Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
una maana unataka niposti kurasa zote 240 za kitabu hapa ili kuwaburudisha tu?
kumbe
Mzee hauko serious ulitaka kututamanisha tu
una maana unataka niposti kurasa zote 240 za kitabu hapa ili kuwaburudisha tu?
kumbe
Mzee hauko serious ulitaka kututamanisha tu
uuh kwanini unasema hivyo? jamani kwani Trailer ya movie ina lengo gani? Mimi hadi hivi sasa nataka kwenda kuiona Black Panther.. maana inatamanisha... 😉😉😉😉![]()
![]()
kumbe
![]()
![]()
Mzee hauko serious ulitaka kututamanisha tu
![]()
tangazo wapi?
Nini tena jamani... someni kwa furaha.. nawaongezea sura ya tatu shortlyKhaaaa we mzee
Tuwekee yote mzee ndo nn kututamanisha tuNini tena jamani... someni kwa furaha.. nawaongezea sura ya tatu shortly

Sory mkuu shusha mzigo ila ucje ukatuacha na arosto katikatiuna maana unataka niposti kurasa zote 240 za kitabu hapa ili kuwaburudisha tu?
Nipo mkuu. Kwenye vitu vizuri kama hivi lazima niwepo.Na huku upo
Hii kitu inaonekana iko poa sana
Mbona siioni mkuu au ni mimi tu wakuuSura ya Tatu imeendelea.. enjoy!!

Teh teh buji buji bhana!!!!!!! Turudi zetu siasani huyu Mzee anazeeka kinoma zaidiHuyu Shabba Ranks ni noma. Katoka kwenye Mr. Lover man, Ting a ling, House Call ftn Maxi Priest, Je Jam featuring Queen Latufah and KRS1, Trailer Load a Girls, Slow and Sexy, Na Respect hadi kuwa mpelelezi mahiri!!! Kweli maisha ni safari ndefu.
Mzee tunakuheshim sana usifanye tukavunja heshima yako kwa kutuumiza na arosto...
Kama unajua haitaisha tuambie
![]()
![]()
imeendelea wap?
