Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,478
- 39,998
Hapa sasa ndio patamu, hoja zije kujibiwa kwa hoja. Hoja hizi ni nzito na binafsi ningependa sana kufanya mahojiano na Bw. Mziray kwani yawezekana amefungua macho ya watu wengi sana, nikiwemo mimi.
Unaweza Kudanganya Watu Wachache Wakati Wote, Lakini Huwezi Kudanganya Watu Wote Wakati Wote (you Can Fool Some People Some Time But You Cant Fool All People All The Time), Mbowe Anapaswa Kujua Hilo.
Baada ya kusoma tena na kuirudia ripoti hii, nimeona matatizo makubwa zaidi ndani ya ripoti yenyewe. Nina maswali yangu machache kwa Mziray au mjumbe yoyote yule aliyehusika kwa sababu kupokea tu na kuikumbatia siyo hekima bali kwanza kujiridhisha kuhusu masuala fulani. Mwitikio wetu usiwe wa hisia na vionjo bali wa mantiki na akili.
Madai yanayotolewa ni mazito sana na makubwa sana. Sasa ni wakati wa kuyachekecha kwa makini.
Baada ya kusoma tena na kuirudia ripoti hii, nimeona matatizo makubwa zaidi ndani ya ripoti yenyewe. Nina maswali yangu machache kwa Mziray au mjumbe yoyote yule aliyehusika kwa sababu kupokea tu na kuikumbatia siyo hekima bali kwanza kujiridhisha kuhusu masuala fulani. Mwitikio wetu usiwe wa hisia na vionjo bali wa mantiki na akili.
Madai yanayotolewa ni mazito sana na makubwa sana. Sasa ni wakati wa kuyachekecha kwa makini.
last time watu tumeongea sana kuhusu kufukuzwa kwa wangwe na hoja zilizokua zikitolewa na wangwe,,,duh tulishambuliwa kama watoto,,sasa leo mambo hadharani na mie ninawahakikishia chadema kama hawatatatua matatizo na vikwazo vilivyopo basi chadema hakitenda popote,,,na mbowe atakua hana tofauti na Mrema
Pia palitolewa malalamiko kuwa ofisi ya Katibu Mkuu inatumiwa na watendaji isivyostahili kwa mfano watendaji huingia ndani ya ofisi hiyo ambapo wanatuhumiwa kufanya maongezi binafsi na marafiki zao wa kike.
Baada ya kusoma tena na kuirudia ripoti hii, nimeona matatizo makubwa zaidi ndani ya ripoti yenyewe. Nina maswali yangu machache kwa Mziray au mjumbe yoyote yule aliyehusika kwa sababu kupokea tu na kuikumbatia siyo hekima bali kwanza kujiridhisha kuhusu masuala fulani. Mwitikio wetu usiwe wa hisia na vionjo bali wa mantiki na akili.
Madai yanayotolewa ni mazito sana na makubwa sana. Sasa ni wakati wa kuyachekecha kwa makini.
Haya machaceh hapa chini so far ni maneno mazito sana kuhusiana na na hii ishu ya Chadema, na matatizo yake na Wangwe, kwa hiy hivi majuzi Wangwe alipoyasema haikuwa ni mara ya kwanza, yalishsemwa huko nyuma mpaka kuundiwa kamati liyotoa mapendekezo, lakini hayakufanyiwa kazi, unless kuna something I am missing hapa, au?
Kamati ilipewa hadidu za rejea zifuatazo:
i) Kuchunguza tuhuma za kuwepo ubaguzi ndani ya makao makuu ya chama.
2.0 MATATIZO NA MAFANIKIO
1. Kamati inashauri swala la uteuzi wa wabunge wa viti maalum katika siku za usoni uwepo umakini wa hali ya juu katika uteuzi wa viti hivyo kwa kuzingatia matakwa ya katiba ya chama na pia uwepo utaratibu wa ukomo wa vipindi vya mbele vya kuwa mbunge wa viti maalum.
3.0 Uteuzi wa nafasi za Wakurugenzi
Katika swala la uteuzi wa wakurugenzi waliohojiwa waliirifu kamati kuwa katika nafasi 8 za wakurugenzi, nne zinashikiliwa na watu wa mkoa mmoja wa Kilimanjaro (wachaga) kitu ambacho kamati katika uchunguzi wake imethibitisha.
Katika hili kamati inatoa maoni na mapendekezo kwamba nafasi zote za kazi katika chama zitangazwe ndani ya chama katika ngazi zote. Hii itasaidia kuweka wigo mpana katika uwiano wa kikabila, dini na jinsia miongoni mwa watendaji na kukifanya chama kuwa na sura ya kitaifa.
Pia kwa kufanya hivyo tutaweza kuwa na uhakika wa muombaji wa nafasi ya uongozi kama ni mwanachama mwenzetu, maana kamati imegundua katika uchunguzi wake yupo mtu aliyependekezwa na kuajiriwa ndani ya chama kabla ya kuwa mwanachama (Bi Regina Mrema) ambaye ni Mchaga kabila analotoka Mwenyekiti wa chama, FREEMAN MBOWE.
Field Marshal
Angalia jinsi hawa jamaa walivyo wazushi na wazandiki. CHADEMA makao makuu hakuna afisa yoyote anayeitwa Regina Mrema. Sasa hii ni sehemu moja tu yenye uwongo wa dhahiri wenye kuchochea ukabila. Mnakumbuka hapa niliwahi kumzungumzia dada mmoja aliyekuja kwetu Zanzibar akiitwa Regia Mtema, huyu ndiye wanayemsema. Na masikini binti wawatu mwenye ulemavu lakini mchapa kazi kweli wala sio mchagga. Ni mtu wakutoka Morogoro. Hana asili yoyote ya uchagga. Mimi nimepata nafasi ya kuonana nae. Alikuja kwenye Kongamano la Wanavyuo na Vijana katika siku ya Muungano 26 Aprili ambapo CHADEMA waliliandaa hapa Zanzibar. Ni afisa mwandamizi ya vijana, ndiye anayefanya kazi badala ya John Mnyika.
Kuna mwenye ule mchango wa Paparazi Muwazi kuhusu hii ripoti? Maana aliichambua kweli kweli na kueleza asili yake. Mwenye link atuwekee. Sasa inaonyesha wameamua kujitokeza tena wazima wazima
Asha
Asha