BAGAH
JF-Expert Member
- Jan 17, 2012
- 4,523
- 1,060
nimepita kkoo wadau kuna mvua ya risasi...
na mpaka naondoka eneo la tukio chanzo hiki hakijapata habari kamili...
kwa zisizo rasmi inasemekana ni ugomvi wa polisi na raia wanaogombea nyumba/kiwanja maeneo ya kkoo sokoni...
kama kuna mwenye mo newZ!
na mpaka naondoka eneo la tukio chanzo hiki hakijapata habari kamili...
kwa zisizo rasmi inasemekana ni ugomvi wa polisi na raia wanaogombea nyumba/kiwanja maeneo ya kkoo sokoni...
kama kuna mwenye mo newZ!