Ripoti ya PAC kuhusu Escrow Kusomwa Jioni Bungeni

Hivi haya majitu kwanini yasipatwe na mavidonda mwili mzima...ahagrrrrrrrrrf
 
Mnyele atakuwa anatumiwa na mzee Pinda ni mfipa mwenzake tena ni shushushu wa kutupwa ana nifahamu na nina mfahamu huyu mnyele alimuua mkewe kwa kipigo hata hakufungwa

Mkuu ni kweli Mnyele alimuua mke wake pale Hugo House na badala ya murder akashitakiwa kwa manslaughter.

Mkuu katika sheria ya partnership partner mmoja huwa anafanya kwa niaba ya partner mwingine. Hivyo Marando naye yumo humo in a way.

 
Hivi hii hoja ya AG kuwa pesa sio za umma ila za nani kumbe? kama ni za IPTL mbona wamepata gawiwo ilhali wao sio share holders? hapo issue kubwa sio pesa za umma au za IPTL ni why wamelipwa hiyo mihela yote? ni kazi gani wamefanya? money laundry act inabidi iwameze
 
Mnyele Gabriel yuko ofisi moja na Mabere Marando. Marando ndiye aliye pigana juu chini mpaka Mnyele akatoka jela. ktk hili Mnyele na Marando lao moja wasemwe wote wanapiga hela ndio zao hata kwenye EPA wana mbinu za kutangulizana
 
Back
Top Bottom