the_legend
JF-Expert Member
- Jan 14, 2019
- 1,612
- 7,110
- Thread starter
- #181
Soon ntashusha mkono wa chuma na sala ya Sarah, usiwaze ShunieWeka story basi
the Legend☆
Soon ntashusha mkono wa chuma na sala ya Sarah, usiwaze ShunieWeka story basi
Hahahaa, kelele zilizidi kua nyingiWe mwanaume unaogopaje sasa
Sio kweli mkuu, tangu nijiunge jf mtu pekee kuwahi kumuita dear ni Shunie tuu, kama yupo mwingine mtaje hapa. Truth be told Shunie alikua so kind to me tangu siku zangu za kwanza kabisa hapa jfMbona hilo dear ni baya ..Shuu ndio zuri...
Na anawaita wengi humu..sijui ndo anategeza...kama ndoano??
Kizamaniii....
Mara ya mwisho kakwita lini hivyo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani umejielezea mpaka nimejisikia vibaya anakutania tu hahahahha mm ndio dear wakoSio kweli mkuu, tangu nijiunge jf mtu pekee kuwahi kumuita dear ni Shunie tuu, kama yupo mwingine mtaje hapa. Truth be told Shunie alikua so kind to me tangu siku zangu za kwanza kabisa hapa jf
the Legend☆

Uache uogaHahahaa, kelele zilizidi kua nyingi
the Legend☆
Niko nazisubiriSoon ntashusha mkono wa chuma na sala ya Sarah, usiwaze Shunie
the Legend☆
Tupo tunangoja mkuu.Soon ntashusha mkono wa chuma na sala ya Sarah, usiwaze Shunie
the Legend☆
Mzee baba check avatar hapo kushotoni mi ni cheusiHahahaa, mwarabu kwa upambe sikuwezi
the Legend☆
Kuna waarabu weusi pia, hahaaMzee baba check avatar hapo kushotoni mi ni cheusi
Arab ya Sudan kusini hahahahaaaah, pamoja mkuu, niko nazuga zuga hapa kusubiri muvi iendelee yaani haka ka ulevi ni zaidi ya uteja, namsubiri BQ nione mwisho wa siku itakuwaje? Cjui apata mchizi wa kumtuliza? Nipo hapa mkuu.Kuna waarabu weusi pia, hahaa
the Legend☆
Kama mimi
Mkuu ntajulikana! Mambo yenyewe ni kama ya Ray tu afu muda ni mchacheEbu tuwekee avatar ya rangi