Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,460
- 39,928
Hapa sasa ndio patamu, hoja zije kujibiwa kwa hoja. Hoja hizi ni nzito na binafsi ningependa sana kufanya mahojiano na Bw. Mziray kwani yawezekana amefungua macho ya watu wengi sana, nikiwemo mimi.