Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Tumesikia na kusoma juu ya uzinduzi wa "ripoti ya wataalamu" wazalendo. Mimi binafsi naunga mkono ujenzi wa bwawa hili na nilikuwa miunngoni mwa watu waliofurahia sana kuwa hatimaye hili linafanyika... Lakini si kwa utetezi unaojaribiwa kwenye ripoti hii. Nimejaribu kusoma lakini sikufika mbali...
Ila inaitwa ni ya "wataalamu"... seriously... Ningekuwa na kaudikteta kadogo tu Ningeagiza watalaamu hawa wote waende Butimba angalau kwa mwezi mmoja... Kama wangeita ni "utetezi wa kisiasa".. nisingekuwa na matatizo nayo hii ripoti... lakini kuiita ni ya "kitaalamu".. basi neno "utaalamu" limepoteza maana...
Ila inaitwa ni ya "wataalamu"... seriously... Ningekuwa na kaudikteta kadogo tu Ningeagiza watalaamu hawa wote waende Butimba angalau kwa mwezi mmoja... Kama wangeita ni "utetezi wa kisiasa".. nisingekuwa na matatizo nayo hii ripoti... lakini kuiita ni ya "kitaalamu".. basi neno "utaalamu" limepoteza maana...