Risk ya mchawi kujigeuza mnyama...!

Risk ya mchawi kujigeuza mnyama...!

Poa. Nadhani hili linaweza kuwa swali la mwisho kwa leo mkuu .

Huwa nina tabia ya kuhisi mapema kama jambo baya halijanitokea na huwa nikipuuzia nakutana na balaa. Pia ktk biashara za watu hasa sokoni nilishaambiwa kama mara tatu kuwa nikiwa wa kwanza kununua basi huyo mtu huuza sana. Vipi hii hali unaweza kuizungumziaje?
Kuna kitu kinaitwa machale wewe unacho na pia una ngekewa
 
Awuuuuuuuuuuuuuuuu
Nini!!!!! Kweli duniani kuna mambo.

Ndio ile ukiingia kinyumenyume basi unatoka kama ulivyoingia.. au watu wakifanya hivyo wanageuka kutembea kawaida baada ya kuingia?
Utatoka kawaida tu
 
Hii ni kaliba iliyojaa upweke na mateso japo kuna watu eti wanatamani wanatamani kuwa wachawi...
Mojawapo ya advertise ya kuwa mchawi ni uwezo wa kujigeuza umbo la kibinadamu na kuwa mnyama... Na binadamu wengine wasikujue kabisa kama wewe sio mnyama halisi.. Japo wanyama huwa wana hisia na maranyingi watajitenga na wewe ama kukufukuza...
Unapokutana na kundi la wanyama lakini kuna mmoja kajitenga na wenzake... Tambua tu kwamba huyo si mnyama halisi kwa asilimia kubwa
Kwenye mikusanyiko ya watu ukifanikiwa kuwa na jicho la tatu utaona mengi sana.. Pale kariakoo pale Ilala sokoni, buguruni nknk kuna wanyama wengi sana katikati ya makundi ya watu
Kujigeuza umbo la kibinadamu kuwa mnyama ni uthubutu wa hali ya juu japo ni sifa kwa mtendaji ila anapaswa kuwa na msingi mzuri kwenye taaluma yake kwakuwa akikutana na nguvu kubwa kuliko yeye atapigwa dafrau na kupoteza maisha
Kuna wanga hupenda kujigeuza paka na kuingia kwenye majumba ya watu, sometimes panya au hata nyoka nk.. Sasa hawa ukiwavizia ukawalia timing ukawapa mkong'oto... Asubuhi yake utapata tu habari
Utasikia mzee fulani kaumia bega au kichwa au mkono nknk.. Na ukija kurudisha kumbukumbu nyuma unakuta pale ulipompiga yule mnyama ndio hapo hapo anapoumwa huyo mzee.. Na haendi hospital ataugulia nyumbani mpaka apone...
Risk kubwa ni pale wanapopata kipigo mpaka kupoteza maisha. Siku ya pili mtaani utaona turubai
Yani Broo me nikikuta pajamas nawapiga sana nyumbani lakini watu wanatutisha wanasema ipo siku utakiona cha moto Mimi ndani kwangu asiingie paka, panya au nyoka lazima niue kabisa. Swali langu kwako je kuna madhala yoyote akipiga hivi viumbe?
 
Yani Broo me nikikuta pajamas nawapiga sana nyumbani lakini watu wanatutisha wanasema ipo siku utakiona cha moto Mimi ndani kwangu asiingie paka, panya au nyoka lazima niue kabisa. Swali langu kwako je kuna madhala yoyote akipiga hivi viumbe?
Madhara yapo kama ukiua kiumbe kisicho na hatia hasa paka.. Mpe kipigo yule anayekuvimbia tuu.. Nyoka na panya hao maliza kabisa
 
mshana jr
Nilikuwa siamini binadamu aweza kuwa mnyama,

Pale kibo kushuka kule bonde la gide,kuna siku nimeshinda nje akatokea mama mmoja anafoka anadai paka amemfuata alipokuwa anachota maji,na amempa kichapo hivyo tusubiri msiba,

Kama masikhara tukawa tunacheka tukajua ni utani,

Hayakupita masaa tukasikia yowe za msiba mzee mmoja mitaa ile akafariki na aliondoka na mpangaji wake pia.
Ivi Gide wachawi sana.... Kila usiku wananipigisha punyeto
 
Kuna jamaa alichanjiwa dawa kule bariadi nasi kila akitembea barabarani masela wanamfuata hadi yanakuwa maandamano ffu wanakuja kumfyatulia risasi hadi kakimbia nchi
 
Duh!!nimewahi kuishi nyumba flani ivi kuna panya sio mchezo,cha ajabu wale panya hata hawaogopi watu.Na ukitega sumu utaikuta kama ilivyo,dah panya wasumbufu wale mh

Sema mi naogopaga kupiga panya na mbwa nisije nikatengeneza vita na wachawi nikashindwa kupambana nao
 
Hahaaaa leo mbona unaandika kwa kupet pet sana!

Hahaaa i just love and spend all I have loving who I have.
Maandishi yake...Her wisdom...and sense of humour, distinguishes her from the rest. who's this creature? I would like to say hello..
 
Halafu nasikia hayo Mafuta ukishajipaka, wale wanaofanya Biashara unawaona watupu (hawajavaa nguo) ingawa mwanzoni kabla ya kujipaka uliwaona wamevaa.

Kiongozi.

Naona unanikimbia kimbia,

Mimi nayahitaji hayo Mafuta (Dawa) ili nipate kuwachora VIGAGULA
 
Halafu nasikia hayo Mafuta ukishajipaka, wale wanaofanya Biashara unawaona watupu (hawajavaa nguo) ingawa mwanzoni kabla ya kujipaka uliwaona wamevaa.

Kiongozi.

Naona unanikimbia kimbia,

Mimi nayahitaji hayo Mafuta (Dawa) ili nipate kuwachora VIGAGULA
Kaka sikukimbii kabisa.. Hakuna shida babu akikubali nitakujulisha uende akupatie
 
Nilimpiga paka mshale wa kizungu...nikiwa lindoni mtwara ....asubuhi yAKE MSIBA NA maiti alikuwa nA JERAHA LA KUPIGWA NA KITU CHENYE NCHA KALI KISHA KUTOKEA UPANDE WA PILI.

2.NILIUWA PAKA MKUBWA NA MREFU AJABU KWA NJIA YA MTEGO NILIOUTEGA KWENYE KONA YA NYUMBA NINAYOISHI
NA ASUBUHI Yake kulikuwa na msiba wa mzee aliyesifikavkwa ulozi mtaani.
Mara zote hizi huwa wanakuja kunidai ndugu zao na huwa napambana nao sna.

Huwa wananiita mlala nje macho...mdogo wa umbo ndani mkubwa.
Kumbe hawajui mimi ni kama Mshana tuna Yesu ndani Yetu.

Hakuna kitu chepesi kama kumtambua mchawi
Soma Hesabu 23:23 ...panga hesabu zako vizuri...mtafute mwalimu wa hesabu Mshana kaka....akufundishe kuwashika
 
Nilimpiga paka mshale wa kizungu...nikiwa lindoni mtwara ....asubuhi yAKE MSIBA NA maiti alikuwa nA JERAHA LA KUPIGWA NA KITU CHENYE NCHA KALI KISHA KUTOKEA UPANDE WA PILI.

2.NILIUWA PAKA MKUBWA NA MREFU AJABU KWA NJIA YA MTEGO NILIOUTEGA KWENYE KONA YA NYUMBA NINAYOISHI
NA ASUBUHI Yake kulikuwa na msiba wa mzee aliyesifikavkwa ulozi mtaani.
Mara zote hizi huwa wanakuja kunidai ndugu zao na huwa napambana nao sna.

Huwa wananiita mlala nje macho...mdogo wa umbo ndani mkubwa.
Kumbe hawajui mimi ni kama Mshana tuna Yesu ndani Yetu.

Hakuna kitu chepesi kama kumtambua mchawi
Soma Hesabu 23:23 ...panga hesabu zako vizuri...mtafute mwalimu wa hesabu Mshana kaka....akufundishe kuwashika
Hahahaaa iko njema hii... Hawajui tuna Yesu aliye hai ndani yetu... Katikati ya kilele cha kutoa siri za wachawi hapa JF siku moja natokea Msata nakaribia kabisa Bagamoyo nikapata ajali saa tano usiku
Niliona daraja limehama nikalifuata kumbe ndio napata ajali.. Gari ikatumbukia darajani pindu kabisa tairi juu... Ilichukua dakika kama 7 mpaka kuja kutoka kwenye gari na muda wote ilikuwa inanguruma...
Gari haikulipulika nilitoka salama kwa msaada wa vijana waliowahi eneo la ajali.. Nilikuwa na pesa nyingi (sio za kilinge) na simu mbili za gharama... Hakuna kikichopotea wala kuibiwa... Tunalindwa na Yesu aliye hai lakini ni lazima umwamini na kumkiri..... M
 
Hahahaaa iko njema hii... Hawajui tuna Yesu aliye hai ndani yetu... Katikati ya kilele cha kutoa siri za wachawi hapa JF siku moja natokea Msata nakaribia kabisa Bagamoyo nikapata ajali saa tano usiku
Niliona daraja limehama nikalifuata kumbe ndio napata ajali.. Gari ikatumbukia darajani pindu kabisa tairi juu... Ilichukua dakika kama 7 mpaka kuja kutoka kwenye gari na muda wote ilikuwa inanguruma...
Gari haikulipulika nilitoka salama kwa msaada wa vijana waliowahi eneo la ajali.. Nilikuwa na pesa nyingi (sio za kilinge) na simu mbili za gharama... Hakuna kikichopotea wala kuibiwa... Tunalindwa na Yesu aliye hai lakini ni lazima umwamini na kumkiri..... M
Haleluya...nitakuarika Hemani mwa Wana wa Mungu uje utoe fundisho
Moja siku...nikiwa off.
Mana kazi hii ya ulinzi du...mapumziko ni kuumwa na kilazwa wodini.

Uki mkiri....
Ukimwamini

Unachokitu. Cha Mungu ndani yak Mshana ingawa watu wanakuona mwanga mchawi.
Mimi nakuhesabu kama mbeba maarifa ya Dunia hii.....umenifundisha mengi sana kwavmiaka2 nimekuwa nakufuatilia mafundisho yako humu
 
Back
Top Bottom