Mkuu tunaendelea lini?
Mkuu hii kitu si mchezo shusha viwili vya mwaka mpya Ibra
Pole sana,Mungu akutie nguvuNilimpoteza mtu muhimu sana katika maisha yangu. Picha mnayoiona hapo ni yakipenzi changu Neema. Mwanamke ambaye alikuwa ndio furaha yangu. Lakini Mungu aliamua kunipokonya kwa kuwa alimpenda kuliko mimi. Ndio nimeinuka naendelea kukusanya nguvu ili kuifikisha tamati. Nipo kwenye kipindi kigumu sana lakini nisameheni sana kwa muda wote huo.
Usifanye hivi bana!
So sad ila Mungu ni mwaminifu huwa hakosei!Ahsante sana
Ibra87 sorry neema uliyemtaja ndiye nameless girl?[/QUOTE]