Ripoti ya PAC kuhusu Escrow Kusomwa Jioni Bungeni

sawa sawa marando na mnyele wote lao moja. ndiyo kusema CCM na CHADEMA wote wamepiga pesa hizi sijamsikia mwenyekiti na katibu wa CHADEMA wakiongelea hili na CCM vile vile
 
Kwani zile busara za majaji tunazoambiwa wanazitumia kwenye issues nyeti zimeenda wapi??????????? au mgawo umewafumba macho na wao?????????????????? Hovyo, hakuna chombo kinachoamini ka nchi hii

kesi ya nyani kapelekewa ngedere
 
kwani kazi ya mawakili nini haijalishi upo ccm au chadema , mteja amekuja anataka nikafungue shauri la kupinga bunge lisifanye majadiliano ya ESCROW na mteja mwenyewe ni IPTL sasa kosa liko wapi tunataka mawakili wakale wapi? cha muhimu je bunge lina uwezo wa kujadili repoti haijalishi kama ni mnyele au ni marando au nani wale hio ndio kazi yao.....
 
Yani nimeshikwa na hasira ambayo sikuwahi kuipata karibuni. Ndugu zangu CCM niwahuaji kabisa wanalindana. Huwezi kuamini Yule Mwarabu pale bungeni kahairisha kikao.Pumbavu kabisa
 
Nakubaliana na wewe mkuu. Kuna watu wanadhani kila kitu unaweza kutumia mabavu


‘Kama huu ndiyo ushirikiano wa nchi za kusini, bora ukoloni urudi.’ Julius K Nyerere commenting on IPTL. Kama mnadhani hii nchi ni ya watu wachache then endeleeni...

 
1. Baada ya bunge kukaidi amri ya mahakama kuna madai kuwa Polisi wameagizwa wamkamate Spika na timu yake. So tunaweza kushuhudia kichekesho asubuhi hii Dodoma, cha polisi kuwakamata Spika, AG, Katibu wa bunge, na wengine waliokiuka amri ya mahakama.

2. Zitto, Filikunjombe na wajumbe wengine wa PAC wamelala nje ya ofisi ya Spika wakiilinda ripori isichakachuliwe. Ktk hili nawapongeza.

3. Baadhi ya Wabunge wameanza kuondoka kwa kuhofia vitisho. Ila na wale "wanafiki" wasiopenda misimamo yao ijulikane wameanza kuondoka kwa kusingizia vitisho. So hawa wanarudi hotelini na kwenda kujifungia ili wawaangalie wenzao wakifanya maamuzi kupitia TV. What a shame??

4. Serikali imeandaa Mikakati wa kukata umeme baadhi ua maeneo (hasa mijini) ili watu wasiweze kufuatilia mjadala wa leo kupitia TV. Mkakati wa kukata umeme umekamilika kwa baadhi ya maeneo na hadi sasa kuna maeneo hawana umeme.!

#MORE_UPDATES_WILL_FOLLOW .!

Ni kweli huku Mikocheni wamekata, nimekimbilia hapa hospitali ya Kairuki wanaonyesha. Kama wao ni wa kiume waje wazime na hili jrnereta la hospitali waue wagonjwa. Mbwa wakubwa!
 
Nimeikubali Jamiiforums,Bunge limeenda kama update juu zilivyo!!!!!!.Natumaini kabla ya jioni Yericko atatueleza kama zito atawakilisha au nguvu ya mafisadi imeshinda!!!!
 
Court injuction aliwekewa hata Davido asipande jukwaani Fiesta, lakini alipanda akasepa zake. Tanzania ya leo ni vurugu mechi, gombania goli. Tatizo baba ukiwa mwizi hivi utakuwa na ubavu wa kukemea wanao? JK is blackmailed in this so serikali yake haina ubavu wa kufanya maamuzi magumu.

We are the COWARDS OF THE COUNTRY...ndo maana CCM inatuchezea shere itakavyo...
 
Sababu iko wazi; wao ndo wahusika. Ushaona wapi; baba analeta ushahidi kwa mkewe eti katembea na bekitatu wake. Lazima azime soo lote
 
Mnyele atakuwa anatumiwa na mzee Pinda ni mfipa mwenzake tena ni shushushu wa kutupwa ana nifahamu na nina mfahamu huyu mnyele alimuua mkewe kwa kipigo hata hakufungwa

Lisu kamuumbua Manyele. Pamoja na kufanya kazi na kampuni ya Marando, Mnyele ni kada mashuhuri wa ccm na kesi hiyo haijamtaja Mrando mahali popote ila ni kazi binafisi ya mnyele. Pia aliua mkewe na kesi ikazungushwazungushwa hadi kusahaulika ilivyo kawaida ya vigogo kwa ccm.
 
THE TIME IS NOW OR NEVER......Tukikaa vibaya tu na KATIBA PENDEKEZWA inapitishwa hivihivi na hapo ndo mwisho mpaka miaka 50 ijayo nayo ni 'MAYBE'.
 
Back
Top Bottom