Ripoti ya Jopo la Wataalam wa UN juu silaha Haramu DRC

MkamaP,
Mkuu hata siku moja usifikirie kwamba Biashara ya silaha ni haramu. Ni sawa kabisa na biashara nyingine yoyote iwe hata madini..hakuna Uharamu kuuza vifaa vya kivita isipokuwa zipo sheria zinazohalalisha biashara hiyo kufanyika na kwa nchi gani..
Mkuu kaitazame tena ile sinema ya Darwins Nightmare.. Yule mrusi alieleza vizuri jinsi walivyokuwa wakipeleka silaha South Afrika kwa ajili ya vita ya Angola. Na kwa uchungu mkubwa akasema inasikitisha sana kuona wakipeleka Tanks Angola siku za Christmas na tunarudi zabibu kwa Ulaya.
Hivyo ni rahisi kabisa silaha kununuliwa kwa ajili ya Tanzania nadio maana unaona destination yake ni Mwanza, Tanzania. Na kama sikosei muda sii mrefu China walipeleka meli ya silaha kupitia South Africa zikielekea Zimbabwe zikazuiliwa kuingia.
Mkuu nchi yoyote yenye vita kuna biashara kubwa sana ya silaha na ndio biashara yenyewe inavyopata soko..Huwezi kupinga kabisa kwamba Tanzania hatuhusiki wakati dhahiri tumeshiriki ktk vita hiyo kwa muda mrefu sana toka enzi za Uganda na Rwanda na kwa taarifa zaidi ni kwamba maofisa wengi ktk jeshi la Rwanda na Burundi wamejaa maofisa wetu kama wataalam na walimu ktk mafunzo ya kivita.

Pengine swala la muhimu kujiuliza zaidi ni kwamba tunafaidika vipi Kitaifa na vita ya nchi hizo ikiwa sisi ndio kambi kubwa ya wakimbizi toka sehemu hizo. Je, tupo pale kulinda mtawala na kuweka usalama kama Marekani wanavyodai Afghanstan na Iraq au ndio tunajipendekeza kama ilivyokuwa Zimbabwe na South, matokeo yake wote hatupendwi tena wanataka sana tuondoke nchi zao baada ya...
 
Nakubaliana na wewe kabisa, lakini kwanini tuanze kujadili kutoka juu kuja chini na kwanini tusianze kutoka chini kwenda juu.?

Hizi silaha zilitoka toka je kwenye viwanja vya makitaifa? ni kweli tuliowapa mamalaka hayo lakini kutokana na hali halisi tuliyonayo hatuwezi kupambana na mafia wa kimataifa wanaorusha madege.

Mtu kama BUSH anatuma silaha zake RWANDA kupitia TZ utabisha wewe? ama utajaribu kuzikamata??

Tuwe realistic wakati mwingine
Mkamap,
Acha upuuzi. Kama Bush anatuma silaha Rwanda hii ni government to government. Na kwa sababu Rwanda ni landlocked hatuwezi kuwazuia kupitisha silaha zao kwenye bandari yetu. Silaha zinazosemekana zilinunuliwa kimagendo na wafanyibiashara wanaoifadhili CCM kuwapelekea waasi wa Congo kinyume na diplomatic norms. Hapo ndipo ripoti inapotushika pabaya.
 
Mkuu ni kweli kabisa.

Mimi naomba tulijadili hili swala logically na sio kusoma tu report ya mzungu.

Hao walioruhusu madege ya silaha kutoka huko ulaya ni maofisa wa makapuni binafsi ama wa serikali?


Mkuu heshima mbele,

Nadhani tunakuwa apologetic sana. Kuna mmoja wetu hapa kasema..kama watanzania leo tunawachuna ngozi Albino ambao ni raia wenzetu..tutashindwa nini kupeleka silaha Congo? Its painful but sadly true.

Hivi jamani..ni lini waafrika tuta-own makosa yetu au short coming zetu bila kuwarushia mpira wazungu? Honestly I get worried. Kila janga linalotupata waafrika..mkono wa kwanza ananyoshewa mzungu. We have been doing this for the past fifty years and there is no end in sight Hata kama wanahusika..kweli katika hiyo miaka hamsini na ushee hatujifunzi lolote namna ya kukabiliana nao??

Wanaokufa ni sisi, wanaopoteza ndugu na mali ni sisi, wanaokuwa wakimbizi ni sisi, wanaowahifadhi hao wakimbizi ni sisi waafrika wenyewe.... as a result ya hiyo migogoro..lakini mpaka hapo tuna audacity ya kusema kwamba Mzungu ndo tatizo anatuchonganisha na serikali zetu. REALLY?? Do you really believe some one in Arkansas or deep in Savoy in France know our predicament here in Africa? zaidi ya kuangalia TV?

Ushauri wangu: we should stop being apologetic. Lets learn to own up our problems. In that way we shall learn to hold to account our leaders. Infact, kama tungekuwa makini ingebidi wabunge wetu waichukue hii report wakamuulize maswali yaliyokwenda shule bwana Membe pale Bungeni. Otherwise kuwalaumu wazungu haitusaidii. We have have been doing that for fifty years and we can see it hasnt worked.

Masanja,
 
Mkamap hebu nisaidie kujua lile Dege lililokamatwa pale Mwanza na silaha halafu amri kutoka kwa wakuu wa nchi likaachiliwa lilikwenda wapi? na nani aliyetoa amri hiyo?
halafu angalia pia movie DARWIN NIGHTMARE utajua hayo mambo ingawa katika research yake jamaa hakuzungumzia sana silaha zaidi ya samaki,na akapigwa marufuku kukanyaga T.Z
 
Mkamap,
Acha upuuzi. Kama Bush anatuma silaha Rwanda hii ni government to government. Na kwa sababu Rwanda ni landlocked hatuwezi kuwazuia kupitisha silaha zao kwenye bandari yetu. Silaha zinazosemekana zilinunuliwa kimagendo na wafanyibiashara wanaoifadhili CCM kuwapelekea waasi wa Congo kinyume na diplomatic norms. Hapo ndipo ripoti inapotushika pabaya.

Hizo silaha zimenunuliwa wapi? Mkuu tutaelewana tu mbele ya safari
 
Nakubaliana na wewe kabisa, lakini kwanini tuanze kujadili kutoka juu kuja chini na kwanini tusianze kutoka chini kwenda juu.?

Hizi silaha zilitoka toka je kwenye viwanja vya makitaifa? ni kweli tuliowapa mamalaka hayo lakini kutokana na hali halisi tuliyonayo hatuwezi kupambana na mafia wa kimataifa wanaorusha madege.

Mtu kama BUSH anatuma silaha zake RWANDA kupitia TZ utabisha wewe? ama utajaribu kuzikamata??

Tuwe realistic wakati mwingine

Mkuu kama tungekuwa tunafanya hii kitu official kwanini tunakataa?? na pia uelewe kwamba Member reacted because ile report ina implications nyingi tu!!!

Tusihamishe shida zetu, je hatukuwa na uwezo wa kukataa hayo ya huko juu kama hayakufuata taratibu?
 
Mkuu heshima mbele,

Nadhani tunakuwa apologetic sana. Kuna mmoja wetu hapa kasema..kama watanzania leo tunawachuna ngozi Albino ambao ni raia wenzetu..tutashindwa nini kupeleka silaha Congo? Its painful but sadly true.

Hivi jamani..ni lini waafrika tuta-own makosa yetu au short coming zetu bila kuwarushia mpira wazungu? Honestly I get worried. Kila janga linalotupata waafrika..mkono wa kwanza ananyoshewa mzungu. We have been doing this for the past fifty years and there is no end in sight Hata kama wanahusika..kweli katika hiyo miaka hamsini na ushee hatujifunzi lolote namna ya kukabiliana nao??

Wanaokufa ni sisi, wanaopoteza ndugu na mali ni sisi, wanaokuwa wakimbizi ni sisi, wanaowahifadhi hao wakimbizi ni sisi waafrika wenyewe.... as a result ya hiyo migogoro..lakini mpaka hapo tuna audacity ya kusema kwamba Mzungu ndo tatizo anatuchonganisha na serikali zetu. REALLY?? Do you really believe some one in Arkansas or deep in Savoy in France know our predicament here in Africa? zaidi ya kuangalia TV?

Ushauri wangu: we should stop being apologetic. Lets learn to own up our problems. In that way we shall learn to hold to account our leaders. Infact, kama tungekuwa makini ingebidi wabunge wetu waichukue hii report wakamuulize maswali yaliyokwenda shule bwana Membe pale Bungeni. Otherwise kuwalaumu wazungu haitusaidii. We have have been doing that for fifty years and we can see it hasnt worked.

Masanja,

Mkuu nafikiri unafahamu vizuri kwamba sie hatuna uwezo wa kutoa products za silaha kama hizo na zinatoka wapi basi hizo silaha? kwa wazungu na zinanunuliwa je huko?

Nafikiri ktk process ya kawaida silaha za kivita huwezi zinunua lundo kama makande bila certificate .Na zinatoka je huko ulaya ktk viwanja vya kimataifa.?

Tusijaribu kukimbia ukweli eti hatujifunzi, huku ni kuikimbia ukweli ktk maisha. Masikini hawezi kujifunza ,atalitambua kosa lakini ataendelea kutenda hivyo hivyo kwa sababu hakuna njia mbadala.Hapa hakuna ubishi.

Ngoja nikupe mfano. kule kwetu babu yangu alikuwa akinihadithia kwamba pale tunapoogea kikwetu tunapaita mwaloni huwa kuna mamba anakula watu wakienda kuteka maji na kuoga, na kweli kila mara mamba anachukuwa mtu,lakini hakuna jinsi maji lazima tuyateke na kuyateka maji lazima uingie ndani ya ziwa na vivyo hivyo ukitaka kuoga lazima uingie ndani.
Kutokana umasikini kijijini pale hakuna jinsi hatuna ndege la kutuwezesha kuteka maji tukiwa hewani ama kununu mashine za kuteka maji.

Hivyo tatizo tunalijua lakini mamba anatumia umasikini wetu kujipatia kitoweo.
 
Wanaojaribu kuitetea nchi hii hawaelewi kitu wanasema.
Serikali yetu inahusika kwa uharamia mwingi tu!
Miaka miwili au mitatu iliyopita, polisi wa mpakani Mtukula kule Bukoba walikamata semi trailer iliyokuwa on transit toka Arusha kupitia Kampala kwenda DRC kupitia Kagera and Rwanda.
Huu mzunguko wa safari uliwashitua maaskari na ikabidi waifanyie ukaguzi baada ya kuambiwa kuwa imebeba majani ya chai ambayo yanasafirishwa na UN.
Walipofungua ndani ya container ilikuwa ni shehena ya bangi tupu na si majani ya chai. Hivyo wakaliweka gari chini ya ulinzi. Na kuwaweka wafanyakazi wa gari lile chini ya ulinzi.
Baada ya siku kama tatu ilitoka amri toka juu kwa hao wakubwa wetu wanaojitetea leo, kuwa gari hilo liachiwe haraka liendelee na safari.
Gari liliachiwa na mzigo uliokuwa umeshatelemshwa polisi ukarudishwa ndani ya gari na tena likapewa na escot ya polisi hadi mpakani mwa Rwanda na Tanzania.
Hii ndio nchi yetu ilivyo.
Wanaobisha leo ni mbumbumbu wa yale yanayoendelea nyuma ya pazia, au wanabisha kwa kuwatetea mabwana zao waendelee kupata ulaji.
 
Mkuu kama tungekuwa tunafanya hii kitu official kwanini tunakataa?? na pia uelewe kwamba Member reacted because ile report ina implications nyingi tu!!!

Tusihamishe shida zetu, je hatukuwa na uwezo wa kukataa hayo ya huko juu kama hayakufuata taratibu?

Mkuu vizuri.
Kwanza naomba utambue hakuna uongozi mgumu kama kuongoza nchi za afrika , maana kuna mashinikizo yanatoka chini kwa wananchi na pia juu kwa wakubwa wa dunia.

Ni kweli kwamba hatuna uwezo wa kukataa kutoka kwa maagizo ya wakubwa wa dunia. Kamuulize Saadam Husein ama kwa mbali kabisa Mugabe
 
Wanaojaribu kuitetea nchi hii hawaelewi kitu wanasema.
Serikali yetu inahusika kwa uharamia mwingi tu!
Miaka miwili au mitatu iliyopita, polisi wa mpakani Mtukula kule Bukoba walikamata semi trailer iliyokuwa on transit toka Arusha kupitia Kampala kwenda DRC kupitia Kagera and Rwanda.
Huu mzunguko wa safari uliwashitua maaskari na ikabidi waifanyie ukaguzi baada ya kuambiwa kuwa imebeba majani ya chai ambayo yanasafirishwa na UN.
Walipofungua ndani ya container ilikuwa ni shehena ya bangi tupu na si majani ya chai. Hivyo wakaliweka gari chini ya ulinzi. Na kuwaweka wafanyakazi wa gari lile chini ya ulinzi.
Baada ya siku kama tatu ilitoka amri toka juu kwa hao wakubwa wetu wanaojitetea leo, kuwa gari hilo liachiwe haraka liendelee na safari.
Gari liliachiwa na mzigo uliokuwa umeshatelemshwa polisi ukarudishwa ndani ya gari na tena likapewa na escot ya polisi hadi mpakani mwa Rwanda na Tanzania.
Hii ndio nchi yetu ilivyo.
Wanaobisha leo ni mbumbumbu wa yale yanayoendelea nyuma ya pazia, au wanabisha kwa kuwatetea mabwana zao waendelee kupata ulaji.

Mkuu sijakupata vizuri
Kwa hiyo biashara ni ya nchi tanzania ama mtu binafsi anayetumia madaraka yake vibaya? tuelimishane
 
Ukiisoma hii ripoti, ukairudia na kutafakari kwa kina ..... kama kweli wewe ni mfuatiliaji wa mambo, basi hii ripoti unaweza kupata chanzo chake hasa .... time will tell
 
Mkuu sijakupata vizuri
Kwa hiyo biashara ni ya nchi tanzania ama mtu binafsi anayetumia madaraka yake vibaya? tuelimishane
Huwezi kutofautisha matumizi mabaya ya ofisi wanayofanya viongozi wetu na nchi.
Huu utakuwa ni upotoshaji.
Kwammfano JMK akifanya mambo ya ovyo kama ya kusafirisha siraha au dawa za kulevya huku vyombo vyetu vya usalama vikibariki na kuhusika, huwezi kuitofautisha nchi ya Tanzania na scandal hiyo!
 
MkamaP,
Mkuu hata siku moja usifikirie kwamba Biashara ya silaha ni haramu. Ni sawa kabisa na biashara nyingine yoyote iwe hata madini..hakuna Uharamu kuuza vifaa vya kivita isipokuwa zipo sheria zinazohalalisha biashara hiyo kufanyika na kwa nchi gani..
Mkuu kaitazame tena ile sinema ya Darwins Nightmare.. Yule mrusi alieleza vizuri jinsi walivyokuwa wakipeleka silaha South Afrika kwa ajili ya vita ya Angola. Na kwa uchungu mkubwa akasema inasikitisha sana kuona wakipeleka Tanks Angola siku za Christmas na tunarudi zabibu kwa Ulaya.
Hivyo ni rahisi kabisa silaha kununuliwa kwa ajili ya Tanzania nadio maana unaona destination yake ni Mwanza, Tanzania. Na kama sikosei muda sii mrefu China walipeleka meli ya silaha kupitia South Africa zikielekea Zimbabwe zikazuiliwa kuingia.
Mkuu nchi yoyote yenye vita kuna biashara kubwa sana ya silaha na ndio biashara yenyewe inavyopata soko..Huwezi kupinga kabisa kwamba Tanzania hatuhusiki wakati dhahiri tumeshiriki ktk vita hiyo kwa muda mrefu sana toka enzi za Uganda na Rwanda na kwa taarifa zaidi ni kwamba maofisa wengi ktk jeshi la Rwanda na Burundi wamejaa maofisa wetu kama wataalam na walimu ktk mafunzo ya kivita.

Pengine swala la muhimu kujiuliza zaidi ni kwamba tunafaidika vipi Kitaifa na vita ya nchi hizo ikiwa sisi ndio kambi kubwa ya wakimbizi toka sehemu hizo. Je, tupo pale kulinda mtawala na kuweka usalama kama Marekani wanavyodai Afghanstan na Iraq au ndio tunajipendekeza kama ilivyokuwa Zimbabwe na South, matokeo yake wote hatupendwi tena wanataka sana tuondoke nchi zao baada ya...

Mkandara
Nakubaliana na wewe kabisa, na ndio maana mwanzo nimesema kama mzigo wa silaha umekuja bandarini kwetu na destination yake ni burudi sisi kazi yetu ni ku forwad mbele na kuchukua ushuru wetu. Na ndio maana nimeuliuliza mara kadhaa hizo silaha zinatoka je huko kwenye viwanja vya kimataifa.?

Na nimeendelea kuhoji kwamba si rahisi kununua silaha kama makande sokoni kama watu wanavyotaka tukubaliane nao na hii lazima uwe na certificate mhimu kutoka serikali inayonunua silaha hizo.

Ndo narudi tena kuuliza hapa ina maana Tanzania ilikuwa inanunua silaha kwa kutumia ceritificate yake kwa niaba ya hao wahasi, sasa hapa ndo narudi tena kuungana na Membe kama hiyo ni case basi UN wataje jinsi Tanzania ilivyonunua silaha na wapi na kuwakabidhi hao wahasi na si ripoti ya kutajataja namba za simu.
 
Mkandara
Nakubaliana na wewe kabisa, na ndio maana mwanzo nimesema kama mzigo wa silaha umekuja bandarini kwetu na destination yake ni burudi sisi kazi yetu ni ku forwad mbele na kuchukua ushuru wetu. Na ndio maana nimeuliuliza mara kadhaa hizo silaha zinatoka je huko kwenye viwanja vya kimataifa.?

Na nimeendelea kuhoji kwamba si rahisi kununua silaha kama makande sokoni kama watu wanavyotaka tukubaliane nao na hii lazima uwe na certificate mhimu kutoka serikali inayonunua hizo silaha hizo.

Ndo narudi tena kuuliza hapa ina maana Tanzania ilikuwa inanunua silaha kwa kutimia ceritificate yake kwa niaba ya hao wahasi, sasa hapa ndo narudi tena kuungana na Membe kama hiyo ni case basi UN wataje jinsi Tanzania ilivyonunua silaha na wapi na kuwakabidhi hao wahasi na si ripoti ya kutajataja namba za simu.

Teh teh teh,

Mkamap leo amebanwa hadi anatia huruma. Muacheni jamani apumzike kidogo (la sivyo atafungia computer zenu kwa utaalamu wa porrraaandi).
 
Huwezi kutofautisha matumizi mabaya ya ofisi wanayofanya viongozi wetu na nchi.
Huu utakuwa ni upotoshaji.
Kwammfano JMK akifanya mambo ya ovyo kama ya kusafirisha siraha au dawa za kulevya huku vyombo vyetu vya usalama vikibariki na kuhusika, huwezi kuitofautisha nchi ya Tanzania na scandal hiyo!

Si kweli, mimi nafikiri kunatofauti kubwa sana.

Cliton alivyofanya mapenzi na yule msichana huwezi sema ni serikali ya marekani ndo ilifanya mapenzi.
 
Teh teh teh,

Mkamap leo amebanwa hadi anatia huruma. Muacheni jamani apumzike kidogo (la sivyo atafungia computer zenu kwa utaalamu wa porrraaandi).

Tunataka report ya UN(wazungu) watwambie certificate ya TZ ilitumika kununua silaha pale na hapa na baada ya hapo silaha hizo walizipeleka hapa na pale na namba za silaha zilizonunuliwa urusi na Tanzania ni hizi na hizi na sasa hizi namba za silaha hizo zipo congo na kuzitaja baadhi ya namba ya silaha na sio kutaja namba za simu.

yani UN wanachekesha sana
 
Si kweli, mimi nafikiri kunatofauti kubwa sana.

Cliton alivyofanya mapenzi na yule msichana huwezi sema ni serikali ya marekani ndo ilifanya mapenzi.


Sasa mkubwa wewe unaleta mzaha kwenye mambo nyeti..yaani hapa tunaongelea silaha zinazoua maelfu ya watu harafu wewe unaleta mfano wa bibi Monica na Clinton ambao walikuwa wanakula starehe zao? Wakikusikia wale wakimbizi walio makambini kwa sababu ya uharamia huu wa majangiri yanayovusha silaha..watakurushia mawe..shauri lako...

Tafadhali mkubwa!
 
Tunataka report ya UN(wazungu) watwambie certificate ya TZ ilitumika kununua silaha pale na hapa na baada ya hapo silaha hizo walizipeleka hapa na pale na namba za silaha zilizonunuliwa urusi na Tanzania ni hizi na hizi na sasa hizi namba za silaha hizo zipo congo na kuzitaja baadhi ya namba ya silaha na sio kutaja namba za simu.

yani UN wanachekesha sana

Wazungu ndio waliauzia hizo silaha maana miafrika kama kawaida yao hata haitaki kutumia silaha za bei nafuu pekee (kama machete) bali inatumia mabilioni kununua silaha za wazungu.
 
Sasa mkubwa wewe unaleta mzaha kwenye mambo nyeti..yaani hapa tunaongelea silaha zinazoua maelfu ya watu harafu wewe unaleta mfano wa bibi Monica na Clinton ambao walikuwa wanakula starehe zao? Wakikusikia wale wakimbizi walio makambini kwa sababu ya uharamia huu wa majangiri yanayovusha silaha..watakurushia mawe..shauri lako...

Tafadhali mkubwa!

Mhurumie huyo Mkamap maana ndizo zake hizo. Ukimchukulia serious utakuwa unatwanga maji kwenye kinu.
 
Back
Top Bottom