara hasa alipokuwa kwenye
kibanda chake huko shambani kwao ambako alipitisha maisha yake ya ujana tangu
wazazi wake walipofariki yeye akiwa na umri wa miaka michache nyuma, mama yake
aliuawa na Simba alipokwenda kuchota maji nje kidogo ya shamba lao ijapokuwa Baba
yake alijaribu kumtetea dhidi ya Simba hao wakali wenye uchu wa nyama lakini hakufua
dafu ‘kidole kimoja hakivunji Chawa’ alipiga kelele za msaada lakini hakuna aliyekuja.
Lakini Baba yake alikufa baada ya kuugua kwa muda mfupi miaka michache baadae.
Kila aliporudiwa na picha hizi alilia sana na kujiona kuwa yeye ni binadamu mwenye
mkosi, akuwahi kuwa na kaka wala dada isipokuwa ndugu tu ambao pia hawakuwa na
msaada nae kabisa. Amata!!!” aligutushwa na sauti kali ya askari iliyotokea kwenye kadirisha ka mlango wa
selo hiyo.
“Afande!” aliitikia kwa uchovu na kujaribu kujiinua kutoa alipokuwepo lakini alijikuta
anapata kizunguzungu na kuwaangukia wenzake waliokuwa hapo. Alifika mlangoni pale
kwa shida mbele yake alimuona msichana mrembo sana kasimama, mrefu wa wastani
maji ya kunde, alivalia vizuri suruali yake ya kitambaa nyeusi na blauzi yake nyeupe
huku shingoni kafunga skafu yenye mchanganyiko wa rangi, nywele zake fupi
zilizokatwa kiumahili na vinyozi wanaojua kazi yao, kiatu chake kirefu kilimfanya
aonekane kuwa ni mrembo anayetunzwa na pedeshee fulani. Dada yule alijivuta taratibu
mpaka kwenye dirisha lile. Amata alipokea pumzi safi iliyonukia na kuvutia kutoka kwa
mrembo huyo, hakuamini anachokiona ni malaika au binadamu, aliduwaa, akapigwa na
bumbuwazi, mikono yake ikiwa imeshika nondo mbili zenye kutu alijikuta anaishiwa
nguvu. Mrembo yule alishika nondo zile kwa kubana mikono ya Amata akaiangalia sura
ya Amata iliyochoka na kukaukiwa na damu..
“Saringo! Naitwa Saringo” almwambia Amata kwa sauti ya chini
“Hunijui, ila utanijua punde tu” aliendelea “Haujaua ila umeumiza vibaya, sasa unastahili
zawadi kwa kazi uliyoifanya bila kujua, na zawadi hiyo utaipata ukimaliza kazi yako”
Saringo alishusha pumzi na kumwangalia Amata usoni na kumuona jinsi
alivyochanganyikiwa, akaendelea kumwambia mashairi yake yasiyoeleweka kwa mtu
mwenye akili timamu, sasa kwa kukunja sura akamwambia Amata “ Lazima ufungwe,
uishie jela!” akageuka nakuondoka zake. Amata akazidi kulowa jasho, maswali yasiyo na
majibu yalimzunguka tena ‘nilijua malaika mwema kaja kuniokoa kumbe malaika mbaya
wa mauti kanitembelea’ alijiwazia na kuanza kulia. Amata hakupata jibu mwanamke yule
ni nani, na anataka nini, utata. Asubuhi ile kalandinga liliwachukua mpaka mahakama ya
kijiji, jalada la Amata lilikuwa la tatu kuitwa, taratibu akiwa na pingu mikononi
aliingizwa katika chumba cha hakimu na kusomewa mashitaka ya kudhuru mwili,
alijikuta hana cha kukana isipokuwa kukubali, kesi ikahairishwa mpaka baada ya siku
kumi na nne. Walipokuwa wanarudi kwenye kalandinga alimuona binti yuleyule akiwa
amesimama katika kundi la watu waliokuja mahakamani hapo, muonekano wake ulikuwa
tofauti na wote pale kwani ndiye aliyevaa nadhifu kuliko wote ‘huyu ni nani?’ Amata
alijiuliza hakupata jibu, moyoni alimlaani kuliko anavyomlaani shetani walipogongana
macho Amata alitema mate chini na kumuonesha kidole cha kati. Mara alijikuta
anatandikwa kofi la kisogoni au vijana huita ‘mbata’
“Panda juu unatuchelewesha!” sauti kali ya askari ilisikika. Amata na wengine
wakapanda na lori lile kuondoka kwa kasi.
[emoji814][emoji814][emoji814]
“Una mpenzi mzuri sana, mtoto kaumbika kama Malaika, he he he mbona wewe na yeye
hamuendani kabisa au wewe ni mchunga ng’ombe wao!” mmoja wa mahabusu
alimuuliza Amata kwa sauti mbaya ya kukwaruza isitoshe inatisha. Amata aligeuka na
kumwangalia akatabasamu kwa sura iliyochoka
“Simjui hata anatoka wapi” alimjibu
“Kwangu ni kama shetani tu yule, anataka kuniua, kunifunga, hilo ndilo limemleta hapa”
aliendelea kumueleza yule mahabusuKwa nini aje kukuona asubuhi yote ile? Au kuna uhusiano wowote na kesi yako?”
aliendelea kudadisi mahabusu yule,
“Sijui chochote! Mbona maswali mengi umempenda? Mfwate basi, mi nshakwambia
smjui! Yule ni shetani tu” Amata alijibu kwa hasira kidogo na mahabusu yule
hakuendelea na maswali yake.
Kesi ilitajwa tena baada ya siku kumi na nne, Amata na wenzake wakiwa na pingu
mikononi waliingizwa katika chumba maalumu cha mahabusu mahakamani hapo, Amata
alisimama karibu na mlango, mara ghafla alipata mshtuko mkubwa, hakuamini
alichokiona nje ya jingo hilo, akakaza macho kutazama kwa makini akayafikicha kidogo
aone labda alikuwa ndotoni lakini hapana alichokiona ni sahihi na macho
hayakumdanganya. Hakutaka kupoteza hata sekunde katika lile alilokuwa anliona lakini
bahati mbaya hakuweza kusikia kinachozungumzwa. ‘Yule sio Chausiku?’ alijiuliza
moyoni lakini pia hakutaka kuyaamini macho yake.
Chausiki Binti Saidi, msichana mfupi mwenye afya njema kibonge, mmiliki wa mgahawa
unaojulikana kwa jina la Chau Café, msichana huyu ambaye amekuwa pamoja na Amata,
wamesoma shule moja ya msingi kijijini hapo na kucheza michezo mingi ya utoto
pamoja, yeye alifanikiwa kufika japo darasa la saba wakati Amata alifukuzwa shule
akiwa darasa la tano kwa kisa cha kumpiga mawe mwalimu wake wa darasa. Maisha
yalimwendea kombo Amata kielimu japo alijitahidi sana katika rasilimali alizoachiwa na
marehemu baba yake Chausiku alimpenda kutokana na bidii yake katika kazi. Watu
walimbeza sana Chausiku kwa jinsi alivyoonesha upendo kwa Amata hii ikapelekea
Chausiku kutokuwa karibu sana na kijana huyu ambaye japo aliugusa moyo wake,
pamoja na ukorofi lakini hakuweza kumtoa moyoni mwake, moyoni mwa Chausiku
Amata alikuwa kama maji yatuliavyo mtungini yasipoguswa. Vijana wengi walipenda
kwenda mgahawani kwake japo tu roho zao zisuhuzike kwa kumuona binti huyu, wapo
waliomdanganya kwa pesa na vitu mbalimbali lakini msimamo wake thabiti
haukumfanya ayumbishwe na vitu vyote hivyo bali aliuacha moyo wake utue kama
kipepeo atuavyo katika ua alilolichagua.
Chausiku aliumizwa sana na kisa kilichomkuta Amata, alijua kuwa Amata kwa hali
aliyonayo asingeweza kupata msaada wowote wa kisheria au utetezi katika kesi yake,
alijitahidi kufanya kila awezalo ili tu amsaidie Amata katika hili.
Jalada la Amata liliitwa, polisi walimtoa katika chumba kile akiwa chini ya ulinzi na
kupelekwa katika chumba cha mahakama, akiwa anapita katika kikorido kidogo cha
jengo hilo alisikia sauti nyembamba tamu ikipenya masikioni mwake, ilikuwa si ya
mwingine bali Chausiku ambaye alikuwa akilia kwa machozi mazito “Mnyezi Mungu
akusaidie” ni maneno aliyomwambia, Amata aligeuka kwa kuiba, alifarijika kuona
kumbe wapo katika binadamu awa hawa wanaompenda, kidogo alijisikia mtu kati ya
watu.
Kesi ya Amata ilikwisha alihukumiwa kifungo cha miaka miwili na miezi sita jela.
Waliondolewa mahakamani na Amata alianza kutumikia kifungo chake huko gereza la
kilimo Sogera, gereza lenye kazi ngumu, kulima, kupanda, kuvuna, muda wote mkiwa
katika matope, maji machafu, mnakula chakula huku mnanyeshewa na mvua, mateso!.
Mkubwa tulia, mwachie mwenye uzi atupe mambo!
 
MSITU WA SOLONDO

Mtunzi. Richard Mwambe

Sehemu 8

Miaka 25 iliyopita Miaka 25 iliyopita
Kijijini kwa akina Amata. Kijijini kwa akina Amata.
Mzee Nkhunulaindo, baba wa Amata alikuwa ni mzee anayeogopwa sana kijijini
hapo, alipenda sana utani na watu lakini hakupenda mchezo kabisa katika kazi zake,
alikuwa na shamba kubwa sana lililolimwa mahindi, mpunga na mboga za aina nyingi,
familia yake ya watu watatu yaani yeye mkewe na mtoto wao Amata hawakuwahi
kupatwa na janga la njaa hata mara moja.
Mzee huyu mashuhuri na hodari hakuna asiyemjua kwa umahiri wake wa kupiga
mishale, hii ilipelekea kila mtu kuogopa hata kuingia shambani kwake kwa kuwa alihofia
kudunguliwa kwa mshale wa mzee Nkhunulaindo.
Baada ya kifo cha mkewe Bi. Vituko, mzee Nkhunulaindo alibaki akiishi na mtoto wake
huyo mmoja katika nyumba yao iliyopo shambani mwao, kila siku asubuhi alimfundisha
kujiandalia chai na kabla hajaenda shuleni, na aliporudi nyumbani mchana alichukua
muda mwingi sana kumfundisha mambo mbalimbali ya maisha, hata Amata
alipofukuzwa shule kwa kosa la kumpiga mawe mwalimu wake, Mzee Nkhunulaindo
hakuona haja ya kwenda kuomba msamaha kwa mwalimu huyo kwani hakupenda hata
siku moja aonekane yuko chini ya mwingine kwa kuwa tu yeye anatokea ukoo wa
kichifu.
Siku moja Amata alipotoka shule alikuja na kumwambia baba yake kuwa anahitajika
shuleni, bila kusita keshi yake wote waliongozana na kukutana na mwalimu wa shule
hiyo
“Mzee nimekuita kukupa taarifa kuwa mtoto wako amempiga mawe mwalimu wake na
kumuumiza, hivyo tumemfukuza shule kuanzia leo hii” mwalimu alimueleza baba wa
Amata. Baba wa Amata limwangalia tu mwalimu hakuna alichomwambia, baada ya
muda kidogo akajibu
“Nimekusikia mwalimu, asante” akamshika mkono mtoto wake na kuanza kuondoka.
“Jamani, sasa ndio husemi lolote, Mzee! Si tuyazungumze” mwalimu alimueleza baba wa
Amata.
“Tuzungumze nini, we umeniambia mmemfukuza shule, sasa! Ungenambia unataka
umfukuze shule sawa, lakini ushamfukuza. Mbona mmi baba yake sijasoma na
nakulisheni nyote hapa kijijini? Twende mwanangu.” Aliondoka na mwanae na kurudi
nyumbani. Mwalimu alibaki akishangaa na hakujua la kufanya.
Siku hiyo mzee Nkhunulaindo, alirudi nyumbani kwa kuchelewa sana akiwa amekunywa
pombe nyingi
“Mwanangu Amata, usijali, kama wamekufukuza shule wewe utajifunza elim dunia,
elimu isiyo na gharama ila juhudi zako tu kutafuta maisha...” alisema hayo kwa sauti ya
kilevi huku akijitupa kwenye kiti chake cha ‘mkao wa nyani’
“Watu hatujasoma na tunaishi bwana, na wewe mwanangu utaishi, mimi baba yako nina
shamba kubwa na lina kila kitu hakuna mwingine hapa kijijini ananizidi kwa ardhi. Mi
chifu bwana nkuombe msamaha... we nani, wajerumani wenyewe sikuwaomba msamaha
itakuwa wewe, mwalimu! Ha ha ha ha... sisi tunalindwa na mizimu ya kwetu, hapa mtu achezei hapa, na wewe Amata nitakukabidhi kwa mizimu ya kwetu ikulinde na
ikuongoze siku zote za maisha yako mpaka utakapoenda kuungana nao...” aliendelea
kuongea na mwisho kupitiwa na usingizi pale pale kitini.
Siku iliyofuata walikuwa pamoja shambani, Mzee Nkhunulaindo alikuwa akimfundisha
mwanawe maana ya mbija mbalimbali, jinsi ya kukabili hatari za porini na kueza
kusikiliza sauti mbalimbali za msituni ilikujua huyu mnyama gani au mdudu gani,
alimfundisha jinsi ya kukwepa hatari na kufikiri kabla ya kuamua.
“Amata!” Nkhunulando aliita
“Twende msituni, chukua uta na podo twende” alimuambia Amata, Amata alifanya hivyo
na wakaenda msituni, pamoja nao walichukua mbuzi mmoja mweupe na kwenda naye.
Njiani waliongea mambo mengi sana, Amata alipata maelekezo mengi sana juu ya
kutambua hatari za misitu, na hapo ndipo alipoanza kumsimulia habari za msitu wa
Solondo na maajabu yake, Amata alisikiliza kwa makini na kuuliza maswali mengi sana
juu ya msitu huo.
Amata aliendelea kumfuata baba yake ndani ya msitu ule ulio karibu na shamba lao, baba
yake Amata alikuwa daima anapenda kuongozana na mtoto wake huyu, mtoto pekee
aliyempata katika maisha yake, alimfundisha mambo mengi sana ya maisha ya kijijini na
porini, kila asubuhi alikuwa akimfundisha kupiga mishale kulenga vitu mbalimbali, mzee
huyu alifurahi sana kumuona mwanawe akijitahidi kuuvuta uta wake kwa kutumia nguvu
nyingi kwa kuwa bado alikuwa na umri mdogo.
“Amata mwanangu, wewe unatakiwa kuwa jasiri kama mimi baba yako!” Baba yake
alimueleza Amata huku akimpa tunda aina ya bungo alilomchumia msituni humo.
Safari ikaishia kwenye jiwe moja jeusi lililofichwa na mimea iliyotambaaa karibu jiwe
zima, katikati ya jiwe lile kulikuwa na kitu kama tundu hivi, Mzee Nkhunulando
akasimama kimya kama dakika tano hivi, kisha akaanza kuongea kwa sauti...
“Wazee, nimekuja, leo nimewaletea mjukuu wenu mumtambue, mumuone, mumjue,
maana yeye ndiye atakayebaki katika himaya yetu... mumlinde na mumuongoze katika
maisha yake (...)” aliongea mengi sana na kuimba baadhi yanyimbo huku
akilizungunguka jiwe lile. Mara upepo mkali ukaanza kuvuma miti yote ikiyumba kwa
upepo kana kwamba inataka kukatika lakini haikuwa hivyo, ndege waliokuwa juu ya miti
hiyo waliruka na kupiga kelele kwa lugha zao. Amata aliogopa sana akamshika baba
yake kwa nguvu
“Usiogope mwanangu, mizimu yetu inaafikiana na lile nililowaomba, usiogope hapa ni
mahali salama tu” Nkhunulaindo alimueleza mwanawe Amata. Mara juu ya mti mmoja
akashuka nyani mkubwa mweusi mwenye kichwa cheupe akasimama mbele yao,
“Inamisha kichwa Amata” Nkhunulaindo alimwambia mwanae, wote wakainamisha
vichwa kwa muda walipoinua vichwa hawakumuona nyani nyule.
“Haya chinja mbuzi huyo” Amata alipata amri kutoka kwa baba yake, akamkamata
mbuzi yule vizuri na kumchinja, damu yake wakaimwagia kwenye jiwe lile mara tatu.
Upepo mkali ukavuma tena, sasa na radi ikasikika.
Baada ya hapo walirudi nyumbani, ilikuwa tayari imetimu jioni.
“Baba, yule nyani alitoka wapi?” Amata alimuuliza baba yake
“Ule ni mzimu mwanangu, lakini huwa unatokea kwa mfano wa nyani, anaitwa
‘Kingusu’ daima ukimuona usimkimbie, ujue hapo ana jambo la kukuepusha au
kukulinda” akaendelea Ukiwa katika shida kubwa ya kuhatarisha maisha yako mpigie mbinja atakuja
kukusaidia” alimaliza mzee Nkhunulaindo
Walifika nyumbani na kuendelea na shughuli zao za kila siku. Hata mzee Nkunhulaindo
alipofariki Amata aliweza kuishi peke yake na kuongoza maisha yake bila shida, alikuwa
ni hodari na mchapa kazi hakupenda kukaa vijiweni kama vijana wengine.
[emoji814][emoji814][emoji814]
Stephen hakuelewa kinachoendelea pale alipojikuta katikati ya kundi la viumbe wa
ajabu, alishikwa na woga na kutaka kukimbia lakini hakaona hiyo si mbinu nzuri kwa
wakati huo, alipogeuka huku na huku aliona kuwa viumbe wale wa kutisha walikuwa
wengi sana wakubwa kwa wadogo wakiwa wamemzunguka wanamwangalia kwa macho
yao yakutisha. Stephan alivumilia lakini hakika roho yake ilikuwa tayari kutoka naye
alijitahidi kuitoa ili awe mfu lakini hakuweza. ‘Majini?’ alijiwazia, ‘hapana Mashetani!’
alijikosoa tena mwenyewe, akikumbuka hadithi za zamani alizosoma huko kwao juu ya
majini, mazimwi na Mashetani ila hapo hakujua haya yapo kundi gani, kila mara mwili
wake ulimsisimka kwani yalikuwa yakikoroma tu na ndiyo hiyo ilikuwa lugha yao,
alipogeuka huku na huku hakumuona Hellen, woga ulimjaa sana ‘watakuwa washamla
hawa!’ alijiwazia moyoni, mara nyingi alijikuta akijiwazia moyoni mawazo ambayo
hayakuwa na msaada wowote, katika mawazo hayo aliiona ile nyumba yake nzuri
aliyoijenga kando ya mto lakini sasa aliona kuwa hatokuja kuingia tena, aliwakumbuka
wazazi wake wale wazee ambao sasa wanaishi kwenye kituo cha kulelea wazee akaona
kuwa nao watakufa bila kumuona kijana wao, aliwakumbuka wadogo zake ambao baadhi
yao walimshauri asiende huko bara la giza lakini hakuwasikiliza sasa aliwaona kuwa
walikuwa ni watu wa pekee sana, machozi yalimtiririka hasa alipomkumbuka Hellen,
binti aliyempenda sana maishani mwake ijapokuwa alikuwa ni binamu yake. Stephen
hakujua nini cha kufanya isipokuwa ni kusubiri hatima yake tu kwa viumbe hawa. Akiwa
kajiinamia pale chini alipokuwa amekaa, mara akasikia vishindo vikubwa sana kutokea
upande wa pili wa pale alipokaa aliponyayua kichwa kuangalia ni nini kinatokea
alishangaa kuona viumbe wale wakimgombania mwenzao kana kwamba walikuwa
wakigombea nyama, Amata alishuhudia jinsi walivyomtafuna mwenzao bila huruma
kabisa, Stephen akafumba macho ili asishuhudie unyama huo kabisa, alijiuliza kwa nini
walimfanyia vile mwenzao hakupata jibu kamili kwa kuwa hakuelewa ile lugha yao ya
mikoromo waliyoitoa vinywani mwao, alibaki kuwaangalia, alijikuta akijipapasa huku na
huku lakini hakuona anachokitafuta. Mara akajikuta akili ikimrudia na kujiona pale alipo
yuko peke yake, alipoyaangalia tena ya madudu akaona yako bize na kula nyama ya
mwenzao huku yakikoroma sana na kutimua vumbi, vishindo vyao viliifanya ardhi yote
pale kutetemeka kwa nguvu, Amata akapata wazo la kutoroka wakati huo wale viumbe
wakiwa na shughuli ile lakini moyo mwingine ulimkataza kabisa kufanya jambo hilo.
Aliangali tena vizuri eneo lile alilopo, akajiuliza hata akitoroka atatorokea upande gani
hakupata jibu, mara alijiwazia kuwa labda Hellen hayupo mbali na pale hivyo atamuacha.
Mawazo yalimsumbua kichwa chake hata hakujua lipi akubaliane nalo na lipi aachane
nalo. Mara ujasiri wa ajabu ukamjia ‘potelea mbali, kwanza nafsi yangu mengine
baadae...’ alijiwazia na kuanza kujiburuza taratibu kwa kutumia matako akirudi nyuma
nyuma huku akiwaangalia viumbe wale wasije kumgundua, moyo ukiwa unamuenda
mbio akijiwazia itakuwaje watakapomuona lakini aliendelea kujikokota kinyumenyumeAaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!” Stephen alipiga ukelele uliofanya viumbe wale kushtuka na
kuanza kumfuata huku wakikoroma kama kawaida yao. Baada ya kujisogeza kama mita
kumi na tano hivi na kujikuta mikono yake ikitumbukia kwenye kitu kama shimo kwa
kuwa alikuwa akisota kinyumenyume huku amekaa katika kichaka kile hakuona hatari
yoyote nyuma yake, mikono yake ilitangulia na kufuatiwa na kichwa, mwili na miguu
vikimalizikia. Lilikuwa ni korongo refu sana ambalo chini yake kulikuwa na mto
mkubwa, Stephen alijiona akianguka kwa kasi na lakini kabla hajafika chini alijikuta
akidakwa na mkono mkubwa wenye nguvu na kurudishwa juu kwa kasi ileile, alijikuta
uso kwa uso na kiumbe hiki cha ajabu kilichoonesha hasira kwa kitendo chake kile cha
kutaka kutoroka, Stephene alijawa na woga akajua kuwa sasa lazima atafunwe mzima
mzima, kiumbe kile kilifungua domo lake baya lenye meno marefu na kutoa mkoromo
mkali uliomfanya Stephene atetemeke kwa hofu na kutokwa na mkojo bila kujijua, akiwa
bado kashikwa na kiumbe kile Stephen alitulia kimya kabisa akisali kwa ukimya sala
yake ya mwisho pembeni aliviona vile viumbe vingine vyote vikiwa na sura ya hasira.
Yule kiumbe alimtupa chini Stephen, wakati akianguka chini kitufulani kilimtoka kutoka
katika begi lake na kuruka kwa nje mmoja wa wale viumbe akakidaka kabla akijafika
chini, ilikuwa ni camera ndogo ya dijitali ambayo muda wote ilikuwa mkobani mwake
lakini kutokana na misukosuko yote hii alishasahau hata kama alikuwa na kitu kile
mkobani, aliwaangalia wale viumbe wakiigeuzageuza ile camera. Stephen alisikia
kishindo nyuma yake na alipogeuka alikuta kiumbe kingine kimeanguka chini, aligeuka
haraka kuangalia upande ule wa mwanzo, akaona wale wengine walikuwa bado
wanashikashika ile camera, mara akasikia kishindo kingine tena upande mwingine
alipoangalia kiumbe kingine kimeanguka, Stephen alipigwa na bumbuwazi hakujua ni
nini kinachoendelea mahali pale, moyoni akaanza kujipa moyo labda Hellen yuko eneo
lile ndiye anayefanya kazi hiyo, lakini pia aligeuza tena mawazo yake akaona labda
Amata kwa kuwa yeye ndio mpiga mishale hodari, akiwa katika kujiuliza yote hayo mara
akaona mwanga wa flash ya camera ile ukifyatuka na yule kiumbe aliyeshika ile camera
akaanguka kwa kishindo na camera ile ikimtoka mikononi na kuangukia miguuni mwa
Stephen ambaye wakati huo alikuwa amekaa akiugulia maumivu ya mgongo. Aliiokota
camera ile na kuishika mikononi mwake akiwa na woga mkubwa akaiweka jichoni kama
anataka kufotoa picha, wale viumbe walio mbele yake wakatawanyika kwa woga,
Stephen akatikisa kichwa kwa ishara kwamba amegundua kuwa mwanga wa flash
unawaathiri ndio maana walikuwa wakianguka kila anayemulikwa moja kwa moja na
mwanga huo. Stephen akajua sasa hii ndiyo njia ya kutorokea, lakini alijiuliza mwanga
huu unawaathiri kiasi gani hakupata jibu!! Alijinyanyua kutoka pale alipo na kuanza
kukimbia taratibu, viumbe wale wakaanza kumfuata akasimama na kugeuka akapiga
flash moja kiumbe wa mbele akaaunguka na kuangukia mti, kutokana na kishindo kile
mti ule ulikatika vipande vipande, Stephen aliendelea kukimbia na mara akaona upepo
mkali ukimzunguka na kumnyanyua juu, Stephen hakujielewa kwani alizungushwa kwa
kasi ya ajabu akiwa kachanganyika na majani na takataka nyingi, upepo ule ulimchukua
kwa muda, akiwa juu aliweza kuona viumbe wale kwa uzuri kabisa, lakini mara aliona
viumbe wale wakianza kurefuka kumfuata alipo, kiumbe mmoja alinyosha mkono na
kumdaka kumshusha chini, Stephen alifikishwa chini kwa nguvu kiasi kwamba alitoa
ukelele wa nguvu, viumbe wale wakaanza kumgombania, Stephan alijaribu kujitikisa
kwa nguvu zake zote huku akipiga makelele ya woga, mara akaanguka chini na wale
viumbe wote wakarudi nyuma, Stephene alibaki kaduwaa pale chini akiwaangalia viumbe wale wenye uchu wa nyama ya binadamu lakini hakuelewa kwanini viumbe
hawa wamemuachia ghafla namna ile na wala hakuwaona kama wana dalili ya kumfuata
tena isipokuwa ni mikoromo yao tu iliyozidi kuwa ya kutisha. Viumbe wale walirudi
nyuma na kuanza kutawanyika kutoka eneo lile, Stephen akiwa pale chini hakuelewa
sababu ya wale viumbe kukimbia ovyo alihisi kabisa kuna hatari eneo lile, lakini
alijiuliza je kama hiyo hatari viumbe hawa wanaiogopa kwake itakuwaje! Alikosa jibu
aliendelea kuwa pale chini na mara akaona nuru ya jua ikianza kufifia na kiza kikianza
kufunika eneo lote lile, jua lilipatwa na mwezi mchana ule, Stephen alipogeuka huku na
huku akajikuta yuko peke yake kabisa
“God is great!” alijisemea kimoyomoyo kuonesha shukrani yake kwa aliyemuumba,
alijinyanyua taratibu kutoka pale huku akichechemea alikimbia kidogokidogo kuelekea
machakani na kutokomea asikokujua. Safari ilimuia ngumu Stephen, hakujua wapi
anaelekea, kiu, njaa, uchovu vyote vilikuwa pamoja naye, alikimbia kwa nguvu zake zote
lakini nguvu zilimuishia na kuanguka chini, alijaribu kutambaa haikusaidia, koo
lilimkauka kiasi kwamba hata sauti haikuweza kutoka kwa wakati huo, alilala chini
katika vichaka kwa utulivu bila kujitikisa akijua kuwa sasa hakuuawa na wale viumbe
lakini kiu na njaa ndiyo vitavyomuangamiza, alijigeuza na kulala chali macho yake
yakiangali anga ambalo sasa halikuwa la buluu bali lililofifia kutokana na tukio lile la
kupatwa kwa jua. Usingizi mzito ulimpitia kiasi hata hakujitambua, aliamka katika dunia
nyingine kabisa ambayo ilimkutanisha na wenzake wote waliopoteana katika msitu ule
‘Msitu wa Solondo’ katika ndoto yake akaona rafiki zake wengi aliyowaacha huko
Heidelberg University, aliwaona wanafunzi wake, mara aliyaona makaburi na majitu ya
kutisha yakimsongasonga huku na huko, kiza kinene kiliyashinda macho angavu ya
Stephen, maswali aliyojiuliza yalibaki bila jibu, nuru ikapotea, nguvu zikamuishia, pumzi
zikamtoka kwa taabu, Stephen akalala usingizi mzito.
Saringo akashtushwa na kitu kilichomgusa mgongoni kitu kama tone la maji baridi sana,
akafumbua macho taratibu kuangalia nini kilichomgusa,mwanga mkali ukamfikia
machoni alipotazama juu akagundua kuwa kumbe alikuwa ndani ya kitu kama chungu
kikubwa ambacho kifunikwapo giza lake huwezi kuona hata umbali wa sentimeta mbili,
alijishauri kutoka mle ndani lakini aliogopa kwa kuwa hakujua nini atakachokikuta huko
nje,alitega sikio lake kwa umakini asikie chochote kitakachosemwa na waliopo huko nje
lakini hakuna alichosikiaisipokuwa mvumo tu wa upepo mkali ambao hata hakujua
unatoka wapi na unaelekea wapi, hofu ilimtoka kidogo na kuchukua uamuzi ‘natoka
liwalo na liwe’ alijisemea moyoni ‘ah! Lakini vipi nikikutana na haya majitu huko nje si
yatanifanyia mbaya!?’ nafsi nyingine ilimuuliza moyoni ‘ah! Kama kufa ndo nshakufa
ngoja nitoke mengine ntajua ukohuko’ alijipa moyo tena kisha kwa nguvu zote
alijinyanyua na kujitokeza juu ya ule mdomo wa kile chungu, alichokikuta huko nje
hakutegemea kwanza vumbi kali lilimfikia machoni na kumfanya apate shida kwa macho
yake kupambana na vumbi lile alijitahidi kufungua jicho mojamoja lakini ilikuwa ngumu,
upepo mkali wenye vumbi na matakataka ulifunikiza eneo lote alilopo hata asiweze ona
vizuri, bila kusita alipanda kwenye kile chungu na kujirushia nje, akiwa amelala
kifudifudi alijinyanyua shingo yake na kuangalia kilichopo japo kwa taabu alisikia kelele
na vitu kama nyimbo zilizokuwa zikisikika upande wa pili wa msitu huo, Saringo taratibu
alianza kutambaa kwa staili ya nyoka kuelekea kule alikosikia nyimbo zile alihisi kuwa
akisimama atembee wangemuona kwa urahisi. Akiwa kachafuka na vumbi lile aliendelea
 
MSITU WA SORONDO

Mtunzi Richard Mwambe

Simu 0754740668

1
Chau cafe Chau cafe
Amata Ga Imba aliendelea kunywa kahawa yake polepole kana kwamba hana
shughuli nyingine ya kufanya kwa siku hiyo, kichwani akiwa na mawazo mengi sana
akipanga na kupangua juu ya maisha yake ya sasa na baadae, alipotahamaki hata kashata
alizokuwa akila zilikwisha moyoni akajiuliza kama aliagiza kashata au ameshazila
zimekwisha! Hilo nalo likawa jambo jingine ambalo lilikosa jibu kabisa.
“Chausiku!!” aliita kwa nguvu kana kwamba aliyekuwa anamuita alikuwa umbali wa
kilomita kadhaa lakini kumbe wote walikuwa hapo jirani tu.
Watu walishtuka kwa sauti hiyo hata wengine walidiriki kumtupia maneno yasiyostahili
“Samahani waheshimiwa!” aliomba msamaha
“Samahani nini mjinga wewe!” mmoja alitamka kwa hasira
“Wengine tuna BP utatuuwa bure sura ka Sokwe!” mwingine aliongeza
Amata aliumia sana moyoni kwa tukio lile, akainamia mezani, akatikisa kichwa kisha
akasimama kwa hasira na kuelekea eneo la kunawia mikono, akajitazama kwenye kioo,
akatabasamu, kisha akageuka na kurudi alipoketi kwanza.
Kabla hajaketi alisikia sauti nyuma yake
“Umejiona ee? Ka sokwe, tena wa Gombe!” mmoja alimkejeli, wengine wakaangua
kicheko cha dharau na kupiga miluzi.
Hasira za ghafla zikamrudia Amata, akageuka na kuelekea upande ambao sauti ile
imesikika
“Nani aliyesema vile?” aliuliza kwa kung’aka, wakacheka tena
“Ukimuona utamfanya nini? Fala wewe mtoto wa porini!!” mwingine alisema na
wengine wakaangua kicheko. Amata alipiga hatua mbili mbele na kumkunja shati yule
aliyesema maneno hayo akamuinua kwa nguvu akamrusha chini, huyo akaanguka chini
mzimamzima kama gunia, jamaa akanyanyuka kwa hasia na kumvamia Amata, Amata
akamdaka na kupiga vichwa vitatu vya nguvu akamsukuma kidogo na kumrushia
makonde kama mvua, kijana yule alichanganyikiwa hata hakuweza kujibu mashambulizi
alianguka chini mara ya pili.
“Ameua! Ameua! Ameua!” kelele za watu zilijaza mgahawa ule mara watu wakajaa
wanataka kumshika Amata. Yule kijana bado alikuwa chini hajitambui kwa kipondo cha
ghafla alichokipata. Amata aliruka kutoka aliposimama akatua juu ya meza na kutaka
kutoroka kwa kupitia dirishani, watu walimgombania kwa kumshika shatia wengine
suruali, masikini Amata shati lake lilichanika vibaya akabaki na fulana ya ndani na
kuwaachia shati wananchi wenye hasira, alliruka kupitia dirisha la mgahawa huo na
kudondokea kwenye lundo la mawe kwa kutanguliza mkono, alihisi maumivu makali ya
mkono lakini alipogeuka aliona watu wale wanakuja pale alipo, akanyanyuka na kutimua
mbio
“Huyo huyo! Kamata muuaji huyo!!” kelele za wananchi wale zilikuwa kama kichocheo
kwa kijana Amata kuongeza spidi. Mara kwa mbele aligongana na pande la mtu na
kuangushwa mbali, alinyanyuka na kuanza kukimbia tena, watu walitoka majumbani na
kumuunganishia kama kawaida ya wananchi. Mbio ziliendelea na wananchi nao
hawakuchoka, alitokea kwenye wigo wa nyumba la! Hapakuwa na njia aliruka na kupanda ukuta kisha akatokea upande wapili na kupanda tena alitua chini kwa miguu
yake mikakamavu na kutimua mbio lakini la haula! Alipokuwa akijaribu kuvuka kichaka
kidogo katika eneo hilo alijikwaa vibaya na kuanguka chini, mchezo umekwisha. Watu
wakamkamata na kuanza kumpiga hata kumuumiza vibaya, Mungu si Athumani polisi
waliwahi kumuokoa kutoka kwenye mikono ya watu wenye hasira.
“Tuachie huyo tummalize! Muuaji huyo!” watu walipiga kelele na wengine bado
walidiriki kurusha hata mawe ambayo baadhi yaliwapata askari wale. Askari mmoja
akafyatua risasi hewani na watu wale wakatawanyika kwa woga wakikimbia uku na huku
wengine wakianguka na kukanyagana vibaya. Amata alichukuliwa mpaka kituo kidogo
cha polisi akiwa hatamaniki kwa jinsi alivyolowa damu hata fulana yake aliyobaki nayo
baada ya kuwaachia shati watu wale haikujulikana kama ni nyeupe au nyekundu, juu ya
jicho lake la kushoto jeraha kubwa lilikuwa bado linavuja damu, mkono wake umevimba,
kucha ya kidole gumba cha mguu wa kushoto haikujulikana hata imeng’okea wapi.
Askari wale walimpiga Tanganyika jeki bila huruma wala kujali kuwa mwenzao
ameumia namna ile wallimkokota tena na makofi juu mpaka kituo kidogo cha polisi na
kumlundika selo.
Ndani ya chumba kidogo cha selo katika kituo cha polisi cha kijiji wahalifu walijazana
mpaka hewa haikutosha kabisa, walichoka na hata wengine kukosa nguvu, kupoteza
fahamu kwa kukosa hewa ya kutosha. Amata aliingia kwenye selo hiyo katika hali ile
aliyokuwanayo, akakaribishwa na joto na harufu mbaya haja kubwa na ndogo
zilizochanganyika, mwanga hafifu uliopita katika kadirisha kadogo kenye ukubwa wa
mlango wa banda la njiwa ndio pekee kalikokuwa kanatoa faraja kwa binadamu hawa
waliokuwa na makazi ya muda ndani ya chumba hiki, wote walikuwa na sura za kutisha
ambazo bila kuuliza utajua kuwa sasa nimeingia kuzimu.
Ucku huo ulikuwa mrefu sana kwa Amata, mawazo mengi yalitawala kichwa chake,
maumivu makali yaliusumbua mwili wake, alijituliza kimya kwenye moja ya kona za
kijichumba hiko huku akisikia kichefuchefu kama mama mjamzito kila mara alitamani
kutema mate lakini atatemea wapi watu wamejazana hata wengine wamekaa kwa
kupakatana mh! Mawazo yaliendelea kumsonga hata usingizi mwepesi
uliokatishwakatishwa kwa nyimbo za kuchukiza za mbu masikioni mwake ulikuja na
kuondoka, aliwaza jinsi anavyoishi kwa tabu bila Baba wala Mama wa kumtetea, japo
aliachiwa shamba kubwa na kibanda cha kuishi lakini hakuujua uelekeo wa maisha yake,
“alikuwa analinga na Baba yake, ataona sasa” wengi walisema hivyo, Amata aliona ama
jamii yote haimtaki, dunia imemchukia au ulimwengu unampa adhabu?
“Kwa nini mimi?” alijiuliza uliza moyoni mara kwa mara hasa alipokuwa kwenye
kibanda chake huko shambani kwao ambako alipitisha maisha yake ya ujana tangu
wazazi wake walipofariki yeye akiwa na umri wa miaka michache nyuma, mama yake
aliuawa na Simba alipokwenda kuchota maji nje kidogo ya shamba lao ijapokuwa Baba
yake alijaribu kumtetea dhidi ya Simba hao wakali wenye uchu wa nyama lakini hakufua
dafu ‘kidole kimoja hakivunji Chawa’ alipiga kelele za msaada lakini hakuna aliyekuja.
Lakini Baba yake alikufa baada ya kuugua kwa muda mfupi miaka michache baadae.
Kila aliporudiwa na picha hizi alilia sana na kujiona kuwa yeye ni binadamu mwenye
mkosi, akuwahi kuwa na kaka wala dada isipokuwa ndugu tu ambao pia hawakuwa na
msaada nae kabisa. Amata!!!” aligutushwa na sauti kali ya askari iliyotokea kwenye kadirisha ka mlango wa
selo hiyo.
“Afande!” aliitikia kwa uchovu na kujaribu kujiinua kutoa alipokuwepo lakini alijikuta
anapata kizunguzungu na kuwaangukia wenzake waliokuwa hapo. Alifika mlangoni pale
kwa shida mbele yake alimuona msichana mrembo sana kasimama, mrefu wa wastani
maji ya kunde, alivalia vizuri suruali yake ya kitambaa nyeusi na blauzi yake nyeupe
huku shingoni kafunga skafu yenye mchanganyiko wa rangi, nywele zake fupi
zilizokatwa kiumahili na vinyozi wanaojua kazi yao, kiatu chake kirefu kilimfanya
aonekane kuwa ni mrembo anayetunzwa na pedeshee fulani. Dada yule alijivuta taratibu
mpaka kwenye dirisha lile. Amata alipokea pumzi safi iliyonukia na kuvutia kutoka kwa
mrembo huyo, hakuamini anachokiona ni malaika au binadamu, aliduwaa, akapigwa na
bumbuwazi, mikono yake ikiwa imeshika nondo mbili zenye kutu alijikuta anaishiwa
nguvu. Mrembo yule alishika nondo zile kwa kubana mikono ya Amata akaiangalia sura
ya Amata iliyochoka na kukaukiwa na damu..
“Saringo! Naitwa Saringo” almwambia Amata kwa sauti ya chini
“Hunijui, ila utanijua punde tu” aliendelea “Haujaua ila umeumiza vibaya, sasa unastahili
zawadi kwa kazi uliyoifanya bila kujua, na zawadi hiyo utaipata ukimaliza kazi yako”
Saringo alishusha pumzi na kumwangalia Amata usoni na kumuona jinsi
alivyochanganyikiwa, akaendelea kumwambia mashairi yake yasiyoeleweka kwa mtu
mwenye akili timamu, sasa kwa kukunja sura akamwambia Amata “ Lazima ufungwe,
uishie jela!” akageuka nakuondoka zake. Amata akazidi kulowa jasho, maswali yasiyo na
majibu yalimzunguka tena ‘nilijua malaika mwema kaja kuniokoa kumbe malaika mbaya
wa mauti kanitembelea’ alijiwazia na kuanza kulia. Amata hakupata jibu mwanamke yule
ni nani, na anataka nini, utata. Asubuhi ile kalandinga liliwachukua mpaka mahakama ya
kijiji, jalada la Amata lilikuwa la tatu kuitwa, taratibu akiwa na pingu mikononi
aliingizwa katika chumba cha hakimu na kusomewa mashitaka ya kudhuru mwili,
alijikuta hana cha kukana isipokuwa kukubali, kesi ikahairishwa mpaka baada ya siku
kumi na nne. Walipokuwa wanarudi kwenye kalandinga alimuona binti yuleyule akiwa
amesimama katika kundi la watu waliokuja mahakamani hapo, muonekano wake ulikuwa
tofauti na wote pale kwani ndiye aliyevaa nadhifu kuliko wote ‘huyu ni nani?’ Amata
alijiuliza hakupata jibu, moyoni alimlaani kuliko anavyomlaani shetani walipogongana
macho Amata alitema mate chini na kumuonesha kidole cha kati. Mara alijikuta
anatandikwa kofi la kisogoni au vijana huita ‘mbata’
“Panda juu unatuchelewesha!” sauti kali ya askari ilisikika. Amata na wengine
wakapanda na lori lile kuondoka kwa kasi.
[emoji814][emoji814][emoji814]
“Una mpenzi mzuri sana, mtoto kaumbika kama Malaika, he he he mbona wewe na yeye
hamuendani kabisa au wewe ni mchunga ng’ombe wao!” mmoja wa mahabusu
alimuuliza Amata kwa sauti mbaya ya kukwaruza isitoshe inatisha. Amata aligeuka na
kumwangalia akatabasamu kwa sura iliyochoka
“Simjui hata anatoka wapi” alimjibu
“Kwangu ni kama shetani tu yule, anataka kuniua, kunifunga, hilo ndilo limemleta hapa”
aliendelea kumueleza yule mahabusuKwa nini aje kukuona asubuhi yote ile? Au kuna uhusiano wowote na kesi yako?”
aliendelea kudadisi mahabusu yule,
“Sijui chochote! Mbona maswali mengi umempenda? Mfwate basi, mi nshakwambia
smjui! Yule ni shetani tu” Amata alijibu kwa hasira kidogo na mahabusu yule
hakuendelea na maswali yake.
Kesi ilitajwa tena baada ya siku kumi na nne, Amata na wenzake wakiwa na pingu
mikononi waliingizwa katika chumba maalumu cha mahabusu mahakamani hapo, Amata
alisimama karibu na mlango, mara ghafla alipata mshtuko mkubwa, hakuamini
alichokiona nje ya jingo hilo, akakaza macho kutazama kwa makini akayafikicha kidogo
aone labda alikuwa ndotoni lakini hapana alichokiona ni sahihi na macho
hayakumdanganya. Hakutaka kupoteza hata sekunde katika lile alilokuwa anliona lakini
bahati mbaya hakuweza kusikia kinachozungumzwa. ‘Yule sio Chausiku?’ alijiuliza
moyoni lakini pia hakutaka kuyaamini macho yake.
Chausiki Binti Saidi, msichana mfupi mwenye afya njema kibonge, mmiliki wa mgahawa
unaojulikana kwa jina la Chau Café, msichana huyu ambaye amekuwa pamoja na Amata,
wamesoma shule moja ya msingi kijijini hapo na kucheza michezo mingi ya utoto
pamoja, yeye alifanikiwa kufika japo darasa la saba wakati Amata alifukuzwa shule
akiwa darasa la tano kwa kisa cha kumpiga mawe mwalimu wake wa darasa. Maisha
yalimwendea kombo Amata kielimu japo alijitahidi sana katika rasilimali alizoachiwa na
marehemu baba yake Chausiku alimpenda kutokana na bidii yake katika kazi. Watu
walimbeza sana Chausiku kwa jinsi alivyoonesha upendo kwa Amata hii ikapelekea
Chausiku kutokuwa karibu sana na kijana huyu ambaye japo aliugusa moyo wake,
pamoja na ukorofi lakini hakuweza kumtoa moyoni mwake, moyoni mwa Chausiku
Amata alikuwa kama maji yatuliavyo mtungini yasipoguswa. Vijana wengi walipenda
kwenda mgahawani kwake japo tu roho zao zisuhuzike kwa kumuona binti huyu, wapo
waliomdanganya kwa pesa na vitu mbalimbali lakini msimamo wake thabiti
haukumfanya ayumbishwe na vitu vyote hivyo bali aliuacha moyo wake utue kama
kipepeo atuavyo katika ua alilolichagua.
Chausiku aliumizwa sana na kisa kilichomkuta Amata, alijua kuwa Amata kwa hali
aliyonayo asingeweza kupata msaada wowote wa kisheria au utetezi katika kesi yake,
alijitahidi kufanya kila awezalo ili tu amsaidie Amata katika hili.
Jalada la Amata liliitwa, polisi walimtoa katika chumba kile akiwa chini ya ulinzi na
kupelekwa katika chumba cha mahakama, akiwa anapita katika kikorido kidogo cha
jengo hilo alisikia sauti nyembamba tamu ikipenya masikioni mwake, ilikuwa si ya
mwingine bali Chausiku ambaye alikuwa akilia kwa machozi mazito “Mnyezi Mungu
akusaidie” ni maneno aliyomwambia, Amata aligeuka kwa kuiba, alifarijika kuona
kumbe wapo katika binadamu awa hawa wanaompenda, kidogo alijisikia mtu kati ya
watu.
Kesi ya Amata ilikwisha alihukumiwa kifungo cha miaka miwili na miezi sita jela.
Waliondolewa mahakamani na Amata alianza kutumikia kifungo chake huko gereza la
kilimo Sogera, gereza lenye kazi ngumu, kulima, kupanda, kuvuna, muda wote mkiwa
katika matope, maji machafu, mnakula chakula huku mnanyeshewa na mvua, mateso!.
Unazingua
 
MSITU WA SOLONDO

Mtunzi Richard Mwambe


Sehemu 9

kujisongeza kwa taabu lakini hakuona dalili zozote za kiumbe eneo lile, alipofika ndani
ya vichaka alijinyanyua na kukaa kitako akiegemea mti mmojawapo, kelele zile zilisikika
kwa nyuma katika umbali mfupi tu, zingine zikishangilia na zingine zikilia, Saringo
alijawa na hofu pale tu alipoona mbele yake kiumbe kifupi kikimtazama kwa umakini,
alishikwa na hofu kuu alianza kutetemeka na mapigo ya moyo kumuenda mbio, kiumbe
kile kilitoa mngurumo wa ajabu huku kikinyanyua sura yake kuangalia juu kama kikiita
wengine, domo lake kubwa liliachama na ulimi wake mweusi kujitokeza nje, Saringo
alinyanyuka na kuanza kutimua mbio lakini kabla hajafika mbali alijikuta akitumbukia
kwenye korongo refu na kufikia kwenye tope zito ambalo hata kujigeuza ilikuwa tabu,
tope lenye kunata, alijigeuza huku na huku lakini alihisi uzito sana, alipoangalia alikotoka
aliona viumbe kama vile alipovihesabu vilikuwa yapata vitano hivi, pembeni aliona mzizi
mkubwa na mrefu ulioning’inia kutoka mti mkubwa uliopo juu ya korongo lile, Saringo
alikumbuka mafunzo aliyoyapata alipokuwa katika mafunzo ya jeshi la kujenga taifa,
aliushika mzizi ule na kwa taabu sana alianza kupanda kutoka mle ndani ya tope lile zito,
alijivuta kuelekea juu taratibu aliweza kufanikiwa huku viumbe wale wakiwa
wamesimama palepale Saringo hakuogopa aliendelea kukwea kwa ujasiri mkubwa
mpaka kufika juu katika shina la mti ule alijaribu kutazama huku na huku hakuona tena
viumbe wale, alijinyanyua na kuanza kufuata kule alikosikia kelele zile, baada ya
kutembea mwendo kama wa dakika kumi na tano hivi alijikuta katokea kwenye eneo lile
alikokuwa akisikia kelele zile, Saringo alishika midomo yake kwa kutoamini alichokiona
pale, watu wengi sana waliujaza uwanja ule wake kwa waume wakicheza ngoma za ajabu
kabisa katika mduara mkubwa, pembeni yao kwa juu kulikuwa na kitu kama jukwaa hivi
hapo aliketi mtu mmoja aliyeonekana kama ndio kiongozi wao, mkononi alishika fimbo
kubwa na juu ya fimbo hiyo kulikuwa na fuvu la binadamu lilionekana kama la mtoto
mdogo hivi, pembeni yake alizungukwa na wanawake wengi waliokuwa nusu uchi kwa
kuacha vifua na sehemu kubwa ya miguu yao ikiwa wazi, ilionekana ni sherehe kubwa
sana watu hawa wa kutisha walikula na kunywa wakicheza ngoma yao hiyo kwa kila aina
ya mtindo wakiwa wamejipamba kwa michoro ya ajabu ajabu katika miili yao, katikati ya
mduara huo kulikuwa na watu walioonekana wamefungwa kamba kwa hesabu ya haraka
haraka Saringo alipata kuwa wapo kama kumi na tano ‘ha! Ina maana huku kuna viumbe
kama sisi!’ Saringo alijiuliza lakini jibu hakupata kwa kuwa aliona wengine wakiwa
wamefungwa kamba na kuwekwa pale katikati. Saringo alitulia pembeni ya mti ule ili
ajue ni nini kitaendelea eneo lile maana sherehe hii haikuleta maana kwake hata kidogo.
Aliendelea kujibanza palepale mwili wake ukiendelea kushambuliwa na mbung’o wenye
njaa ambao sasa walipata kitoweo bila jasho, uchovu ulimkabili hata kusababisha mwili
wake kudhoofu kwa hilo, hakujua hatima yake, hakujua wenzake wako wapi au
wamepatwa na nini, hali hii ilimfanya msichana huyu mrembo mwenye maringo na
mikogo ya aina aina awe kama kichaa asiye na msaada ukiongeza na matope ambayo
sasa hata yeye alishasahau kama yamemganda mwilini mwake alibaki tu kujiinamia
kwenye kichaka kile kidogo, machozi yalimlengalenga na macho yake kulowa alimlilia
nani hakujua, Saringo alituli palepale kama mtu aliyegongewa kwa misumari
hakuthubutu kujitikisa kwa kuwa alihofu kuwa kwa kufanya hivyo angewafanya watu
wale wajue kuwa yupo pale.
Saringo aligutushwa pale ngoma ilipoongeza kasi na watu kuongeza nguvu za kucheza,
mara yule mtu aliye kama kiongozi alinyanyuka na kupiga kelele akinyanyua juu fimbo
yake, watu wawili walitokea nyuma ya kiti chake kile wakiwa wamemshika mtu mwingine wakitumia nguvu kumleta pale mbele ya kile kiti, mtu yule alionekena kuwa
mkaidi na kutumia nguvu kujinasua lakini watu wale wenye nguvu na tambo kubwa
walimdhibiti na kumfikisha pale mbele ya yule kiongozi, kiongozi yule alipiga tena
kelele na wale waliokuwa wakicheza ngoma walishangilia kwa kwa kelele za ajabu kisha
wakasimama na kugeukia upande ule ambao yupo yule kiongozi wao. Wale watu
walifunga yule mateka wao kwenye kisiki cha mti kilichowekwa mahali pale na mmoja
wao akachukua mti wenye kipago kama cha manati na kuipachika shingo ya yule mateka
kiasi kwamba hawezi kupata pumzi, yule kiongozi alipiga tena ukelele na wale watu wote
wakashangilia kwa kelele zile zile, yule kiongozi akachukua jiti kubwa lenye ncha kali na
kulididimiza kifuani mwa yule mateka alipolichomoa lilitoka na moyo wa binadamu,
damu ziliruka kwa kasi na watu wote wakaanza kushangilia kwa nguvu, ngoma ikaanza
upya na kucheza kukaanza tena, yule kiongozi akarudi kwenye kiti chake cha enzi akiwa
na ule moyo mkononi huku akionesha kufurahia kile alichofanya. Saringo alisisimka
mwili wote na kupata ganzi akaanza kulia kwa vikwifukwifu akiwaomboleza wenzi wake
wote na kujijutia nafsi yake maana alijua sasa maiti yake haitaonekena hata na rafiki zake
bali italiwa na wanyama na ndege wa Msitu wa Solondo. Giza lilipoanza ingia moto
mkubwa uliwashwa mahali pale na sherehe ile iliendelea kwa muda kisha ikasimama,
yule kiongozi akaongea maneno machache ambayo Saringo hakuyaelewa maana yake ni
nini kwa kuwa walitumia lugha isiyoeleweka. Baada ya maneno yale machache wale
watu walishangilia tena kwa sauti kubwa na mara wakawanyanyua wale waliokuwa
wamefungwa pale chini na kuwaongoza kuelekea mahali fulani, Saringo aliendelea
kuangalia msafara ule ukiingia msituni ‘lazima nione mwisho wake’ alijisemea nakuanza
kuufuata msafara ule kwa kupitia pembeni ili tu wasije kumuona. Msafara ule ulipita
katikati ya misitu minene Saringo hakujua hata ni wapi wanakoelekea yeye aliendelea
kufuata tu kwa kuwa aliamini kuwa labda kati ya wale ambao wamefungwa inawezekana
kuna wenzake alijipa moyo nakuendelea kuufuata kwa pembeni msafara ule huku
akimuomba Mungu wake amlinde japokuwa hata kanisa au msikiti hakuujua. Saringo
aliona mara nyingi mtu mmoja ambaye alichoka sana katika mateka wale, mara mara kwa
mara alikuwa akishindwa kuendelea na safari ile lakini wao hawakujali bali walimburuza
na kumyanyua kwa nguvu ili aendelee na safari ile, saringo alishikwa na huruma ya kike
lakini hakuthubutu hata kuthubutu kufanya lolote maana alijua hapa akionekana tu
itakuwa zamu yake kutolewa moyo kama waliotangulia, alizidi kuufuata msafara ule bila
kuchoka huku akichuma kila akionacho porini humo na kula ilimradi tu hakikuwa
kichungu wala hakikuwa sumu. Kiu na njaa vilisumbua koo na tumbo lake akiwa
anahemea juju kwa uchovu na kibaridi cha usiku ule kikiendelea kumpa nguvu kidogo
Saringo hakuchoka, mwili wote ukiwa umegandamana na matope hata alisahau hili nia
na lengo yake ilikuwa tu ni kuona mwisho wa msafara ule uliokuwa umekusanya mateka
wale. Mwanga wa mienge iliyowashwa na watu wale ilangaza vema ndani ya msitu ule
‘kama akina Amata hawako kati ya mateka wale sasa wako wapi? Watawezaje kufika
katika pango lile tunalolikusudia hali mchoro wa njia yote anao Stephan!’ wazo hilo
lilimjia daima na ha po akagundua kuwa si ajabu yuko peke yake ndani ya msitu huu,
alijaribu kufikiria uwezekano wa hawa wenzake kuwa pamoja lakini hakuna muunganiko
wa matukio ambayo yangewafanya wakutane ‘Stephen na Hellen walipotea pangoni
nikabaki mimi na Amata, ah! Amata yupo wapi?’ alijiuliza mwenyewe huku akiendelea
na safari asiyoijua ni wapi inaelekea. Akiwa katikati ya msitu ule saringo alichoka sana
akainama na mikono yake kushika magotini, alihisi kama mkono wa mtu ukimuinua kichwa chake alipoinuka hakuona mtu yeyote mahali pale, hofu ilimjaa akarudi nyuma
kidogo na kugeuka uku na huko lakini hakuona mtu zaidi ya miti ya msitu ule
iliyozunguka mahali pale, mara akasikia sauti ya kuning’ona ikimwita
“Saringo, Saringo!!!”
Saringo aliangaza uku na huko hakuona mtu mbele yake kulikuwa na mbuyu mkubwa
sana aliangalia juu ya mti ule hakuna kitu, mauzauza! Alianza kuondoka polepole mara
akajikwaa kwenye kitu kama kamba na kuanguka kifudifudi akasikia vicheko vya kike
vikimcheka kwa kujirudiarudia, Saringo aliogopa sana moyo ukaanza kwenda mbio
akajishika kifuani japo kuhakikisha kuwa moyo huo hautatoka nje! Vicheko vile vilitulia
na hali ilikuwa ya utulivu kama mwanzo ni miti tu iliyokuwa ikitikiswa na upepo ndiyo
iliyotawala giza hilo, mbalamwezi ilianza kung’aza eneo hilo, Saringo alisimama kimya
akijua sasa msafara ule utakuwa umempotea hata asijue wapi ulipo. Akiwa katika
kutafakari hayo yote alisikia sauti za watu wakiongea mara mtoto akilia mara vicheko
sauti hizi zilikuwa zikitoke pande mbalimbali mara aligeuka nyuma hakuona mtoto
alitazama kushoto na kulia hakuona watu, Saringo alizidi kuingiwa na hofu akaanza
kutimua mbio kama kichaa, akipita vichakani, alihisi kama mtu anakimbiza nyuma yake
lakini hakumuona, alizidi kukimbia huku akitweta kwa nguvu bado alisikia vishindo vya
mtu vikimfukuza nyuma yake, akasimama na kugeuka nyuma ‘liwalo na liwe’ alijiambia,
lakini hakuona mtu na vishindo vile havikusikika tena, alihisi kuchanganyikiwa zaidi,
alipoanza kutembea alihisi kama mtu yuko pembeni yake naye akitembea, saringo
akasonya mara akasikia misonyo zaidi ya kumi kutoka pande tofauti, akaanza kukimbia
tena sasa kwa kasi zaidi, nyuma yake alisikia vishindo sasa sio vya mtu mmoja bali ni
wengi wakimfukuza, saringo alikimbia kwa kasi yake yote huku moyoni akiomba Mungu
amsaiidie katika hili, akiwa katika mbio hizo alijikwaa na kuanguka vibaya pale
alipoangukia kulikua na mzoga wa mnyama wa skunyingi sana ambao kwa wakati huo
ulibaki mifupa tu, alihisi kama mtu akimshika shingoni kumyanyua, Saringo akaokota
moja ya ile mifupa na kugeuka kwa kasi tayari kwa shambulizi, vumbi kubwa lilitimka
mbele yake kama upepo wa kisulisuli miti na manyasi ya eneo hilo iliyumbayumba bila
muelekeo, mara kukawa kimya kumetulia kabisa, Saringo akainua mkono wake
kuangalia ule mfupa ‘waoh!!!!’ alishangaa, aligundua kuwa inawezekana viumbe hivi
visivyoonekana vinaogopa aina hii ya mifupa, akachukua na kuupachika kwenye pindo la
suruali yake na mwingine akaushika mkononi, akaanza kujaribu kuutafuta ule msafara
kama angeuona tena!
666
Miaka saba ilopita Miaka saba ilopita
HEIDELBERG UNIVERSITY- HEIDELBERG UNIVERSITY---UJERUMANI UJERUMANI UJERUMANI
Chuo kikuu cha Heidelbeg, (Heidelberg University, Ruperto Carola) ni chuo kikuu cha
tafiti kilichopo katika jiji la Heidelbeg, Baden-Württemberg, Ujerumani. Kilianzishwa
mnamo mwaka 1386, ni chuo kikongwe sana huko Ujerumani na ni chuo cha tatu
kujengwa katika Utawala wa Warumi. Heidelberg kimekuwa chuo kinachotoa elimu
mchanganyiko tangu mwaka 1899. Leo hii katika chuo hiki kuna vitivo kumi na mbili na
kinatoa shahada, shahada ya uzamili na shahada ya juu.
Katika chuo hiki ndipo Bw Stephen Van Leuwen alipokuta na Bi Hellen Schurman
wakiwa wakufunzi katika kitivo hiki cha mambo ya kale, hawakuzoeana kirahisi kama unavyofikiria wewe sasa hivi bali walifanya kazi chuoni hapo takribani miaka mitano.
Siku moja Stephen alipata safari ya kikazi kwenda Chuo kikuu cha Humboltd nacho cha
uko huko Ujerumani kuona mabaki ya mjusi mkubwa (dinosauria) yaliyokuwa
yamepelekwa huko Ujerumani yakitokea katika moja ya makoloni yao lililojulikana
kama Deutche Ost Africa (Tanzania bara ya sasa), katika ziara hiyo ya kikazi ndipo
alipopata nafasi ya kuongea na Bi Hellen kwa mara ya kwanza, wakiwa katika
kubadilishana mawazo ndipo walipogundua kuwa huko katika bara la giza kuna mambo
mengi ambayo wao kama watafiti wa mambo ya kale iliwapasa kuyafahamu.
“Ningependa siku moja kufanya safari ya uchunguzi huko Africa” Hellen alimueleza
Stephen
“Inawezekana kwa kuwa pia kuna historia kubwa sana ya Mjerumani, kwa nini usiitafiti?
Twaweza kufanya hilo na kuandika kitabu ambacho kitasaidia kufundishia na pia
kuongeza elimu yetu!” Stephen alikazia
“Lakini tutafanya tafiti juu ya nini?” Hellen aliuliza
“Inabidi tukae tuangalie pamoja, kwa kuwa kuna mambo mengi sana ya kufanyia utafiti”
Stephan alijibu huku akiwa katika harakati za kuwasha sigara yake ili avute.
“Samahani sipendelei sigara!” Hellen alimwambia Stephan
“Oh! Sorry Miss!!!” Stephan aliomba radhi na kuzima sigara ile
Mazungumzo yao yalikuwa marefu sana, waliongea mengi sana juu ya mambo kale na
historia mbalimbali, lililotokana na mazungumzo hayo lilikuwa ni kufunga safari ya
kitafiti huko Africa, lakini wasiwasi wao ulikuwa ni nini cha kufanyia utafiti na wapi pa
kwenda.
Walirudi tena Heidelberg kuendelea na kazi, mara kwa mara kila mmoja alikuwa ana
hamu ya kuonana na mwenzake ili tu kubadilishana mawazo katika hili, Hellen
alidhamiria toka ndani ya moyo wake kufanya tafiti mojawapo katika Africa lakini
aliogopeshwa na habari nyingi za huko Africa, mara alikata tamaa na mara alijipa
matumaini hasa alipokumbuka safari yake aliyoifanya miaka kadhaa nyuma akiwa
mwanafunzi katika misitu ya Amazonia aliamini duniani hakuna msitu unaoweza
kuufikia huo kwa kila hali. Kwa upande wa Stephan alitokea kumpenda sana Hellen hasa
kwa umbo lake zuri la kike waswahili wangeliita namba nane, mwanadada huyu mfupi,
mcheshi anayeonekana ni mjuzi wa mambo aligonga mhuri wa penzi katika moyo wa
Stephan, kijana jasiri kutoka Poland aliyelelewa na baba yake ambaye alikuwa
mwanajeshi aliyepigana vita ya I ya dunia, hakuwa muongeaji sana lakini pia hakuwa
mtu wa kukubali kila kitu alichoambiwa, alipenda kusoma na kuchunguza mambo
mbalimbali hasa ya kutatanisha, kwa muda huu alivutiwa na wazo la Hellen la kufanya
utafiti huko Africa lakini bado hakujua ni nini wangeenda kufanya huko, tangu siku hiyo
alianza kusoma vitabu mbalimbali vinavyohusu Africa ili labda angeona chochote cha
kufanyia utafiti, haikuwa rahisi sana kwani katika maktaba ya chuo hicho kulikuwa na
vitabu zaidi ya elu kumi vyote vikizungumzia mambo kale hasa ya Africa, vitabu hivyo
vilimpatia habari za kutisha sana juu ya Africa lakini alijipa moyo hasa alipokumbuka
safari yake akiwa mwanafunzi huko Misri katika mapyramid aliamini hakuna sehemu
yoyote duniani ambayo ni ngumu kuishi zaidi ya huko ambako ni jangwa na vumbi muda
wote.
Siku moja akiwa ndani ya maktaba akipitia vitabu mbalimbali, Stephen alimuona
msichana mrembo, mrefu wa wastani mwenye mwendo wa madaha, Stephen alijikuta
akishindwa kuendelea kusoma kitabu kile na badala yake macho na mawazo yote yalimuelekea msichana yule mweusi mwenye nywele fupi aliyekuwa akiingia maktaba
mle kwa ajili ya kujisomea kama ilivyo ada, alimtazama mpaka alipokaa, maadam
alikuwa ndani ya maktaba ile basi alijua kwa vyovyote ni mwanafunzi wa chuo hicho
alivutiwa hasa na rangi yake iliyotunzwa vizuri. ‘A girl from dark continent!’ alijiwazia
moyoni, ilikuwa ni mara yake ya kwanza kumuona mtu mweusi hakuamini anachokiona
bali alijiuliza tu jinsi alivyosikia habari za bara hilo la giza na kumbe kuna viumbe vizuri
kama hivi vinaishi, haikumuingia akilini hata kidogo. Alinyanyuka alipoketi na kutoka
maktabani kwa kuwa alipoangalia saa yake alijikuta kuwa anatakiwa katika kipindi,
alichukua baiskeli yake na kuelekea alikotakiwa.
Hamu ya Stephan ya kufanya utafiti katika bara lile la giza ilizidi kuchukua nafasi katika
moyo wake na hasa alipomuona msichana huyu mweusi, mrembo mwenye kila aina ya
mvuto. Alimtafuta tena Hellen na kumueleza juu ya azma hiyo na juu ya yule msichana
mweusi, “Labda anaweza kufahamu mambo mengi kuhusu Africa!” Hellen alimueleza
Stephan kwa shauku. Walikubaliana kumtafuta ili wajue mengi juu ya alikotoka na hapo
ndipo waanze kuandika kile kitabu chao cha utafiti.
 
MSITU WA SORONDO

Mtunzi Richard Mwambe

Simu 0754740668

1
Chau cafe Chau cafe
Amata Ga Imba aliendelea kunywa kahawa yake polepole kana kwamba hana
shughuli nyingine ya kufanya kwa siku hiyo, kichwani akiwa na mawazo mengi sana
akipanga na kupangua juu ya maisha yake ya sasa na baadae, alipotahamaki hata kashata
alizokuwa akila zilikwisha moyoni akajiuliza kama aliagiza kashata au ameshazila
zimekwisha! Hilo nalo likawa jambo jingine ambalo lilikosa jibu kabisa.
“Chausiku!!” aliita kwa nguvu kana kwamba aliyekuwa anamuita alikuwa umbali wa
kilomita kadhaa lakini kumbe wote walikuwa hapo jirani tu.
Watu walishtuka kwa sauti hiyo hata wengine walidiriki kumtupia maneno yasiyostahili
“Samahani waheshimiwa!” aliomba msamaha
“Samahani nini mjinga wewe!” mmoja alitamka kwa hasira
“Wengine tuna BP utatuuwa bure sura ka Sokwe!” mwingine aliongeza
Amata aliumia sana moyoni kwa tukio lile, akainamia mezani, akatikisa kichwa kisha
akasimama kwa hasira na kuelekea eneo la kunawia mikono, akajitazama kwenye kioo,
akatabasamu, kisha akageuka na kurudi alipoketi kwanza.
Kabla hajaketi alisikia sauti nyuma yake
“Umejiona ee? Ka sokwe, tena wa Gombe!” mmoja alimkejeli, wengine wakaangua
kicheko cha dharau na kupiga miluzi.
Hasira za ghafla zikamrudia Amata, akageuka na kuelekea upande ambao sauti ile
imesikika
“Nani aliyesema vile?” aliuliza kwa kung’aka, wakacheka tena
“Ukimuona utamfanya nini? Fala wewe mtoto wa porini!!” mwingine alisema na
wengine wakaangua kicheko. Amata alipiga hatua mbili mbele na kumkunja shati yule
aliyesema maneno hayo akamuinua kwa nguvu akamrusha chini, huyo akaanguka chini
mzimamzima kama gunia, jamaa akanyanyuka kwa hasia na kumvamia Amata, Amata
akamdaka na kupiga vichwa vitatu vya nguvu akamsukuma kidogo na kumrushia
makonde kama mvua, kijana yule alichanganyikiwa hata hakuweza kujibu mashambulizi
alianguka chini mara ya pili.
“Ameua! Ameua! Ameua!” kelele za watu zilijaza mgahawa ule mara watu wakajaa
wanataka kumshika Amata. Yule kijana bado alikuwa chini hajitambui kwa kipondo cha
ghafla alichokipata. Amata aliruka kutoka aliposimama akatua juu ya meza na kutaka
kutoroka kwa kupitia dirishani, watu walimgombania kwa kumshika shatia wengine
suruali, masikini Amata shati lake lilichanika vibaya akabaki na fulana ya ndani na
kuwaachia shati wananchi wenye hasira, alliruka kupitia dirisha la mgahawa huo na
kudondokea kwenye lundo la mawe kwa kutanguliza mkono, alihisi maumivu makali ya
mkono lakini alipogeuka aliona watu wale wanakuja pale alipo, akanyanyuka na kutimua
mbio
“Huyo huyo! Kamata muuaji huyo!!” kelele za wananchi wale zilikuwa kama kichocheo
kwa kijana Amata kuongeza spidi. Mara kwa mbele aligongana na pande la mtu na
kuangushwa mbali, alinyanyuka na kuanza kukimbia tena, watu walitoka majumbani na
kumuunganishia kama kawaida ya wananchi. Mbio ziliendelea na wananchi nao
hawakuchoka, alitokea kwenye wigo wa nyumba la! Hapakuwa na njia aliruka na kupanda ukuta kisha akatokea upande wapili na kupanda tena alitua chini kwa miguu
yake mikakamavu na kutimua mbio lakini la haula! Alipokuwa akijaribu kuvuka kichaka
kidogo katika eneo hilo alijikwaa vibaya na kuanguka chini, mchezo umekwisha. Watu
wakamkamata na kuanza kumpiga hata kumuumiza vibaya, Mungu si Athumani polisi
waliwahi kumuokoa kutoka kwenye mikono ya watu wenye hasira.
“Tuachie huyo tummalize! Muuaji huyo!” watu walipiga kelele na wengine bado
walidiriki kurusha hata mawe ambayo baadhi yaliwapata askari wale. Askari mmoja
akafyatua risasi hewani na watu wale wakatawanyika kwa woga wakikimbia uku na huku
wengine wakianguka na kukanyagana vibaya. Amata alichukuliwa mpaka kituo kidogo
cha polisi akiwa hatamaniki kwa jinsi alivyolowa damu hata fulana yake aliyobaki nayo
baada ya kuwaachia shati watu wale haikujulikana kama ni nyeupe au nyekundu, juu ya
jicho lake la kushoto jeraha kubwa lilikuwa bado linavuja damu, mkono wake umevimba,
kucha ya kidole gumba cha mguu wa kushoto haikujulikana hata imeng’okea wapi.
Askari wale walimpiga Tanganyika jeki bila huruma wala kujali kuwa mwenzao
ameumia namna ile wallimkokota tena na makofi juu mpaka kituo kidogo cha polisi na
kumlundika selo.
Ndani ya chumba kidogo cha selo katika kituo cha polisi cha kijiji wahalifu walijazana
mpaka hewa haikutosha kabisa, walichoka na hata wengine kukosa nguvu, kupoteza
fahamu kwa kukosa hewa ya kutosha. Amata aliingia kwenye selo hiyo katika hali ile
aliyokuwanayo, akakaribishwa na joto na harufu mbaya haja kubwa na ndogo
zilizochanganyika, mwanga hafifu uliopita katika kadirisha kadogo kenye ukubwa wa
mlango wa banda la njiwa ndio pekee kalikokuwa kanatoa faraja kwa binadamu hawa
waliokuwa na makazi ya muda ndani ya chumba hiki, wote walikuwa na sura za kutisha
ambazo bila kuuliza utajua kuwa sasa nimeingia kuzimu.
Ucku huo ulikuwa mrefu sana kwa Amata, mawazo mengi yalitawala kichwa chake,
maumivu makali yaliusumbua mwili wake, alijituliza kimya kwenye moja ya kona za
kijichumba hiko huku akisikia kichefuchefu kama mama mjamzito kila mara alitamani
kutema mate lakini atatemea wapi watu wamejazana hata wengine wamekaa kwa
kupakatana mh! Mawazo yaliendelea kumsonga hata usingizi mwepesi
uliokatishwakatishwa kwa nyimbo za kuchukiza za mbu masikioni mwake ulikuja na
kuondoka, aliwaza jinsi anavyoishi kwa tabu bila Baba wala Mama wa kumtetea, japo
aliachiwa shamba kubwa na kibanda cha kuishi lakini hakuujua uelekeo wa maisha yake,
“alikuwa analinga na Baba yake, ataona sasa” wengi walisema hivyo, Amata aliona ama
jamii yote haimtaki, dunia imemchukia au ulimwengu unampa adhabu?
“Kwa nini mimi?” alijiuliza uliza moyoni mara kwa mara hasa alipokuwa kwenye
kibanda chake huko shambani kwao ambako alipitisha maisha yake ya ujana tangu
wazazi wake walipofariki yeye akiwa na umri wa miaka michache nyuma, mama yake
aliuawa na Simba alipokwenda kuchota maji nje kidogo ya shamba lao ijapokuwa Baba
yake alijaribu kumtetea dhidi ya Simba hao wakali wenye uchu wa nyama lakini hakufua
dafu ‘kidole kimoja hakivunji Chawa’ alipiga kelele za msaada lakini hakuna aliyekuja.
Lakini Baba yake alikufa baada ya kuugua kwa muda mfupi miaka michache baadae.
Kila aliporudiwa na picha hizi alilia sana na kujiona kuwa yeye ni binadamu mwenye
mkosi, akuwahi kuwa na kaka wala dada isipokuwa ndugu tu ambao pia hawakuwa na
msaada nae kabisa. Amata!!!” aligutushwa na sauti kali ya askari iliyotokea kwenye kadirisha ka mlango wa
selo hiyo.
“Afande!” aliitikia kwa uchovu na kujaribu kujiinua kutoa alipokuwepo lakini alijikuta
anapata kizunguzungu na kuwaangukia wenzake waliokuwa hapo. Alifika mlangoni pale
kwa shida mbele yake alimuona msichana mrembo sana kasimama, mrefu wa wastani
maji ya kunde, alivalia vizuri suruali yake ya kitambaa nyeusi na blauzi yake nyeupe
huku shingoni kafunga skafu yenye mchanganyiko wa rangi, nywele zake fupi
zilizokatwa kiumahili na vinyozi wanaojua kazi yao, kiatu chake kirefu kilimfanya
aonekane kuwa ni mrembo anayetunzwa na pedeshee fulani. Dada yule alijivuta taratibu
mpaka kwenye dirisha lile. Amata alipokea pumzi safi iliyonukia na kuvutia kutoka kwa
mrembo huyo, hakuamini anachokiona ni malaika au binadamu, aliduwaa, akapigwa na
bumbuwazi, mikono yake ikiwa imeshika nondo mbili zenye kutu alijikuta anaishiwa
nguvu. Mrembo yule alishika nondo zile kwa kubana mikono ya Amata akaiangalia sura
ya Amata iliyochoka na kukaukiwa na damu..
“Saringo! Naitwa Saringo” almwambia Amata kwa sauti ya chini
“Hunijui, ila utanijua punde tu” aliendelea “Haujaua ila umeumiza vibaya, sasa unastahili
zawadi kwa kazi uliyoifanya bila kujua, na zawadi hiyo utaipata ukimaliza kazi yako”
Saringo alishusha pumzi na kumwangalia Amata usoni na kumuona jinsi
alivyochanganyikiwa, akaendelea kumwambia mashairi yake yasiyoeleweka kwa mtu
mwenye akili timamu, sasa kwa kukunja sura akamwambia Amata “ Lazima ufungwe,
uishie jela!” akageuka nakuondoka zake. Amata akazidi kulowa jasho, maswali yasiyo na
majibu yalimzunguka tena ‘nilijua malaika mwema kaja kuniokoa kumbe malaika mbaya
wa mauti kanitembelea’ alijiwazia na kuanza kulia. Amata hakupata jibu mwanamke yule
ni nani, na anataka nini, utata. Asubuhi ile kalandinga liliwachukua mpaka mahakama ya
kijiji, jalada la Amata lilikuwa la tatu kuitwa, taratibu akiwa na pingu mikononi
aliingizwa katika chumba cha hakimu na kusomewa mashitaka ya kudhuru mwili,
alijikuta hana cha kukana isipokuwa kukubali, kesi ikahairishwa mpaka baada ya siku
kumi na nne. Walipokuwa wanarudi kwenye kalandinga alimuona binti yuleyule akiwa
amesimama katika kundi la watu waliokuja mahakamani hapo, muonekano wake ulikuwa
tofauti na wote pale kwani ndiye aliyevaa nadhifu kuliko wote ‘huyu ni nani?’ Amata
alijiuliza hakupata jibu, moyoni alimlaani kuliko anavyomlaani shetani walipogongana
macho Amata alitema mate chini na kumuonesha kidole cha kati. Mara alijikuta
anatandikwa kofi la kisogoni au vijana huita ‘mbata’
“Panda juu unatuchelewesha!” sauti kali ya askari ilisikika. Amata na wengine
wakapanda na lori lile kuondoka kwa kasi.
[emoji814][emoji814][emoji814]
“Una mpenzi mzuri sana, mtoto kaumbika kama Malaika, he he he mbona wewe na yeye
hamuendani kabisa au wewe ni mchunga ng’ombe wao!” mmoja wa mahabusu
alimuuliza Amata kwa sauti mbaya ya kukwaruza isitoshe inatisha. Amata aligeuka na
kumwangalia akatabasamu kwa sura iliyochoka
“Simjui hata anatoka wapi” alimjibu
“Kwangu ni kama shetani tu yule, anataka kuniua, kunifunga, hilo ndilo limemleta hapa”
aliendelea kumueleza yule mahabusuKwa nini aje kukuona asubuhi yote ile? Au kuna uhusiano wowote na kesi yako?”
aliendelea kudadisi mahabusu yule,
“Sijui chochote! Mbona maswali mengi umempenda? Mfwate basi, mi nshakwambia
smjui! Yule ni shetani tu” Amata alijibu kwa hasira kidogo na mahabusu yule
hakuendelea na maswali yake.
Kesi ilitajwa tena baada ya siku kumi na nne, Amata na wenzake wakiwa na pingu
mikononi waliingizwa katika chumba maalumu cha mahabusu mahakamani hapo, Amata
alisimama karibu na mlango, mara ghafla alipata mshtuko mkubwa, hakuamini
alichokiona nje ya jingo hilo, akakaza macho kutazama kwa makini akayafikicha kidogo
aone labda alikuwa ndotoni lakini hapana alichokiona ni sahihi na macho
hayakumdanganya. Hakutaka kupoteza hata sekunde katika lile alilokuwa anliona lakini
bahati mbaya hakuweza kusikia kinachozungumzwa. ‘Yule sio Chausiku?’ alijiuliza
moyoni lakini pia hakutaka kuyaamini macho yake.
Chausiki Binti Saidi, msichana mfupi mwenye afya njema kibonge, mmiliki wa mgahawa
unaojulikana kwa jina la Chau Café, msichana huyu ambaye amekuwa pamoja na Amata,
wamesoma shule moja ya msingi kijijini hapo na kucheza michezo mingi ya utoto
pamoja, yeye alifanikiwa kufika japo darasa la saba wakati Amata alifukuzwa shule
akiwa darasa la tano kwa kisa cha kumpiga mawe mwalimu wake wa darasa. Maisha
yalimwendea kombo Amata kielimu japo alijitahidi sana katika rasilimali alizoachiwa na
marehemu baba yake Chausiku alimpenda kutokana na bidii yake katika kazi. Watu
walimbeza sana Chausiku kwa jinsi alivyoonesha upendo kwa Amata hii ikapelekea
Chausiku kutokuwa karibu sana na kijana huyu ambaye japo aliugusa moyo wake,
pamoja na ukorofi lakini hakuweza kumtoa moyoni mwake, moyoni mwa Chausiku
Amata alikuwa kama maji yatuliavyo mtungini yasipoguswa. Vijana wengi walipenda
kwenda mgahawani kwake japo tu roho zao zisuhuzike kwa kumuona binti huyu, wapo
waliomdanganya kwa pesa na vitu mbalimbali lakini msimamo wake thabiti
haukumfanya ayumbishwe na vitu vyote hivyo bali aliuacha moyo wake utue kama
kipepeo atuavyo katika ua alilolichagua.
Chausiku aliumizwa sana na kisa kilichomkuta Amata, alijua kuwa Amata kwa hali
aliyonayo asingeweza kupata msaada wowote wa kisheria au utetezi katika kesi yake,
alijitahidi kufanya kila awezalo ili tu amsaidie Amata katika hili.
Jalada la Amata liliitwa, polisi walimtoa katika chumba kile akiwa chini ya ulinzi na
kupelekwa katika chumba cha mahakama, akiwa anapita katika kikorido kidogo cha
jengo hilo alisikia sauti nyembamba tamu ikipenya masikioni mwake, ilikuwa si ya
mwingine bali Chausiku ambaye alikuwa akilia kwa machozi mazito “Mnyezi Mungu
akusaidie” ni maneno aliyomwambia, Amata aligeuka kwa kuiba, alifarijika kuona
kumbe wapo katika binadamu awa hawa wanaompenda, kidogo alijisikia mtu kati ya
watu.
Kesi ya Amata ilikwisha alihukumiwa kifungo cha miaka miwili na miezi sita jela.
Waliondolewa mahakamani na Amata alianza kutumikia kifungo chake huko gereza la
kilimo Sogera, gereza lenye kazi ngumu, kulima, kupanda, kuvuna, muda wote mkiwa
katika matope, maji machafu, mnakula chakula huku mnanyeshewa na mvua, mateso!.
[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom