Ripoti ya Sky News kuhusu Magufuli na COVID-19

UKIMWI una miaka zaidi 40 nchini toka ujulikane na Malaki ya watu kote duniani kufariki lakini Tanzania hakuna mtu hata mmoja aliyekufa kwa ugonjwa huo ila kifua kikuu, saratani na magonjwa mengine yaliua watu wengi sana kipindi hicho. Covid-19 kwa muda mfupi imeua malaki ya watu, mamilioni wakiugua kote duniani ikiwa pamoja na nchi zote zinazotuzunguka lakini kwetu ni watu 4 tu walioambukizwa wakifariki kwa magonjwa ya kawaidà kusitukiza ikiwa ni pamoja ugonjwa wa moyo, cancer nk
Uongo!

Nina ndugu kibao tu na wa karibu kabisa ambao wamekufa kwa upungufu wa kinga mwilini.

Ninao wengine ambao hivi sasa ni waathirika wa huo upungufu.

Na hakuna ugonjwa uitwao UKIMWI.

Hivyo, UKIMWI hauui. Kinachoua ni yale magonjwa nyemelezi kama kifua kikuu, saratani, malaria ya kwenye ubongo, n.k.

Jifunze....
 
Serikali ilijitoa, sasa hivi korona ni ishu ya kila familia kujijua kivyakevyake
Hatuna takwimu halisi za kiwango cha korona nchini
Kwa hiyo kwa sababu wewe hujui takwimu basi kila familia ina Covid-19. Tuonyeshe makaburi basi? Au na kuko mmekatazwa kwenda kupiga picha za makaburi mapya?
 
Kwa hiyo kwa sababu wewe hujui takwimu basi kila familia ina Covid-19. Tuonyeshe makaburi basi? Au na kuko mmekatazwa kwenda kupiga picha za makaburi mapya?
Wengine tuko kwenye Health sector, tunajua
 
Kwamba Jiwe kwako ndio Muumba wa Mbingu na Nchi sio ?
Hiyo Bangi sasa, nani amekwambia JPM ni mungu? Ndio majungu yenyewe hayo naona hoja zinakushinda. Then unajimwambafy kwamba wewe unafanya kazi huko kwenye hospitali?
 
Sasa kama hujisikii kuumwa unaenda kupima nini, usikute haya ma vipimo ndio yanaambukiza hiyo Corona, na ndio kinacho watesa jirani zetu, mtu huumwi,Una pima ili ugundue nini
Exactly!!
 
Mimi naishi nchi ambayo wamekufa watu zaidi ya elfu 60 kwa Corona.
Lakini sio kazini kwangu ambako tuko zaidi ya elfu moja au mtaani kwangu ambako namjua hata. Mtu mmoja tu aliyekufa.

Kwahiyo niamini hii nchi haina Corona?

wewe mwenyewe huko uliko unawajua wangapi waliokufa?
 
36 Reactions
Reply
Back
Top Bottom