Risasi yangu ya mwisho

Huyu mtoto ameelewa somo....ila haitaji haraka kiongozi mlete mshangazi kwanza mengine yafate au dosho12 unasemaje
Kweli kabisa mambo mazuri hayahitaji harakaπŸ˜ƒπŸ˜ƒ, na suti yangu bado ipo kwa fundi kaniambia mpaka alhamisi ndo itakuwa tayari hivyo ndoa isubirishe kwanza Tajiri😁😁

Ila nimepata taarifa kwamba suti utashughulikia wewe hivyo nimemwambia fundi aachane nayo tu
 
🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣
Sawa mkuu lakini nimeshasema hapo juu wewe na Harmful mtavaa suti ya gharama zaidi barani afrika, achana nayo hiyo ambayo ipo kwa fundi.
 
🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣
Sawa mkuu lakini nimeshasema hapo juu wewe na Harmful mtavaa suti ya gharama zaidi barani afrika, achana nayo hiyo ambayo ipo kwa fundi.
SawaπŸ‘πŸ»πŸ‘πŸ»

Huna baya Tajiri πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…