Zogwale
JF-Expert Member
- Jul 10, 2008
- 15,287
- 10,843
Wakuu nawaletea Risala fupi ya marehemu SSM kama ambavyo nilipita katika kikao kimoja cha Wazee na kusikia haya:
1. Marehemu alizaliwa 5.2.1977
2. Enzi za uhai wake marehemu alijishughulika na yafuatayo:
(i) Kuua mazao ya biashara kama pamba,tumbaku, kahawa, katani, korosho, n.k
(ii) Kuua viwanda kama Mwatex, Mutex, Kiltex, Ufi, Bora, Tanelec, Mgololo, Tanganyika Packers, Viwanda vya kusindika maziwa n,k
(iii) Kuwaleta wagenii wanaoitwa wawekezaji na kuwapa mali za Watanzania kupitia makampuni uchwara ambayo wamiliki wake ni pamoja na mafisadi wanaoifadhili
3. Marehemu ameacha wachina kariakoo, waarabu Loliondo, Makaburu Mererani, wazungu wa kila aina kwenye migodi yote ya madini, gasi na utafiti wa mafuta.
4. Marehemu ameacha mke mmoja anaitwa FUC, na watoto wawili PDU na LTP
5. Shetani amuweke pabaya motoni milele. Amina.
Wadau huu ni wasifu mfupi tu, naamini wewe unayo machache ya kuongeza kuhusu huu wasifu. Funguka. Karibu.
1. Marehemu alizaliwa 5.2.1977
2. Enzi za uhai wake marehemu alijishughulika na yafuatayo:
(i) Kuua mazao ya biashara kama pamba,tumbaku, kahawa, katani, korosho, n.k
(ii) Kuua viwanda kama Mwatex, Mutex, Kiltex, Ufi, Bora, Tanelec, Mgololo, Tanganyika Packers, Viwanda vya kusindika maziwa n,k
(iii) Kuwaleta wagenii wanaoitwa wawekezaji na kuwapa mali za Watanzania kupitia makampuni uchwara ambayo wamiliki wake ni pamoja na mafisadi wanaoifadhili
3. Marehemu ameacha wachina kariakoo, waarabu Loliondo, Makaburu Mererani, wazungu wa kila aina kwenye migodi yote ya madini, gasi na utafiti wa mafuta.
4. Marehemu ameacha mke mmoja anaitwa FUC, na watoto wawili PDU na LTP
5. Shetani amuweke pabaya motoni milele. Amina.
Wadau huu ni wasifu mfupi tu, naamini wewe unayo machache ya kuongeza kuhusu huu wasifu. Funguka. Karibu.