Ripoti ya Sky News kuhusu Magufuli na COVID-19

Hili la corona, tutumie busara tuliache, in the circumstances the world found itseft entangled into, President Magufuri took a big bet, and for those of us who likes smooth landing, it was not right.
 
Nyani Ngabu, achana na hiyo habari ya Corona, huoni image ya nchi kimataifa imechafuka sana? Kuna nini cha kujivunia katika kusemwa vibaya namna hii? Kwamba nchi haina uhuru wa mawazo na habari kiasi hicho unaona ni jambo jema? Hii sio Tanzania. Tumekuwa kituko duniani! Hii sio Tanzania iliyoachwa na kina Nyerere na wengine. Inasikitisha sana tumefikia huku. Lakini inasikitisha zaidi kuona mtu mwenye uelewa na exposure kama wewe Nyani Ngabu huoni hii hali na ubashabikia. Hebu tazama picha na taswira pana ya nchi kimataifa ilivyochafuka badala ya kuangalia mambo kwa upeo finyu namna hii.
 
Safi!

Hata mimi niliipata mwezi wa pili mwaka huu.

Wala haikuwa ishu.
thats why sioni logic ya hizi hofu.....


unajua upimaji ukifanyika kwa wingi na case zinakua nyingi vile vile, kama ilivyo kenya wanavyozidi kupima ndipo wanaona maambukizi yanazidi lkn vifo vinapungua sana!


nadhan ndio shida waliyonayo pia US, ni kama wamepima zaid ya watu 40-50m, matokeo yake case ni almost 5m, na vifo ni 150k (including waliogongwa na magari as long as walikua na corona),....... %age wise ni kitu kidogo


......bottom line approach ya magufuli ilikua sahihi, its all politics nothing more......
 
Kaka mimi nashindwa kuwaelewa Wakenya, sijui kwanini wanaigaiga kila kitu. Au wanataka wapate pesa za kupambana na Corona. Naona wanachofanya sasa ni kwenda kukopeshwa au kupewa pesa ya msaada ili kununua bunduki na kuitumia kuua nzi. Sijui lini watafungua mipaka yao, ngoja tuoje. Labda wanadhani Corona itayeyuka.

Hiki ni kipande cha ripoti ya Sky News, moja ya shirika la habari la binafsi huko Uingereza.

Ni kipande kilichorushwa tarehe 8 mwezi Juni mwaka huu.

Ni kipande kinachozungumzia jinsi ambavyo Rais Magufuli na serikali yake ilivyoamua kukabiliana na huo ugonjwa wa Coronavirus.

Ni karibu miezi miwili sasa tokea Sky News wairushe hiyo ripoti yao.

Sky News waliirejea hofu ya shirika la afya duniani [WHO] kwamba Tanzania iko juu kwenye orodha ya nchi ambazo shirika hilo la afya lilikuwa na hofu nazo sana.

Miezi miwili kasoro juma moja, maisha bado yanaendelea tu kama kawaida!

Maiti hazijatapakaa mabarabarani. Hakuna makaburi ya halaiki. Spitali hazijajaa wagonjwa. Nikijizungumzia mimi binafsi, hakuna ndugu, jamaa, jirani, wala rafiki ambaye nimempoteza kutokana na hiyo Corona.

Kwa muktadha wa kinachoendelea sasa hivi baina ya Tanzania na Kenya, nadhani kuna kitu ambacho Wakenya wanaweza kujifunza kutoka Tanzania ya Magufuli.

Wameamua kukata sijui ndege toka Tanzania. Kuna kipindi sijui walifunga mpaka na Tanzania, na mengineyo.

Ninachokiona toka huko Kenya ni [1] uoga wa viongozi wao na [2] ukosefu wa uthabiti katika maamuzi yao.

Ni kama vile Kenya inaiga mataifa ya Ulaya na Marekani, kwa jinsi ilivyoamua kukabiliana na hiyo Coronavirus.

Tokea dunia ikumbwe na hilo janga, ni karibu miezi 6 sasa au hata na zaidi.

Kama yangekuwepo madhara makubwa sana basi yasingeweza kufichika kabisa.

Haiwezekani kuficha vifo na maradhi. Watanzania tulio wengi hatujaathirika na hiyo Corona. Maisha yetu yanaenda kama kawaida.

Hofu ya WHO haijatimizika. Natamani hao Sky News warudi tena Tanzania baada ya miezi miwili tokea warushe hicho kipande cha habari yao. Natamani warudi waje kufanya ‘follow-up’.

Sijui wakirudi watasemaje tu!!?

NB: Baadhi ya tafsiri zao za watu walioongea Kiswahili katika hii video yao Naona ni kama hazipo sahihi.....

 
Mkuu imechafuka kwa lipi? Kwa kutumia strategy yetu nyepesi kupambana na Corona? Yaani tusipofanya wenzetu wanalotaka basi image yetu inachafuka? Niambie umepoteza ndugu wangapi kwa Corona?


Nyani Ngabu, achana na hiyo habari ya Corona, huoni image ya nchi kimataifa imechafuka sana? Kuna nini cha kujivunia katika kusemwa vibaya namna hii? Kwamba nchi haina uhuru wa mawazo na habari kiasi hicho unaona ni jambo jema? Hii sio Tanzania. Tumekuwa kituko duniani! Hii sio Tanzania iliyoachwa na kina Nyerere na wengine. Inasikitisha sana tumefikia huku. Lakini inasikitisha zaidi kuona mtu mwenye uelewa na exposure kama wewe Nyani Ngabu huoni hii hali na ubashabikia. Hebu tazama picha na taswira pana ya nchi kimataifa ilivyochafuka badala ya kuangalia mambo kwa upeo finyu namna hii.
 
Nyani Ngabu, achana na hiyo habari ya Corona, huoni image ya nchi kimataifa imechafuka sana? Kuna nini cha kujivunia katika kusemwa vibaya namna hii? Kwamba nchi haina uhuru wa mawazo na habari kiasi hicho unaona ni jambo jema? Hii sio Tanzania. Tumekuwa kituko duniani! Hii sio Tanzania iliyoachwa na kina Nyerere na wengine. Inasikitisha sana tumefikia huku. Lakini inasikitisha zaidi kuona mtu mwenye uelewa na exposure kama wewe Nyani Ngabu huoni hii hali na ubashabikia. Hebu tazama picha na taswira pana ya nchi kimataifa ilivyochafuka badala ya kuangalia mambo kwa upeo finyu namna hii.
Unasema nchi [Tanzania] haina uhuru wa habari na mawazo?

Wewe ulichokifanya hapa ni nini kama siyo kutoa mawazo yako?

Au Kuna mtu alikuwa kakuwekea mtutu wa bunduki kichwani na akakulazimisha kuandika hivi ulivyoandika?
 
Hiki ni kipande cha ripoti ya Sky News, moja ya shirika la habari la binafsi huko Uingereza.

Ni kipande kilichorushwa tarehe 8 mwezi Juni mwaka huu.

Ni kipande kinachozungumzia jinsi ambavyo Rais Magufuli na serikali yake ilivyoamua kukabiliana na huo ugonjwa wa Coronavirus.

Ni karibu miezi miwili sasa tokea Sky News wairushe hiyo ripoti yao.

Sky News waliirejea hofu ya shirika la afya duniani [WHO] kwamba Tanzania iko juu kwenye orodha ya nchi ambazo shirika hilo la afya lilikuwa na hofu nazo sana.

Miezi miwili kasoro juma moja, maisha bado yanaendelea tu kama kawaida!

Maiti hazijatapakaa mabarabarani. Hakuna makaburi ya halaiki. Spitali hazijajaa wagonjwa. Nikijizungumzia mimi binafsi, hakuna ndugu, jamaa, jirani, wala rafiki ambaye nimempoteza kutokana na hiyo Corona.

Kwa muktadha wa kinachoendelea sasa hivi baina ya Tanzania na Kenya, nadhani kuna kitu ambacho Wakenya wanaweza kujifunza kutoka Tanzania ya Magufuli.

Wameamua kukata sijui ndege toka Tanzania. Kuna kipindi sijui walifunga mpaka na Tanzania, na mengineyo.

Ninachokiona toka huko Kenya ni [1] uoga wa viongozi wao na [2] ukosefu wa uthabiti katika maamuzi yao.

Ni kama vile Kenya inaiga mataifa ya Ulaya na Marekani, kwa jinsi ilivyoamua kukabiliana na hiyo Coronavirus.

Tokea dunia ikumbwe na hilo janga, ni karibu miezi 6 sasa au hata na zaidi.

Kama yangekuwepo madhara makubwa sana basi yasingeweza kufichika kabisa.

Haiwezekani kuficha vifo na maradhi. Watanzania tulio wengi hatujaathirika na hiyo Corona. Maisha yetu yanaenda kama kawaida.

Hofu ya WHO haijatimizika. Natamani hao Sky News warudi tena Tanzania baada ya miezi miwili tokea warushe hicho kipande cha habari yao. Natamani warudi waje kufanya ‘follow-up’.

Sijui wakirudi watasemaje tu!!?

NB: Baadhi ya tafsiri zao za watu walioongea Kiswahili katika hii video yao Naona ni kama hazipo sahihi.....


Wakenya wamepick side na kuwa puppets wa Western countries
 
Unasema nchi [Tanzania] haina uhuru wa habari na mawazo?

Wewe ulichokifanya hapa ni nini kama siyo kutoa mawazo yako?

Au Kuna mtu alikuwa kakuwekea mtutu wa bunduki kichwani na akakulazimisha kuandika hivi ulivyoandika?
Nini usichokijua kuhusu uminywaji wa uhuru wa kujieleza Tanzania hii? Huoni hapa tumeficha identity zetu?
 
Nini usichokijua kuhusu uminywaji wa uhuru wa kujieleza Tanzania hii? Huoni hapa tumeficha identity zetu?
Hujalazimishwa kuficha utambulisho wako.

Huo ni uamuzi wako.

Wapo wengine humu wanaotumia majina yao ya ukweli.

Uongo?
 
Tulimpa Mungu nafasi atupiganie, (maana sisi hatukuwa na uwezo wa kujipigania kwenye janga hilo) akafanyahivyo.

Sifa na utukufu ni kwake Muumba mbingu na nchi. Tuendelee kumshukuru Mungu kwa kuwa ametanda!!!!!


JESUS IS LORD!
 
Mada inazungushwa zungushwa na maneno mengi, lakini haisemi alichofanya Magufuli ambacho ni tofauti na walichofanya wengine wote kinachosababisha pawepo na tofauti kati ya Tanzania na hizo nchi nyingine..
Kiufupi, ni mipasho tu ya mapambio yasiyokuwa na maelezo.

Kenya kama ameigiza nchi nyingine, na huko Afrika ya kusini nako hivyo hivyo, na Rwanda je, kamwigiza nani. Uganda kamuiga nani?

Corona haipo Tanzania?

Watu Tanzania hawafi, unajua vifo vinavyotokea vinasababishwa na nini?
Kwani vifo ndo vimeanza wakati wa korona
 
Swadakta mkuu wangu👏👏👏

Mungu Hamfichi Dhalimu....

Tumewatambua kuwa WALIKUWA ni waongo walipotutanabahisha kuwa tutakuwa MIZOGA kama kumbikumbi barabarani.

UONGO WAO wa SKY NEWS na wenzao tunashukuru Mungu Ya Kwamba UTATUSAIDIA kuwa ni REJEA ya Mambo huko TUENDAKO.....

Sijui tumedanganywa mfanowe Mara ngapi?!!!
Na Sijui Kama tulishaweka kumbukumbu ya UONGO wao MWINGI.

Kama Taifa linalokimbia kimaendeleo ni Bora Sasa kukatokea msukumo wa kuwekeza kwenye VIWANDA vya CHANJO dhidi ya Kinga ya magonjwa mbalimbali.
Tunaweza Tukaanza na HIZI wanazopewa WATOTO WETU toka KUZALIWA kwani kufikia mpaka Sasa magonjwa yanayolisumbua kundi la miaka 5 kushuka chini wataalam wetu WAMESHAYAJUA na;
Tuna wataalamu bobezi wa CHEMISTRY
Tuna Wataalamu bobezi wa BIOCHEMISTRY na NUCLEAR CHEMISTRY
Tuna wataalamu bobezi wa MICROBIOLOGY na ZOONOLOGY
Tuna wataalamu bobezi wa PARASITOLOGY
Tuna wataalamu bobezi wa PHYSIOLOGY,PATHOLOGY,INTERNAL MED na wengine wanaohusiana na tiba ya sisi makabwela.

Muhimu ni kuzidi kuwa na msukumo wa zile NONDO NZITO NA ZA MAANA alizozisema NAIBU WAZIRI WA AFYA Dr.Mollel akiwa bungeni siku chache Kabla ya mh.Rais Magufuli KUMTEUA.
(kwa kumbukumbu rejeeni alichokisema).

WAKATI ndio huu,uwepo wa Magufuli ni Mpango wa MUNGU ili kutupa NGUVU za KUTHUBUTU mengi TULIYOYAOTA na tukashindwa huko nyuma.
Tuitumie CHARISMA aliyonayo Magufuli ili TUBUNI na kutekeleza MAKUBWA.

MWISHO kabisa nasema yeyote aliye na Shari Juu ya Mama Tanzania,Mwenyezi Mungu Ampeperushie mbali Kabla ya yeye kusambaratisha Malengo na ndoto zetu adhimu,aaaamin aaaaamin.


Kijana Muuza Al Kasus Yenye Habat Mulki Na Habat Sauda Ya Kutosha.
Tandale Kwa Mtogole.
 
Watu walishatishwa wakatishika na serikali ikaamua kuachana na testing. Waganga na wauguzi wakaogopa hata kupokea wagonjwa; watu wakawa wanaugua lakini hawaendi ‘spitali’ kwa kuhofia wataambiwa wana korona. Kwa hiyo hakuna ‘spitali’ yenye mgonjwa wa korona na hospital attendance imepungua kupita maelezo kiasi kwamba watu wanaweza kufa kwa magonjwa mengine kwa kushindwa kwenda ‘spitali’ ambapo wanaweza ambiwa wana korona.

Kwa hali ilivyo watu wanaweza kuugua korona na kufa kisha isemwe kuwa wamekuwa kwa pneumonia au ugonjwa wowote ule lakini siyo covid19 sababu wanasiasa wamesema haupo. Mind you, mwongozo wa wizara ya afya kuhusu covid19 haujabadilika; madaktari wasema kweli bila hofu au unafiki wanaweza kukuambia ukweli usiopendwa na wanasiasa.

Hata PM jan on ITV kasema korona haipo! Je ni kweli korona haipo?

Tuchukue tahadhari:
1. Tudumishe social distance.
2. Tunawe mikono kwa sabuni na maji tiririka.
3. Kama ni lazima uwe kwenye misongamano isiyoepukika vaa barakoa.
4. Kula mlo kamili
5. Fanya mazoezi yanayokutoa jasho ku improve cardiovascular endurance.

Korona bado ipo lkn inaepukika!

Tuchukue tahadhari!
Bado kungekuwa na mambo ambayo yangeonesha athari za uwepo wa corona,kama wingi wa vifo tofauti na hali ya kawaida na pia hata kuona wengi kuuguwa kwa wingi tofauti na kawaida. Mfano nyumba za ibada hasa misikitini ambapo utaratibu wa ibada umerudi kama zamani watu wanakusanyana na hakuna tahadhari zozote hivyo hizo sehemu tungeona waumini wengi wakiugua hasa ukizingatia wengi wazee.
 
Tanzania watu siku hizi hawafi?

Umejuaje kati ya hivyo vifo hakuna watu wa korona?

Maana huduma ya vipimo vya korona nchini ni very minimal, na serikali haina interest ya kupima watu enmasse.

Mimi na wewe hatuna rekodi za vifo vya watu kwa sasa ili tuweze kuwa na data za hali halisi ya vifo nchini
Kwa uhatari wa ugonjwa wenyewe watu wangeona utofauti wa vifo vya kabla ya corona na kipindi hiki cha corona.
 
Wanafahamika kuwa "ni wenye kukaanga mbuyu na kuwaachia we meno watafune."

Waliko wao mabarakoa hadharani si hiari. Kwao maisha ya waliopo 'ikungu lya bashashi' hayana thamani. Ila huko waliko kwenye black lives matter wako mstari wa mbele. Wanataka kuishi.

Hao ndiyo mangedere ngabu, kuona wanaona ya wenzao. Siyo ya kwao.

Jana wilayani Kahama abiria mmoja tokea Dar amefariki njiani jirani na nyumbani kwake. Night kali ya kwenye Saba Saba muda mfupi baada ya kushuka kwenye basi (rip).

Kisa na mkasa? Zile changamoto za zetu.

Kwenye Corona free country, Corona hsipo kabisa. Ila zile changamoto zetu.
Kusingekuwa na corona duniani,je hicho kifo ulichokihusisha na corona ungekihusisha na nini wakati ambapo hakuna corona? Au ungesema ni ushirikina?
 
Kuuliza si ujinga lakini kuna swali la kijinga kama lako. Wewe na sampuli za aina yako mna tatizo kubwa sana la uelewa. Nchini Tanzania ugonjwa unaoongoza kwa kuua ni malaria. Au hata na hilo utabisha? Sasa nifahamishe ni nani kati ya vilaza wenzio kafa kwa malaria? Nani kafa mtaani au katani kwa malaria? Acha kuparamia usoyajua. Praise n worship team kwa hili ni usiku wa giza!
Hoja ya kuulizana nani kafa huko na corona ni kutokana na aina ya ugonjwa wenyewe kuwa uwambukizaji wake na uhatari wa ugonjwa wenyewe,na ndio maana mwanzo ilikuwa akipatikana mtu mmoja mwenye corona basi mnabebwa nyumba nzima.
 
Back
Top Bottom