Riwaya: Mkono Wa Chuma

Riwaya: Mkono Wa Chuma

Asante Legend
Nami nimekua nafuatilia kwa karibu mfululizo wa riwaya tamu iliyosheheni visa na mikasa ya mauaji kutisha na kutatanisha, ushushushu, usaliti, matumizi mabaya ya ya madaraka /ofisi za umma, mambo ya mapenzi kiduchu na kadhalika ya 'Mkono wa Chuma'.

Najiuliza uliza tu hivi
Waziri mpya ambaye mbali na ugeni wake tayari ameshaonesha nia ya kutaka kumuondoa boss wake (rais), ni kweli atafanikisha hilo?
Na ni kwa namna gani atatekeleza azma yake hiyo?
Ataungana na BQ, Sajenti, Ray au itakuaje?..........
wacha tuone huko mbeleni
 
Huyu waziri atakuja aibe ile remote ya kumwendesha ray akae nayo yeye.
Asante Legend
Nami nimekua nafuatilia kwa karibu mfululizo wa riwaya tamu iliyosheheni visa na mikasa ya mauaji kutisha na kutatanisha, ushushushu, usaliti, matumizi mabaya ya ya madaraka /ofisi za umma, mambo ya mapenzi kiduchu na kadhalika ya 'Mkono wa Chuma'.

Najiuliza uliza tu hivi
Waziri mpya ambaye mbali na ugeni wake tayari ameshaonesha nia ya kutaka kumuondoa boss wake (rais), ni kweli atafanikisha hilo?
Na ni kwa namna gani atatekeleza azma yake hiyo?
Ataungana na BQ, Sajenti, Ray au itakuaje?..........
wacha tuone huko mbeleni
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom