the_legend
JF-Expert Member
- Jan 14, 2019
- 1,612
- 7,110
- Thread starter
- #741




the Legend☆




Alex Kileo itakuwa katingwa the Legend au nawew huna taarifa
the Legend☆
Bado sina taarifa yoyote rasmi mkuu
Mechi ishauzwa hii kilichobaki tutafute timu nyingine
Mtunzi kafika kikomo kutupa mteremko so anataka hela kwa episode 10 zilizobaki.Mie tokea Jana nilihamia "Fumbo la utambuzi" sasa nimefika tamati ila naona na Leo hola wacha niende kwa wakorea asee
Mzee ebu nipe link ya hii kituMie tokea Jana nilihamia "Fumbo la utambuzi" sasa nimefika tamati ila naona na Leo hola wacha niende kwa wakorea asee
Link haziruhusiwi humu au umesahau?