Ripoti ya Utetezi wa Bwawa la Stiegler - Ndiyo Hii? Nimeshindwa Kuisoma...

Hahahaha, babu turudishie change, unatuibia.

Tanzania yenyewe haifahamiki, nchi za watu wanajua Africa ni nchi.
NI ya wataalamu kama ile ya Makinikia iliyoonesha, endapo Acacia wasingetuibia madini yetu, Tanzania ingekuwa ndie top gold producer duniani, na kuhitimisha tunawadai USD 190 Billion wakati Market Capitalization ya kampuni husika haifiki hata USD 5 Billion!!!

Serious note: Hivi kuna mtu anaweza kunifanyia mpango wa passport ya Kenya, manake hivi sasa najisikia aibu mimi kuingia nchi za watu na Passport za Tanzania! Haki ya Mungu hii sitanii! Kuna siku nimeshuka kwenye airport ya nchi fulani ghafla Watu wakaanza kunitazama mara baada ya kutoka kwenye cube ya passport control. Yaani nahisi kama yule afisa aliwakonyeza watu kuwaambia "...mnamuona yule, jamaa ni Mtanzania, ile nchi inayoidai kampuni ya madini USD 190 Billion wakati mapato ya nchi yake kwa mwaka hayafiki hata USD 15 Billion"!
 
Tatizo awamu hii ukifanya mambo kitaalam unaonekana sio mzalendo.

Yule Mama wa kituo cha utafiti alitenguliwa WHO wakampa kitengo.

Lakini hapa tatizo ni la hawa wataalam wetu kuamua kuacha utaalam na kufanya jambo kwa kufurahisha watawala.
Kubaki kwenye misingi ya kitaalam na kutokuwa na upande napo ni sifa ya utaalam.
Mkuu kafanye wewe utafiti
 
Mkuu kafanye wewe utafiti

Kwa hiyo ukiwa sio dereva hauruhusiwi kutoa maoni kuhusu udereva?
Hapa tunaongelea maadili ya taaluma.
Mtu anapojipambanua kuwa mtaalam, tunategemea kuona kiwango cha weledi kinachoakisi huo utaalam kwenye kazi yake.

Ukija kwenye eneo langu kama sifanyi vizuri au sifikii vigezo vya utaalam wangu unaruhusiwa kutoa maoni yako huru.
 
Moja ya story zinazobamba mtaani ni kuifanya Kilimanjaro kuwa Nchi kabisa jambo la kujiuliza kwa muda wote huo ambao story hii imekuwa ikibamba kwenye vijiwe vya kahawa na ukichukulia nchi ya Tanzania ni kubwa kuliko BURUNDI, na RWANDA ni Mkoa GANI AMBAO HAUHITAJI KUWA NCHI?

TANGA?

MBEYA?

RUVUMA?

NJOMBE?

N.K

AU TUTUMIE REGRESSION ANALYSIS

KUGAWA MIPAKA == a + b (mbunu za kupatia uongozi) + c(NI MKOA GANI HAUTAKI KUWA NCHI) + d (KWANINI USIWE NCHI) + e(TUPELEKE WAPI MAOMBI) + ERROT (hela) TERM (awamu ya urais/hela za msimu)

KAMA KAWAIDA UKIWEKA MKOA WAKO (WEKA 1 WENGINE ZIRO (0)) MFANO IKIWA NACHIGWEA WEKA (1) ILI kwenye b upate NAMBA…

BAADA YA HAPO INAKUWA time SERIES (MWAKA 1, 2, 3, 5, n.k)
 
Moja ya story zinazobamba mtaani ni kuifanya Kilimanjaro kuwa Nchi kabisa jambo la kujiuliza kwa muda wote huo ambao story hii imekuwa ikibamba kwenye vijiwe vya kahawa na ukichukulia nchi ya Tanzania ni kubwa kuliko BURUNDI, na RWANDA ni Mkoa GANI AMBAO HAUHITAJI KUWA NCHI?

TANGA?

MBEYA?

RUVUMA?

NJOMBE?

N.K

AU TUTUMIE REGRESSION ANALYSIS

KUGAWA MIPAKA == a + b (mbunu za kupatia uongozi) + c(NI MKOA GANI HAUTAKI KUWA NCHI) + d (KWANINI USIWE NCHI) + e(TUPELEKE WAPI MAOMBI) + ERROT (hela) TERM (awamu ya urais/hela za msimu)

KAMA KAWAIDA UKIWEKA MKOA WAKO (WEKA 1 WENGINE ZIRO (0)) MFANO IKIWA NACHIGWEA WEKA (1) ILI kwenye b upate NAMBA…

BAADA YA HAPO INAKUWA time SERIES (MWAKA 1, 2, 3, 5, n.k)
 
Mkuu Mzee Mwanakijiji, uzalendo ni pamoja na kuwa na blind faith, kuwa na imani isiotia shaka na matumaini na unaowaamini kwamba wanatupeleka mahala pema hata kama wanatupitisha njia iliyojaa mbigiri, hivyo huna haja kuiosoma na kuielewa muhimu ni kuisoma tuu na kuiamini na sii lazima kuielewa, kama tunavyo mwamini Mungu.
Ujamaa ni imani, aliyepo amekuja kuikamilisha na kuitimiliza ndoto ya Nyerere, tumuaminie na kumpatia kila ushirikiano ili ayaweze katika Yeye amtiaye nguvu.

Heri wewe umeisoma hukuielewa, mimi wala sihitaji kuisoma, nimeisha iamini bila kuisoma kwa kuwaaminia kwa sababu kuhusu Stigler niliisha sema kila kitu hapa
nilisema

Uzalendo wa kweli wa nchi yako ni pamoja na kusupport mipango kamambe
ya maendeleo ya nchi yako hata kama mipango hiyo itasababisha maumivu kwa walio wengi as long as itakuwa na faida kubwa kitaifa huko baadae.
P
Sheep mentality
 
This is how the blind faith operates
nilisisitiza uzalendo wa aina hii

Uzalendo wa kweli wa nchi yako ni pamoja na kusupport mipango kamambe
ya maendeleo ya nchi yako hata kama mipango hiyo itasababisha maumivu kwa walio wengi as long as itakuwa na faida kubwa kitaifa huko baadae.
P
And what if this will cause environmental catastrophe in future? The sustainability of the project depends so much on constant and adequate flow and supply of water.

Inakatwa miti milioni mbili! Mti ya asili ambayo mingine ina umri hadi wa miaka 200! Hayo maji yataendelea kuwepo kwa kiasi hicho hadi tuwe na matumaini mradi utaendelea kwa muda mrefu ujao?

Katika moja ya hotuba zake Mwalimu Nyerere aliwahi kusema wazungu wameharibu mazingira yao na hawajui wanawezaje kuyarudisha kama yalivyokua awali. Katika hili hawana hila dhidi yetu pale wanapotuonya tusirudie kosa kama lao
 
Back
Top Bottom