Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,252
- 113,645
- Thread starter
-
- #81
Uongo!UKIMWI una miaka zaidi 40 nchini toka ujulikane na Malaki ya watu kote duniani kufariki lakini Tanzania hakuna mtu hata mmoja aliyekufa kwa ugonjwa huo ila kifua kikuu, saratani na magonjwa mengine yaliua watu wengi sana kipindi hicho. Covid-19 kwa muda mfupi imeua malaki ya watu, mamilioni wakiugua kote duniani ikiwa pamoja na nchi zote zinazotuzunguka lakini kwetu ni watu 4 tu walioambukizwa wakifariki kwa magonjwa ya kawaidà kusitukiza ikiwa ni pamoja ugonjwa wa moyo, cancer nk
Covid-19 haina adabuKuonyesha kuwa hatujaathirika kama ilivyotarajiwa.
Au we mwenzetu una Corona?
Uzuri wa covid-19 haijaacha layer yeyoteNdugu zako wangapi wamekufa na corona?
We ishakugusa?Uzuri wa covid-19 haijaacha layer yeyote
Mpaka Juu imegusa
NaamWe ishakugusa?
Kwa hiyo kwa sababu wewe hujui takwimu basi kila familia ina Covid-19. Tuonyeshe makaburi basi? Au na kuko mmekatazwa kwenda kupiga picha za makaburi mapya?Serikali ilijitoa, sasa hivi korona ni ishu ya kila familia kujijua kivyakevyake
Hatuna takwimu halisi za kiwango cha korona nchini
Unajipendekeza eh..Naam
#Lupaso
kati ya mimi na Wewe anayejipendekeza anajulikanaUnajipendekeza eh..
Wengine tuko kwenye Health sector, tunajuaKwa hiyo kwa sababu wewe hujui takwimu basi kila familia ina Covid-19. Tuonyeshe makaburi basi? Au na kuko mmekatazwa kwenda kupiga picha za makaburi mapya?
Naam. Nakujua wewe.kati ya mimi na Wewe anayejipendekeza anajulikana
Kwa hiyo nyie mna uwezo kumzidi muumba wa hii dunia na kila kitu kilichomo?Wengine tuko kwenye Health sector, tunajua
Basi InshaalhNaam. Nakujua wewe.
Kwamba Jiwe kwako ndio Muumba wa Mbingu na Nchi sio ?Kwa hiyo nyie mna uwezo kumzidi muumba wa hii dunia na kila kitu kilichomo?
Lazima usalimu amri. Huna jinsi!Basi Inshaalh
Sasa kama hujisikii kuumwa unaenda kupima nini, usikute haya ma vipimo ndio yanaambukiza hiyo Corona, na ndio kinacho watesa jirani zetu, mtu huumwi,Una pima ili ugundue niniUtajuaje umeathirika au la bila kupima hiyo korona?
Huduma za vipimo kwa nchi nzima ni very little.
Hiyo Bangi sasa, nani amekwambia JPM ni mungu? Ndio majungu yenyewe hayo naona hoja zinakushinda. Then unajimwambafy kwamba wewe unafanya kazi huko kwenye hospitali?Kwamba Jiwe kwako ndio Muumba wa Mbingu na Nchi sio ?
Exactly!!Sasa kama hujisikii kuumwa unaenda kupima nini, usikute haya ma vipimo ndio yanaambukiza hiyo Corona, na ndio kinacho watesa jirani zetu, mtu huumwi,Una pima ili ugundue nini
Majirani mpira hawatauona kwa vile imekuwa kawaida yetu kucheza rafu. Imekuwa kawaida kwetu sisi kutofuata taratibu za mchezo. Watauonaje mpira na tayari tulishautia kwapani?it nice to see you Preta
(hatufahamiani)