- Thread starter
- #21
Heh walilipwaIlishakabidhiwa tangu last week...kwa wahusika tuu na mapendekezo kama yote.. Na kabla ya makabidhiano 'wafanyabiashara wachache' waliokuwa na bima za biashara zao wakalipwa!
Heh walilipwaIlishakabidhiwa tangu last week...kwa wahusika tuu na mapendekezo kama yote.. Na kabla ya makabidhiano 'wafanyabiashara wachache' waliokuwa na bima za biashara zao wakalipwa!
Chumba mboga hamnazoTutamkumbuka Chuma! Upuuzi huu haukuwepo kabisa
Waache sana Uhuru wa kufikili na kuamuaChumba mboga hamnazo
watumishi wa soko ajira zao zitaendelea au watawafanyaje na malipo yao?Siku saba bado hazijaanza kuhesabiwa hadi December 11 ndiyo tunaanza kuzihesabu View attachment 1877556
Watahamia kisutu na machinga complexwatumishi wa soko ajira zao zitaendelea au watawafanyaje na malipo yao?