Ripoti ya PAC kuhusu Escrow Kusomwa Jioni Bungeni

naona leo kuna majukwaa hayatapata wachangiaji.

hahahahaaaa
kwenye critical ishu km hizi lazima tuonyeshe uzalendo wetu mi kuna elfu kumi yangu sijaiona kwenye mshahara wa mwezi uliopita
mikoani watu wanahamia porini kuogopa kudaiwa pesa za maabara
halafu wajinga wachache wana faidi keki
 
Tumewatuma wabunge kutusemea bungeni,Escrow ni kipimo tosha kwa uzalendo wao kwa nchi name wananchi wao.
 
Hivi akuna member was alshabab humu. Atupe reg form
Muda umefika kuwa na hawawadudu nchini ili nchi iende
 
Leo nimekaa hapa sebuleni na familia nzima. Wife, mwanagu wa miaka mi 4 shemeji, dada wa nyumbani, house boy, kijana wa jirani na kuna jamaa wawili siwajui vizuri lakini poa tu tutaulizana baada ya repoti hii bungeni!
 
EPA,RICHMOND,KAGODA,MEREMETA,DOWANS, and now TEGETA ESCROW what comes next let them do what they want no one can judge them :hatari:
 
Huwa namuamimi zito kwenye kazi kama hii zenye kuhitaji umakini wa hali ya Juu,ila naona ili haya maoni yaweze kutekelezeka yanahusu zaidi Ikulu kutoa maamuzi,tukumbuke taarifa hii imehusisha taasisi zote za serikali,wezi ni wao na kamati ni wao tuone maamuzi ya Ikulu mana ndio yenye mamlaka ya kuteua na kutengua,Nchi sasa ipo gizani,tuone Baba Riz anafanyaje hapa na hivi yupo nje ya nchi
 
Back
Top Bottom