Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
kuna watu wanachangia, na wakati mwingine natoa mfukoni mwangu mwenyewe. Halafu huo mchango wenu wa kutaka kuchangia ili nifanye kitu fulani itakuwa ni kuninunua nitimize malengo yenu.
Kama unataka kuchangia, wewe changia tu. Kuna watu kadhaa wanachangia na hata mara moja hawajawahi kuniambia nani nimhoji au nisimhoji.
Tatizo ni kuwa huwezi kuchangia.
Kama unataka kuchangia, wewe changia tu. Kuna watu kadhaa wanachangia na hata mara moja hawajawahi kuniambia nani nimhoji au nisimhoji.
Tatizo ni kuwa huwezi kuchangia.