Renegade
JF-Expert Member
- Mar 18, 2009
- 7,138
- 6,779
Kwa kweli Haendani na Kasi ya HAPAKAZI! aliyemweka sijui anajisikiaje uko? Ni aibu.nahis alijitahidi sana sema nd ivo tena hapa nd kazi tu
Kwa kweli Haendani na Kasi ya HAPAKAZI! aliyemweka sijui anajisikiaje uko? Ni aibu.nahis alijitahidi sana sema nd ivo tena hapa nd kazi tu
I ain't your brother galatia women.
So don't even think about it.
Nyie waefeso roho korosho km skunk. Jitu zima unaleta habari ya doubts! Huna wazee kweni wewe?
ninamashaka na utendaji wake kwani alikuwa CEO wakati Barclays bank(Tanzania) inapata hasara ya bilioni 8 iliyotokana na mikopo hewa.
yametimia
Uibiwe nini we pangu pakavu?yametimia, hawa wasomali watatumaliza na kutuibia,