Angalia chini inaposema "Sura ya Tatu"Mbona siioni mkuu au ni mimi tu wakuu
Mkuu kwanini hii stor usiwe unatupia tu hapa chini kuliko kuunganisha hapo juu? Kwa wenye simu watapata shida sana kuisoma hii stori
Sawa sawa Mzee MwanakijijiBasi sura zinazofuatia zitakuja huku chini... Asante kwa ushauri.
Basi sura zinazofuatia zitakuja huku chini... Asante kwa ushauri.
Bora aisee mana nilikuwa natesekaMkuu kwanini hii stor usiwe unatupia tu hapa chini kuliko kuunganisha hapo juu? Kwa wenye simu watapata shida sana kuisoma hii stori
Yaan wewemkuu shukra japo sijaanza kosoma nasubiri isogee
Kwa nnYaan wewe