Risk ya mchawi kujigeuza mnyama...!

Risk ya mchawi kujigeuza mnyama...!

session moja haimalizi masaa 12,... Kwakuwa mhusika halisi itabidi abaki ndani kwakuwa kivuli hakipo
Kinachokera zaidi unakuta wanaume nao wanawangia watu. ila ukimkamata mwanga mwanaume hakuna haja ya kumpiga mnamwendea kwa mtaalam anamuoteshea bonge la chura !!! hapo unakua mmepuka hata uvunjaji wa sheria
 
Eti nasikia sijui kuna Dawa gani sijui, ipo kama Mafuta unajipaka Usoni.

Ukishajipaka hiyo Dawa Usoni kuna vitu vingi utaviona, mfano kwenye sehemu za Biashara unakuta wengine waliojichanganya kwenye Biashara ni VIGAGULA na ukiziona Biashara wanazozifanya huwezi amini, wengine wanauza Viungo vya Binaadam!

Wewe unaona kama vipande vya Kuku vile, kumbe!

Kwahiyo hayo Mafuta wanayodai, kwa wale VIGAGULA wanaojigeuza Wanyama si ndio unawachora hapo.

Kama kweli hayo Mafuta wanayodai yapo, nipeni Mchongo nayahitaji.

Nataka niwachore VIGAGULA
 
mshana jr
Nilikuwa siamini binadamu aweza kuwa mnyama,

Pale kibo kushuka kule bonde la gide,kuna siku nimeshinda nje akatokea mama mmoja anafoka anadai paka amemfuata alipokuwa anachota maji,na amempa kichapo hivyo tusubiri msiba,

Kama masikhara tukawa tunacheka tukajua ni utani,

Hayakupita masaa tukasikia yowe za msiba mzee mmoja mitaa ile akafariki na aliondoka na mpangaji wake pia.
Mpangaji nae alikufa?
 
Samahan mshana jr; Mbichi yaani ule wa kutoka machinjioni wala nisiupike? Nakuahidi mshana jr kazi hii naifanya kesha J3 na nilete mrejesho hapa
Yes usiupike ukiweza pata na damu yake kabisa na kinyesi
 
Eti nasikia sijui kuna Dawa gani sijui, ipo kama Mafuta unajipaka Usoni.

Ukishajipaka hiyo Dawa Usoni kuna vitu vingi utaviona, mfano kwenye sehemu za Biashara unakuta wengine waliojichanganya kwenye Biashara ni VIGAGULA na ukiziona Biashara wanazofanya huwezi amini, wengine wanauza Viungo vya Binaadam!

Wewe unaona kama vipande vya Kuku vile, kumbe!

Kwahiyo hayo Mafuta wanayodai, kwa wale VIGAGULA wanaojigeauza Wanyama si ndio unawachora hapo.

Kama kweli hayo Mafuta wanayodai yapo, nipeni Mchongo nayahitaji.

Nataka niwachore VIGAGULA
Wengi waliojaribu kuyatumia waliishia kuchanganyikiwa ndani ya muda mfupi... SIKUSHAURI kwa herufi kubwa
 
Ndiyo, jioni ya msiba
Jamaa alikuwa anatangaza alivyomuona landlord anafanya yake.
Jamaa alivyozunguka kwenda uwani akafariki dunia ghafla.
Duh hiyo ilikuwa kali aisee
 
Ndiyo, jioni ya msiba
Jamaa alikuwa anatangaza alivyomuona landlord anafanya yake.
Jamaa alivyozunguka kwenda uwani akafariki dunia ghafla.
Hakupaswa kutangaza akifa mchawi wenzao huja kichawi kuweka mambo sawa
 
Cjui itakuwaje cku jamii forum bla mshana !!!...pengo lake halitazibika !!!.....naomba uwe unanitag nyuz zako mkuuu
 
Hiyo mechanism anayepigwa paka kesho anaumwa binadamu dah !
 

Umenikumbusha mzee mmoja kijijini huko yeye alikua ni mkopaji mzuri sana, sasa akidaiwa ujificha kwenye bomba la maji au mda mwingine anajificha kwenye tumbo la ng’ombe mwanzoni walikuwa wanapata shida wakidhani ng’ombe ana mimba kumbe ni mzee kajifisha kukimbia madeni...
Wachawi ni noma

 
Back
Top Bottom