the_legend
JF-Expert Member
- Jan 14, 2019
- 1,612
- 7,110
- Thread starter
- #221
As usual dearest
the Legend☆

pamoja as oneWakuu hiyo episode ya 29 nliyoweka leo mtunzi aliitoa jana, that means hapa tulipofkia sasa ndo tunaenda sawa na mtunzi. Ntaendelea kushusha episodes kadri zitakavyoendelea kutolewa na mtunzi
the Legend☆
Huu udangaji tena! mpaka kwenye riwaya??
Ebu uko

Mwenyewe

NiwacheeeHuu udangaji tena! mpaka kwenye riwaya??
Anaona ndo keshafika hapo...
Sent using Jamii Forums mobile app
Tutakujaoya majembe mi naona mambo ni yentee, mkuje kili niwa bless tujenge family naona chemistry hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahahaaoya majembe mi naona mambo ni yentee, mkuje kili niwa bless tujenge family naona chemistry hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli kifo cha sajent kimesikitisha wengi sana mkuu, ila ngoja tusubiri episode ijayo, hii riwaya is full of suprisesAsante the legend. Kifo cha sajent minja kimenisikitisha. Ila alijitahidi na kazi yake
Sasa na BO mbona kaanza kutuangusha Sasa?Ni kweli kifo cha sajent kimesikitisha wengi sana mkuu, ila ngoja tusubiri episode ijayo, hii riwaya is full of suprises
the Legend☆