Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,925
- 831,366
- Thread starter
- #61
Paka hafii pale atachechemea mpaka apotee ukimuulia ndani ukaenda kumzika siku ya pili huwezi kukuta mzoga wake kwakuwa hakuwa halisiSwali langu mshana!
Umempiga paka kumbe mtu na akafa na ukashuhudia kabisa yule paka kafa, je yule paka mfano umemchukua umemfukia, sasa yule mtu kule atarudije augue na kufa ilihal alikuwa paka na umemuua na kumfukia kabisa.
